Nimetafuta mwanamke wa kuoa nimekosa, imebidi niishi single maisha yangu yote yaliyobaki hapa duniani

Nimetafuta mwanamke wa kuoa nimekosa, imebidi niishi single maisha yangu yote yaliyobaki hapa duniani

Mkuu kuna watu tunagundu kwenye suala zima la mapenzi aseee

Maana unaweza kuta mwanaume wa kawaida, dereva tax, lakini anagombaniwa na wanawake wa aina zote kimatabaka ya kiuchumi

Na pia unaweza kuta mwanaume mwingine hana mvuto au ana look average lakini kila mwanamke anamkimbia tu

We utasemaje sasa hapo

Hivi vitu ni changamoto kwa kweli kuna mwanangu kamuoa muhindi lakini alikuwa muuza flash buguruni saivi anasomeshwa UK na muhindi kamjaza mimba na alikuwa mtu wa kawaida kabisa


So sad 😔
Kwenye maisha lazima ukubali hayako fair
 
Back
Top Bottom