Nimetapeliwa zaidi ya Tsh. 45,000,000 kwa kuuziwa kiwanja feki

napambana nao hawa kimafia najua lazma watanifidia
 
Wengine kumuita wakili wanaona gharama.
Hawajui kuwa wakili ndo mtetezi wako hata ikitokea matatizo anayekwenda mahakamani kufuatilia kesi NI yule hakimu .
Wakati wewe unaendelea na Mambo yako
UTAPELI wa ardhi Mara nyingi huwa una mkono mrefu mpaka ardhi.

Unaweza kumtumia wakili ukapewa mpaka hati kutoka Ardhi lakini ukapige.
 
UTAPELI wa ardhi Mara nyingi huwa una mkono mrefu mpaka ardhi.

Unaweza kumtumia wakili ukapewa mpaka hati kutoka Ardhi lakini ukapige.
Tata document zangu zote zimepita kwa wakili, na baadhi ya wengine walipita kwa wenyeviti wa mtaa na mtendaji na bado tumepigwa.

Lakini naenda nao kimafia wote wako mikononi mwa sheria bado mmoja ambae ni Diwani mstaafu huyu ndio injini wa mtandao huu wa utapeli na lazima tumpate.
 
Unataka kusema tapeli anashirikiana na wakili?
UTAPELI wa ardhi Mara nyingi huwa una mkono mrefu mpaka ardhi.

Unaweza kumtumia wakili ukapewa mpaka hati kutoka Ardhi lakini ukapige.
 
huyo wakili ulimtafuta wewe au muuzaji?
 
Nimejifunza jambo hapa... Nasoma comments mkuu.
 
Haya mambo yasikie tu.

Nina siku ya nne leo tangu nigundue kwamba nimepigwa, hata kula vizuri siwezi, nawaonea wivu wenzangu walionunua maeneo madogo kwa bei za 15m kushuka chini. Naona hasara yao ni ndogo kuliko yangu.
Wapi huko mkuu
 
Unataka kufanya ufugaji[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Umenipanua ubongo, kwa kuelewa mambo ambayo kabla ya hii topic sikuyaelewa hasa hili la "mwenza", dah! Isee ubarikiwe sana.
 
Jamani nyie! Mnazidi tu kunigusa roho! Ad nakosa raha mie.
 
Mkuu matapeli ni noma mimi mwaka jana nimetapeliwa katika ishu moja hivi yan mpka nakuja kujua kua nimetapiliwa aisee nilteseka sana na ile hali ubaya wa matapeli wanakwalua kiasi chote hadi akiba yako wanachukua na hawana huruma mi nasema tapeli ni mmbaya kuliko mwizi
 
Umenipanua ubongo, kwa kuelewa mambo ambayo
kabla ya hii topic sikuyaelewa hasa hila la "mwenza", dah! Isee ubarikiwe sana.
Mkuu nisikufiche wala sijisifii, ila hii post niliyotoa kuna watu wanapata hiyo consultation kwa wakili kwa kuilipia hata 2M au hata zaidi, ila hapo nimeamua kuitoa for free na usishangae mtu akasoma hapo na bado asichukue tahadhari na akapigwa akarudi hapa analia anahitaji tena ushauri 😂😂😂
Barikiwa kama umeongeza kitu kwa andiko hilo.
 
Jamani nyie! Mnazidi tu kunigusa roho! Ad nakosa raha mie.
Pole mkuu, sio kwamba ninazidi kukuumiza ila ni somo tunalolitoa juu ya mambo ya ardhi kwani wengi yanawakuta kutokana na kutojua, na kibaya zaidi hao viongozi wa mitaa/vijiji ndio wanachangia kwa kiasi kikubwa, na linapotokea la kutokea hawana msaada wowote.
 
How is this possible?
Kwani mkuu , mbona watu wamelizwa sana!!mtu una hati original, anazunguka mtu mwenye pesa yake anaenda anatoa rushwa inatolewa hati nyingine, tena inarudishwa nyuma kuliko hata hiyo yako!!ila kwa sasa imepungua sana kama sio kuisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…