Nimetembea na mwanamke bila kinga nahisi ni Mwathirika

Nimetembea na mwanamke bila kinga nahisi ni Mwathirika

Mimi nimejipima Jana Niko freshi, sasa sijui inachukua mda gani kuonyesha kama nimeambukizwa
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Kama hamjachubuana hakuna Ngoma hapo kama umetumia nguvu kusuguana muda mrefu na kwake kumekauka basi Mungu akusaidie.
 
Kajiandikishe kwanza kwenye daftari la waenda mbinguni withing 10 years ijayo ...kabla sija kushauri mengine
 
Nataka nijue kama nimeathirika nisimwambukize Mke wangu,na watu wengine na nianze kuishi kama mwaathirika
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Mimi nimejipima Jana Niko freshi,sasa sijui inachukua mda gani kuonyesha kama nimeambukizwa
Kwa vipimo vya 4th generation Wiki 6 hata 4 angalao.Hicho ulichojipima jana ni kujiridhisha kwamba kabla ya kumgonga yeye Ulikuwa negative
 
Tafuta PEP kama masaa 72 hayajaisha

California love
Ninaishi peke Yangu inje ya inchi Mke wangu yuko TZ na tuko lockdown hakuna kutoka wala kuingia,jumanne alinitembelea Binti mmoja nikajikuta nagonga dry, kesho yake nilipomlazimisha tukapime alikata katakata,Ikabidi Jana jumamosi nikanunue vipimo vya ukimwi nijipime mbele yake kumshawishi ili apime,bado aligoma. Naombeni Mwenye ujuzi kama kuna Dawa naweza kunywa ikanisaidi kama nimeambukizwa ukimwi
Zimepita siku ngapi toka ukutane nae? Kama zimepita siku tatu au masaa 72 basi subiri rehema za Mungu.Ila kama upo within huo muda wahi hospitali ukapate PEP.
Pole sana Brother.

Nenda hosp wakupe ushauri. Ila hata kama umepata Maambukizi kwasababu umeuwahi utatoka.

Hapa Nimekusaidia ku google.

PEP stands for post-exposure prophylaxis. It means taking antiretroviral medicines (ART) after being potentially exposed to HIV to prevent becoming infected. PEP must be started within 72 hours after a recent possible exposure to HIV, but the sooner you start PEP , the better it works.
Pole sana kiongozi. Upo nchi gani? Je zishapita Siku 3 tangu ukutane Naye
Kachukue PEP fasta
NNilichogundua nyinyi wote hamjasoma post.

Anyway mleta mada.
Kimsingi kula vizuri, fanya mazoezi, pumzika vya kutosha.
Ishi kwa matumaini.
 
Sina hofu ,kazi Yangu lazima nisafiri kilomita 3000 kila mwezi,njiani nakutata na ajali nyingi sana.Kwa hiyo siogopi kufa ila nataka nitende wema kwa binadamu wenzangu.Vilevile hakuna atakayeishi milele
 
NNilichogundua nyinyi wotw hamjasoma post.

Anyway mleta mada.
Kimsingi kula vizuri, fanya mazoezi, pumzika vya kutosha.
Ishi kwa matumaini.
Jumanne alinitembelea Binti mmoja nikajikuta nagonga dry, kesho yake nilipomlazimisha tukapime alikata katakata,Ikabidi Jana jumamosi nikanunue vipimo vya ukimwi nijipime mbele yake kumshawishi ili apime,bado aligoma.
Ndo nimeipitia tena hiyo post nikanote hicho kifungu.Wengi huwa tunasoma kupata maudhui tu mwishowe kuna baadhi ya vilivyoandikwa hatutilii maanani.Asante kwa ukumbusho.
Mtoa mada masaa 72 yashapita sasa na PEP hazina msaada tena.Ila haimaanishi ushaukwaa.Subiri hadi ule wa muda wa virusi kuanza kujidhihirisha mwilini ukapime.Usiogope lakini,mtu anayetumia dawa kwa usahihi hatakuambukiza kiurahisi.
 
  • Thanks
Reactions: amu
Mozambique, mipaka imefungwa hakuna kuingia wala kutoka tunamaliza miezi 2 sasa,na naona wataongezea mingine
Hio nchi si Kama bongo tu??? Tena buza kabsa. Pole Sana. Sidhani Kama umepata maambukizi
 
Ukimwi unasiri kubwa sana. Ila usipende kujifanya unamsugua mwanamke kama mkeo. Subiri miezi mitatu upime tena. Karibu chamani CHAPUTA wenzio tunakula vizuri maisha safi, tukisikia hamu tunapiga puli tu haina kufeli wala mipresha presha ya kipumbavu kisa mwanamke. Hela ya nauli umpe, kumgonga umsugue vizuri na VVU akupe tena. Mm ndio maana ngono a kiumbe chochote siiweki kwenye vipaumbele vyangu. Bora hata ununue mdoli wako unajilia tu magetoni.
 
Ukimwi unasiri kubwa sana. Ila usipende kujifanya unamsugua mwanamke kama mkeo. Subiri miezi mitatu upime tena. Karibu chamani CHAPUTA wenzio tunakula vizuri maisha safi, tukisikia hamu tunapiga puli tu haina kufeli wala mipresha presha ya kipumbavu kisa mwanamke. Hela ya nauli umpe, kumgonga umsugue vizuri na VVU akupe tena. Mm ndio maana ngono a kiumbe chochote siiweki kwenye vipaumbele vyangu. Bora hata ununue mdoli wako unajilia tu magetoni.
Duh,umetisha
 
Back
Top Bottom