Nimetafuta mwanamke wa kuoa nimekosa, imebidi niishi single maisha yangu yote yaliyobaki hapa duniani

Nimetafuta mwanamke wa kuoa nimekosa, imebidi niishi single maisha yangu yote yaliyobaki hapa duniani

U
Mim ni mwanaume nina miaka ya mwanzoni mwa 30's.

Wanawake ambao nimewatongoza na kuonesha nia ya kuwaoa na kuanzisha nao familia wote wamenikataa. Kuna mda najiulizaga watu wanavyosemaga wanawake wa ki-leo wanalilia ndoa sidhan kama hii kauli ina ukweli, ni uongo sina tatizo na wanawake walionikataa sababu ni haki yao na sina chuki nao.

Wanawake niliowaaproach ni wakawaida sio wa hadhi ya juu

Baada ya kukataliwa na kila mwanamke ambaye niliyetaka kumuoa na kuanzisha familia imeshindikana imebid nitulie kwanza nijipange kiakili kuishi bila mke ni ngumu ila inawezekana.

Let us be realistic ndoa is not for everyone wengine tumepigania ila imeshindikana kinachonipa aman at least nimejaribu sababu the only fear is not trying
Najiulizaga wanavyosemaga.
Kwa staili hiiiii khekhekhe
 
Mim ni mwanaume nina miaka ya mwanzoni mwa 30's.

Wanawake ambao nimewatongoza na kuonesha nia ya kuwaoa na kuanzisha nao familia wote wamenikataa. Kuna mda najiulizaga watu wanavyosemaga wanawake wa ki-leo wanalilia ndoa sidhan kama hii kauli ina ukweli, ni uongo sina tatizo na wanawake walionikataa sababu ni haki yao na sina chuki nao.

Wanawake niliowaaproach ni wakawaida sio wa hadhi ya juu

Baada ya kukataliwa na kila mwanamke ambaye niliyetaka kumuoa na kuanzisha familia imeshindikana imebid nitulie kwanza nijipange kiakili kuishi bila mke ni ngumu ila inawezekana.

Let us be realistic ndoa is not for everyone wengine tumepigania ila imeshindikana kinachonipa aman at least nimejaribu sababu the only fear is not trying
Achana na wa mjini,tafuta na mkoa,watown wanakula raha kwanza,wakihitaji ndoa wamesha zeeka😂
 
Wanawake wote hawa wanakukataa, basi ni eidha sura mbaya sana ni maskini wa kutupwa yaani hohehahe au una kichwa kikubwa sana wanaogopa kuoata shida wakati wa kujifungua.

Wanaokwambia tafuta hela wanakuchota tu, kama una kipato chako si rahisi mwanamke kuchomoa

Au labda huwa unatongoza vitoto na kuviadi ndoa ilhali havijui ndoa ni nini.
 
Mim ni mwanaume nina miaka ya mwanzoni mwa 30's.

Wanawake ambao nimewatongoza na kuonesha nia ya kuwaoa na kuanzisha nao familia wote wamenikataa. Kuna mda najiulizaga watu wanavyosemaga wanawake wa ki-leo wanalilia ndoa sidhan kama hii kauli ina ukweli, ni uongo sina tatizo na wanawake walionikataa sababu ni haki yao na sina chuki nao.

Wanawake niliowaaproach ni wakawaida sio wa hadhi ya juu

Baada ya kukataliwa na kila mwanamke ambaye niliyetaka kumuoa na kuanzisha familia imeshindikana imebid nitulie kwanza nijipange kiakili kuishi bila mke ni ngumu ila inawezekana.

Let us be realistic ndoa is not for everyone wengine tumepigania ila imeshindikana kinachonipa aman at least nimejaribu sababu the only fear is not trying
Karibu chamani mkuu
 
Tatizo ukiwatongoza unaenda Moja Kwa moja na mada ya kuonana, Kwa wanawake ambao bado wapo kwenye 20 - 30 ni ngumu sana kukubali sababu wengi bado wanakuwa unsettled.

Ushauri wangu tafuta mwanamke lakini usimwambie unataka ndoa direct , ukifika muda utaona tu yeye mwenyew ataonyesha dalili.

Bado muda upo usikate tamaa , kuwa bachelor is a lonely life hasa ukifika 40+.
 
Tafuta mwanamke wa hadhi yako mkuu watakuja mpaka utawakimbia mwenyewe.

Alafu kumtongoza binti kwa kumuambia utamuoa haikufanyi uaminike kwa huyo mwana mke kwa sababu wakati ww una muambia hivyo wenda amesha ambiwa na wanaume wengi tu lakini mwisho wakamla na kumkimbia kwa hiyo na ww ukimuingia kwa gia hiyo anakuona ni wale wale.
Am too conservative na introverts ni personality ambayo siwezi ibadilisha
 
Mim ni mwanaume nina miaka ya mwanzoni mwa 30's personality yangu niko straight nina element za wale wazee ambayo ni wakoloni

Wanawake ambao nimewatongoza na kuonesha nia ya kuwaoa na kuanzisha nao familia wote wamenikataa, weakness kubwa niliyokuwa nayo mim sio muongo na niko straight may be ndo kitu kinachonifelisha ila kamwe kujibadilisha nimeshindwa

Kuna mda najiulizaga watu wanavyosemaga wanawake wa ki-leo wanalilia ndoa sidhan kama hii kauli ina ukweli, ni uongo sina tatizo na wanawake walionikataa sababu ni haki yao na sina chuki nao.

Na kamwe sitakaa niipinge ndoa yes nimeshindwa kupata mwanamke wa ndoa, lakin wengine wamefanikiwa kupata wenza na wanaishi vizuri kwa hiyo sipo kwenye ile kampen ya kataaa ndoa

Wanawake niliowaaproach ni wakawaida sio wa hadhi ya juu

Baada ya kukataliwa na kila mwanamke ambaye niliyetaka kumuoa na kuanzisha familia imeshindikana imebid nitulie kwanza nijipange kiakili kuishi bila mke ni ngumu ila inawezekana.

Let us be realistic ndoa is not for everyone wengine tumepigania ila imeshindikana kinachonipa aman at least nimejaribu sababu the only fear is not trying

Chamgamoto ninayokumbana nayo na nitakayokumbana nayo for the rest of my life ni upweke na ndo kitu ambacgo natakiwa kupambana nacho for the rest of my life
Pole sana mkuu,ila hii ni ajabu,wanawake mbona wako wengi sana? Ni kweli umekosa?
 
1. Cha msingi yeye aendelee kutafuta pesa utapata unayemtaka ,umri cyo issue mpaka miaka 35 unaoa.
2 tabia yako ikae sawa sidhani km kuna mwanamke atavumilia tabia mbovu ya mwanaume.
3. Muumbe Mungu hakuna kinachoshindikana kwake. Usikate tamaa.
 
Back
Top Bottom