Nimetafuta mwanamke wa kuoa nimekosa, imebidi niishi single maisha yangu yote yaliyobaki hapa duniani

Nimetafuta mwanamke wa kuoa nimekosa, imebidi niishi single maisha yangu yote yaliyobaki hapa duniani

Tupo wengi ma agliii
Screenshot_20230413-181311~2.png
 
1. Una hela?
2. Abdalah kichwa wazi nimzima?
3. Umesha rudisha kadi ya chaputa?
4. Una akili timamu?
5. Ni mnene kupitiliza?
Kama majibu Ni tick kwanini ukose mwanamke?
Hata singo maza wanakukataa? You are not serious.
 
Kupata mke wa kuoa unadhani ni rahisi hivyo!! Pambana kijana.

Ila, tafuta hela.
 
Mimi ni mwanaume nina miaka ya mwanzoni mwa 30's personality yangu niko straight nina element za wale wazee ambayo ni wakoloni

Wanawake ambao nimewatongoza na kuonesha nia ya kuwaoa na kuanzisha nao familia wote wamenikataa, weakness kubwa niliyokuwa nayo mim sio muongo na niko straight may be ndo kitu kinachonifelisha ila kamwe kujibadilisha nimeshindwa

Kuna mda najiulizaga watu wanavyosemaga wanawake wa ki-leo wanalilia ndoa sidhan kama hii kauli ina ukweli, ni uongo sina tatizo na wanawake walionikataa sababu ni haki yao na sina chuki nao.

Na kamwe sitakaa niipinge ndoa yes nimeshindwa kupata mwanamke wa ndoa, lakin wengine wamefanikiwa kupata wenza na wanaishi vizuri kwa hiyo sipo kwenye ile kampen ya kataaa ndoa

Wanawake niliowaaproach ni wakawaida sio wa hadhi ya juu

Baada ya kukataliwa na kila mwanamke ambaye niliyetaka kumuoa na kuanzisha familia imeshindikana imebid nitulie kwanza nijipange kiakili kuishi bila mke ni ngumu ila inawezekana.

Let us be realistic ndoa is not for everyone wengine tumepigania ila imeshindikana kinachonipa aman at least nimejaribu sababu the only fear is not trying

Chamgamoto ninayokumbana nayo na nitakayokumbana nayo for the rest of my life ni upweke na ndo kitu ambacgo natakiwa kupambana nacho for the rest of my life
Jaribu kuvaa smart,pengine unajiweka Kama babu asa atakutaka nani?,usiwe mpole sanaaa ujue wanaume wapole huwa wanaboaaa,usiwe kila kitu we ni ndio,uwa na msimamo mda mwingine.afu usipende kulala mika sana unapo mtaka mtu kwa kisingizio cha ww unapenda kuwa muwaz....hio pia ina boaaa,ukimtongoza mtu hebu uwe una mpa nafasi hata miez mitatu ndio uwanze maswala ya ndoa,yaan mpe nafasi akufahamu sithan Kama utakataliwa,USIJIWEKE KIZAMANI SANAAAAA,WANAWAKE WENGI WA CENTURY HII WANAPENDA SWAGGER.
 
Jaribu kuvaa smart,pengine unajiweka Kama babu asa atakutaka nani?,usiwe mpole sanaaa ujue wanaume wapole huwa wanaboaaa,usiwe kila kitu we ni ndio,uwa na msimamo mda mwingine.afu usipende kulala mika sana unapo mtaka mtu kwa kisingizio cha ww unapenda kuwa muwaz....hio pia ina boaaa,ukimtongoza mtu hebu uwe una mpa nafasi hata miez mitatu ndio uwanze maswala ya ndoa,yaan mpe nafasi akufahamu sithan Kama utakataliwa,USIJIWEKE KIZAMANI SANAAAAA,WANAWAKE WENGI WA CENTURY HII WANAPENDA SWAGGER.
🦋🦋🦋🦋😍😘
 
''Element za wale wazee wakoloni!!!!, namuona mdingi wetu hapa navuta na picha, hatari sana. Nyumbani tulimpa jina lake hilo ambalo hakuwahi kulijua hadi Leo na tumekuwa wakubwa bado tunalitumia,..
 
Mimi ni mwanaume nina miaka ya mwanzoni mwa 30's personality yangu niko straight nina element za wale wazee ambayo ni wakoloni

Wanawake ambao nimewatongoza na kuonesha nia ya kuwaoa na kuanzisha nao familia wote wamenikataa, weakness kubwa niliyokuwa nayo mim sio muongo na niko straight may be ndo kitu kinachonifelisha ila kamwe kujibadilisha nimeshindwa

Kuna mda najiulizaga watu wanavyosemaga wanawake wa ki-leo wanalilia ndoa sidhan kama hii kauli ina ukweli, ni uongo sina tatizo na wanawake walionikataa sababu ni haki yao na sina chuki nao.

Na kamwe sitakaa niipinge ndoa yes nimeshindwa kupata mwanamke wa ndoa, lakin wengine wamefanikiwa kupata wenza na wanaishi vizuri kwa hiyo sipo kwenye ile kampen ya kataaa ndoa

Wanawake niliowaaproach ni wakawaida sio wa hadhi ya juu

Baada ya kukataliwa na kila mwanamke ambaye niliyetaka kumuoa na kuanzisha familia imeshindikana imebid nitulie kwanza nijipange kiakili kuishi bila mke ni ngumu ila inawezekana.

Let us be realistic ndoa is not for everyone wengine tumepigania ila imeshindikana kinachonipa aman at least nimejaribu sababu the only fear is not trying

Chamgamoto ninayokumbana nayo na nitakayokumbana nayo for the rest of my life ni upweke na ndo kitu ambacgo natakiwa kupambana nacho for the rest of my life
Pole mkuu
 
Mimi ni mwanaume nina miaka ya mwanzoni mwa 30's personality yangu niko straight nina element za wale wazee ambayo ni wakoloni

Wanawake ambao nimewatongoza na kuonesha nia ya kuwaoa na kuanzisha nao familia wote wamenikataa, weakness kubwa niliyokuwa nayo mim sio muongo na niko straight may be ndo kitu kinachonifelisha ila kamwe kujibadilisha nimeshindwa

Kuna mda najiulizaga watu wanavyosemaga wanawake wa ki-leo wanalilia ndoa sidhan kama hii kauli ina ukweli, ni uongo sina tatizo na wanawake walionikataa sababu ni haki yao na sina chuki nao.

Na kamwe sitakaa niipinge ndoa yes nimeshindwa kupata mwanamke wa ndoa, lakin wengine wamefanikiwa kupata wenza na wanaishi vizuri kwa hiyo sipo kwenye ile kampen ya kataaa ndoa

Wanawake niliowaaproach ni wakawaida sio wa hadhi ya juu

Baada ya kukataliwa na kila mwanamke ambaye niliyetaka kumuoa na kuanzisha familia imeshindikana imebid nitulie kwanza nijipange kiakili kuishi bila mke ni ngumu ila inawezekana.

Let us be realistic ndoa is not for everyone wengine tumepigania ila imeshindikana kinachonipa aman at least nimejaribu sababu the only fear is not trying

Chamgamoto ninayokumbana nayo na nitakayokumbana nayo for the rest of my life ni upweke na ndo kitu ambacgo natakiwa kupambana nacho for the rest of my life
You are not serious...
 
Back
Top Bottom