Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,111
- 28,020
Kuyakumbuka hayo mpaka uwe na akili ya ziadakama hutaki umuambukize mkeo kwa nn ulienda NYAMA kwa NYAMA, bora hata ungenyetuka tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuyakumbuka hayo mpaka uwe na akili ya ziadakama hutaki umuambukize mkeo kwa nn ulienda NYAMA kwa NYAMA, bora hata ungenyetuka tu
Habari,unaendeleaje na dozi ya hivNinaishi peke yangu inje ya nchi Mke wangu yuko TZ na tuko lockdown hakuna kutoka wala kuingia, jumanne alinitembelea binti mmoja nikajikuta nagonga dry. Kesho yake nilipomlazimisha tukapime alikata katakata, ikabidi jana Jumamosi nikanunue vipimo vya UKIMWI nijipime mbele yake kumshawishi ili apime, bado aligoma.
Naombeni Mwenye ujuzi kama kuna Dawa naweza kunywa ikanisaidi kama nimeambukizwa UKIMWI
🤣 🤣 🤣 🤣Habari,unaendeleaje na dozi ya hiv
Pima tena baada ya miezi mitatuMimi nimejipima Jana Niko freshi,sasa sijui inachukua mda gani kuonyesha kama nimeambukizwa
Pima tena baada ya miezi mitatu
HaaaaaSoon utakutana na Funzajike.
mbaya wewe 😂 😂 😂Habari,unaendeleaje na dozi ya hiv