National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
eeh ! mkuu hapo nakuwa nimeua ndege wawili kwa jiwe moja.. napata mke na mtoto.. safiiiUpo sawa mkuu, endelea kupambania kombe na Mungu akifanya wepesi awe mwenye siha njema...😊
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
eeh ! mkuu hapo nakuwa nimeua ndege wawili kwa jiwe moja.. napata mke na mtoto.. safiiiUpo sawa mkuu, endelea kupambania kombe na Mungu akifanya wepesi awe mwenye siha njema...😊
Nilikua nayo. Naomba rejea mada vizuri nimeeleza mpendwa wangu. Kwamba kwa nini nabadili kaziUsingetelekezwa usingetafuta kazi
naweza kukupatia chochote kitu,mana nimeguswa sana naweza kufanya hivyo...Sijapata rafiki. Bado nina uhitaji
AmenMoyo wa mtu kichaka yaani usimuamini hata aseme Nakupenda mara 1000.
Kuna maswali kaulizwa kuhusu ndugu wa mvulana hajibuNa mipango mlipanga ya kufunga ndoa kisha akatae ujauzito weeee best hii story yako mbona umeficha jambo si kawaida kutokea hivi.
Hii ni moja ya kauli ambazo sizipenda kabisa, hii inafanana na kauli nyingine nisiyoipenda kuisikia ya mfumo dume. On the global called earth, we don't have weak or strong women/woman, there is no weak or strong men/man. Ila wapo wanawake na wanaume. Mengine ya kukera yamezalishwa na watu wasiozijua nafasi zao katika jamii. Unaposema strong/weak women, kumbuka kwenu, kumbuka nafasi yako katika familia.Strong Woman.
Siku hizi mtu anaweza kukutambulisha ndugu kumbe ni ndugu wa mchongo ama wanatoka mkoa mmoja wanadanganya ni ndugu.Kuna maswali kaulizwa kuhusu ndugu wa mvulana hajibu
Ni Bora kuwa real kuliko kufake kujificha kwenye kivuli Cha upendo et nilimpenda sana mm nasemaga wazi kwasasa siko tayari na hakuna wa kunilazimisha mayai yangu mwenyew kwanini yaniteseMoyo wa mtu kichaka yaani usimuamini hata aseme Nakupenda mara 1000.
Acha roho mbaya pimbi weweHuna pesa ulibeba mimba ya kazi gani?
Ulienda kama umekatwa kichwa, sawa jiandae kulea.
Asante sana kwa kuwa unaendelea kumtambua mtuhumiwa. Bila shaka wewe una sifa za upelelezi. Japo sikujui. Mungu akubariki inspectorUnaonekana hujasoma hata mada vizuri. Amesema ameshindwa kuendelea na kazi aliyokuwa akifanya kwa kuwa inamtaka kusimama muda mrefu. Na hata angekuwa amepata hiyo mimba ndani ya ndoa mume akawa kapuku bado angehitaji kazi ya kuendeshea maisha yake. Anyway nahisi wewe ndio mwenye mimba. I rest my case
Asante sana kwa ushauri wangu. Mungu akubarikiPole sana.
Ulipata ugonjwa mbaya unaowapata wengi na ugonjwa huu hupofusha, mtu haoni, hasikii wala hajijui.
Mapenzi.
Ungerudi nyuma kidogo kumchunguza huyo bwana ,lazima ungeona dalili za utapeli.
Kuwa mvumilivu, mtoto akizaliwa, kupitia ustawi wa jamii, pima DNA yako ,mtoto na baba.
Halafu dai hela ya matunzo.
AsanteHuruma ya nini.. hawa viumbe sio wakuonea huruma wakatili na kivuli chao kujitetea ni uanamke.. always ata awe nani yang nasimama upande wa mwanaume so ww mleta mada ndo una matatizo sio mwana
AmenMwanamke ndo anajua siku za hatari n.k. wewe ulikubali vipi ubebe mimba na mtu ambaye si mumeo? Hiyo ni upumbavu.
Sawa naomba nikutumie email wangu PM unipe maelekezo.Hujasema Mkoa uliopo, au nao ni private?
Tuma namba inbox nikufanyie interview.
Hii hatari sana. Kwa kifupi huyu inaonekana hata kijana anapoishiSiku hizi mtu anaweza kukutambulisha ndugu kumbe ni ndugu wa mchongo ama wanatoka mkoa mmoja wanadanganya ni ndugu.
KWENYE maisha yako kamwe usijekumwagia ndani alafu baadae uje kumlaumu mwanamke kwa UPUMBAVUU WAKOOO...davidoo anasuffer leoo sababu hakutumia akilii na kamwee hutasikia wale wanawake wanalaumiwaa. So hata kwenye hii kesii jamaa kazingua sanaa unamwaga ndani ukitegemea calender yani vaa uendee mzee imekulaa hiyoo..Mwanamke ndo anajua siku za hatari n.k. wewe ulikubali vipi ubebe mimba na mtu ambaye si mumeo? Hiyo ni upumbavu.
Na Mwanamke huwa anakuwa amedhaniria hakuna mimba inayoingia bahati mbaya. Kabla ya kubeba mimba inapaswa Mwanamke amshirikishe Mwanamume. Hakuna mimba ya bahati mbaya na Wanawake huwa wanarudia haya makosa mara nyingi na ushuhuda kutoka kwa wenzao unatolewa kila mara.Mwanamke ndo anajua siku za hatari n.k. wewe ulikubali vipi ubebe mimba na mtu ambaye si mumeo? Hiyo ni upumbavu.
Hawajielewi. Wapumbavu. Hawajifunzi. Anakuja hapa kulia lia. Utadhani alibakwa. Wakati wa kutiana alikuwa anaona sawa akidhani mimba itamfanya aolewe.Na Mwanamke huwa anakuwa amedhaniria hakuna mimba inayoingia bahati mbaya. Kabla ya kubeba mimba inapaswa Mwanamke amshirikishe Mwanamume. Hakuna mimba ya bahati mbaya na Wanawake huwa wanarudia haya makosa mara nyingi na ushuhuda kutoka kwa wenzao unatolewa kila mara.
Upo sahihi mkuu....Siku hizi mtu anaweza kukutambulisha ndugu kumbe ni ndugu wa mchongo ama wanatoka mkoa mmoja wanadanganya ni ndugu.
Shukran sanaKWENYE maisha yako kamwe usijekumwagia ndani alafu baadae uje kumlaumu mwanamke kwa UPUMBAVUU WAKOOO...davidoo anasuffer leoo sababu hakutumia akilii na kamwee hutasikia wale wanawake wanalaumiwaa. So hata kwenye hii kesii jamaa kazingua sanaa unamwaga ndani ukitegemea calender yani vaa uendee mzee imekulaa hiyoo..