Nimetembea na mwanamke bila kinga nahisi ni Mwathirika

Nimewahi kushuhudia mwanafunzi mmoja akipata uchizi nikiwa Lindi high school kwa kujihisi kalala na demu mwenye ngoma.
Kumbe hofu ni adui mkubwa sana
 
Duh,Yaani umeenda kinyume nyume..umekula ndio ukataka kupima?ushafeli
 
Mlitembea kutoka wapi mpaka wapi?
 
Siku hizi huku mtaani kupata ngoma wanaita kujiunga Freemason.😁!

Nasikiaga muziki wa PEP nao siyo lelemama.
 
Huku poa tu sijui pande hizo!
huku kwema. Ushauri wako uko poa.
 
Nimeshawahi kunywa PEP mziki wake sio mchezo. Japo nilinusurika but sifanyi ngono zembe tena.
 
Acha uoga kijana ,kwani ukimwi alitengenezewa kuku? tafuta mwingine loweka mkwaju alaa
 
tuwekee majibu yako hapa kwanza
 
Nimetembea naye jumanne Leo jumapili mkuu kuna siku5
ulitumia vipimo gani, UNIGOLD inatoa majibu real-time hata kama umetoka kugonga hapo hapo Ngwenge inaonekana. Andika kabisa WOSIA na chagua aina ya jeneza unalopenda
 

Nenda klinik kuna dawa watu wanapewa wakijihisi ila inabidi uwahi ndani ya masaa 72 nafikiri. Kaulize ulipo na ukome kuchepuka haswa kavu kavu
 
Utaratibu ni kwamba ukishajilipua unaenda hospitali unapewa prophylaxis. Nenda ukasaidiwe haraka kuna limit ya muda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…