Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Nimewahi kushuhudia mwanafunzi mmoja akipata uchizi nikiwa Lindi high school kwa kujihisi kalala na demu mwenye ngoma.
Kumbe hofu ni adui mkubwa sana
Kumbe hofu ni adui mkubwa sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh,Yaani umeenda kinyume nyume..umekula ndio ukataka kupima?ushafeliNinaishi peke yangu inje ya inchi Mke wangu yuko TZ na tuko lockdown hakuna kutoka wala kuingia, jumanne alinitembelea binti mmoja nikajikuta nagonga dry. Kesho yake nilipomlazimisha tukapime alikata katakata, ikabidi jana Jumamosi nikanunue vipimo vya UKIMWI nijipime mbele yake kumshawishi ili apime,bado aligoma.
Naombeni Mwenye ujuzi kama kuna Dawa naweza kunywa ikanisaidi kama nimeambukizwa UKIMWI
Ninaishi peke yangu inje ya inchi Mke wangu yuko TZ na tuko lockdown hakuna kutoka wala kuingia, jumanne alinitembelea binti mmoja nikajikuta nagonga dry. Kesho yake nilipomlazimisha tukapime alikata katakata, ikabidi jana Jumamosi nikanunue vipimo vya UKIMWI nijipime mbele yake kumshawishi ili apime,bado aligoma.
Naombeni Mwenye ujuzi kama kuna Dawa naweza kunywa ikanisaidi kama nimeambukizwa UKIMWI
[emoji3][emoji3] si atageuka barafu sasa week nzima, afu lile goma linakua ndani ya damu,vipi iwe kwa kuoga tena[emoji119]Oga maji ya BARIDI toka kwenye friji week nzima mfurulizo
Huku poa tu sijui pande hizo!Poa kabisa,
Kwema huko uliko!
huku kwema.Huku poa tu sijui pande hizo!
Ushauri wako uko poa.Umechelewa kuomba ushauri, ila ingekua hazijapita siku 3, tungekushauri utumie PEP, ila relax kama hakukua na michubuko kuna uwezekano usipate.
Next time uwe makini, inakuaje upige kavu kwa mtu ambaye hufahamu status yake bana, tupunguze kufanya maamuzi kwa kutumia vichwa vya chini.
Acha uoga kijana ,kwani ukimwi alitengenezewa kuku? tafuta mwingine loweka mkwaju alaaNinaishi peke yangu inje ya nchi Mke wangu yuko TZ na tuko lockdown hakuna kutoka wala kuingia, jumanne alinitembelea binti mmoja nikajikuta nagonga dry. Kesho yake nilipomlazimisha tukapime alikata katakata, ikabidi jana Jumamosi nikanunue vipimo vya UKIMWI nijipime mbele yake kumshawishi ili apime, bado aligoma.
Naombeni Mwenye ujuzi kama kuna Dawa naweza kunywa ikanisaidi kama nimeambukizwa UKIMWI
[emoji12][emoji14][emoji12]Jaribu kumshirikisha wife hili jambo. Mbona linatatulika...
tuwekee majibu yako hapa kwanzaNinaishi peke yangu inje ya nchi Mke wangu yuko TZ na tuko lockdown hakuna kutoka wala kuingia, jumanne alinitembelea binti mmoja nikajikuta nagonga dry. Kesho yake nilipomlazimisha tukapime alikata katakata, ikabidi jana Jumamosi nikanunue vipimo vya UKIMWI nijipime mbele yake kumshawishi ili apime, bado aligoma.
Naombeni Mwenye ujuzi kama kuna Dawa naweza kunywa ikanisaidi kama nimeambukizwa UKIMWI
ulitumia vipimo gani, UNIGOLD inatoa majibu real-time hata kama umetoka kugonga hapo hapo Ngwenge inaonekana. Andika kabisa WOSIA na chagua aina ya jeneza unalopendaNimetembea naye jumanne Leo jumapili mkuu kuna siku5
Ninaishi peke yangu inje ya nchi Mke wangu yuko TZ na tuko lockdown hakuna kutoka wala kuingia, jumanne alinitembelea binti mmoja nikajikuta nagonga dry. Kesho yake nilipomlazimisha tukapime alikata katakata, ikabidi jana Jumamosi nikanunue vipimo vya UKIMWI nijipime mbele yake kumshawishi ili apime, bado aligoma.
Naombeni Mwenye ujuzi kama kuna Dawa naweza kunywa ikanisaidi kama nimeambukizwa UKIMWI
kama hutaki umuambukize mkeo kwa nn ulienda NYAMA kwa NYAMA, bora hata ungenyetuka tuSasa mnanitisha jamani,OK ni mda gani kama ameniambukiza ukimwi unaweza kuoneka maana sitaki nikamuambukize Mke wangu
Fafanua alifikaje kwako iwapo hakuna kuingia wala kutoka.tuko lockdown hakuna kutoka wala kuingia, jumanne alinitembelea binti mmoja