Nimetapeliwa elfu hamsini (50,000/-)na huyu dada tuliyeheshimiana sana, nimfanye nini?

Mkuu 50 k tu unataka kumfanyia mtu umafia, potezea kaa kwa amani
 
Hakuna neno kama hili eti tunaheshimiana kama kaka na dada

Hilo ndio kosa lako kubwa hapo hukujiongeza kuwa anakutaka na wewe umebaki ooh dada
Mnatumia neno dada vibaya sana
 
Mwanamke akopeshwi anapewa fullstop lBda dada ndo unaweza mkopesha, uyo dada ako mmezaliwa wote au shoga ako
 
Mwanamke akopeshwi anapewa fullstop lBda dada ndo unaweza mkopesha, uyo dada ako mmezaliwa wote au shoga ako
Hatujazaliwa wote. Uwe unasoma vizuri na uache kukurupuka. Toa mbinu za kimafia mkuu.!
 
Vivizia zoa unyayo ukifanikisha nitafte pm mkuu Kama uko dar utakapoenda sio mbali Kijiji fulani Moro pale kilichonipelekea ni kujaribu kukuua akati ni haki yako yaan anakuita mwiziii !!!!
 
Vivizia zoa unyayo ukifanikisha nitafte pm mkuu Kama uko dar utakapoenda sio mbali Kijiji fulani Moro pale kilichonipelekea ni kujaribu kukuua akati ni haki yako yaan anakuita mwiziii !!!!
Kabisa, hilo pia naliwekea bold. Nitali consider.
 
Usidai tena hiyo hela jaribu kumpotezea hata salamu usimpe atajilengesha mwenyewe na neno sweet, darling, babe litumike [emoji1417]
Litumike? Mimi simtaki nataka hela, hela ameshindwa kulipa means anatakiwa afanyiwe umafia tu. Sitaki uchi wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…