Nimetengeneza milioni 30 faida ya kilimo ndani ya miaka 3

Nimetengeneza milioni 30 faida ya kilimo ndani ya miaka 3

30,000,000 / 36 (miezi) = 833,333 >> 850,000 (kwa mwezi)

Uzi wako Maana yake ni kwamba au kichwa chake kinasema

Nimetengeneza 850,000 faida ya kilimo kwa mwezi mmoja.

Sisemi 850,000 ni pesa ndogo ila binafsi naamini umetumia nguvu nyingi

pesa nyingi,akili nyingi kutafuta faida ndogo ambayo bila hata nguvu ulizotumia ungeweza ipata.
Muda mwingi sana pia lakini anyways, something is better than nothing, kimfaacho mtu chake bwana.
 
Huu uzi sio wa vijana wasio na ajira,ni uongo ambao haupo ktika uhalisia kilimo hicho

kimekupa hivyo kwanza sababu wewe sio mtu wa kawaida kama hao vijana unaowasemea.

Kilimo kizuri kwa level ya maisha uliyopo ila sio kitu ya kusema kijana aingie aifanye.

Kidogoooo Kilimo cha umwagiliaji ila sio kilimo cha kusubiria mvua...
 
30,000,000 / 36 (miezi) = 833,333 >> 850,000 (kwa mwezi)

Uzi wako Maana yake ni kwamba au kichwa chake kinasema

Nimetengeneza 850,000 faida ya kilimo kwa mwezi mmoja.

Sisemi 850,000 ni pesa ndogo ila binafsi naamini umetumia nguvu nyingi

pesa nyingi,akili nyingi kutafuta faida ndogo ambayo bila hata nguvu ulizotumia ungeweza ipata.
Tajiri wa jf kwako 850,000/- ni ndogo, hivi unajua mishahara ya waajiriwa wengi? Acheni kufuru
 
Tajiri wa jf kwako 850,000/- hivi unajua mishahara ya waajiriwa wengi? Acheni kufuru
hamna aliebeza 850,000 ni pesa ndogo,ni hela nyingi sana sana

lakini kwa nguvu na muda na akili ulizotumia 850,000 ni pesa ndogo sana

ulipaswa kwa muda uliotumia akili ulizotumia upate zaidi ya 850,000 kwa mwezi.

kwanini? una sifa ya uvumilivu kama Jibu ni ndio kuna pesa sehemu nyingi sana ambazo

ukiwa na uvumilivu wa miezi kadhaa tu,huwezi kukosa hiyo hela sasa upge miaka mi 3

ungekua unaongelea pesa nyingi sana,hiyo 30m ilipaswa walau uipate ndani ya miezi 6

kwa akili ulizo nazo,muda uliotumia nk lakini matokeo yake umeipata kwa kuchelewa sana.
 
Matajiri wepi Molembe!? Matajiri ambao efu10 wanaiona ndogo lakini means ya kuipata bila wizi na ujanjaujanja hawana[emoji849]

Hebu tuwekee tumaelezo zaidi tujifunze hata kama faida ni milioni 10 sio haba
Mimi sina mchanganuo kwa kweli ila nilikuwa nalima kidogo hapo nyuma huku nikiendelea na shughuli zangu, lakini mwaka 2021 nilikuwa serious kidogo ambapo nilianza na milioni 3.5 mpaka sasa nina nikitoa hiyo 3.5 nabakiza milioni 30 na hiyo ndo faida niliyoipata kwa hii miaka 3 yaani 2021, 2022 na 2023.

Huku ninapolima misimu ni miwili kwa mwaka, mashamba nakodi na mazao mengi nauza nje ya nchi.
 
hamna aliebeza 850,000 ni pesa ndogo,ni hela nyingi sana sana

lakini kwa nguvu na muda na akili ulizotumia 850,000 ni pesa ndogo sana

ulipaswa kwa muda uliotumia akili ulizotumia upate zaidi ya 850,000 kwa mwezi.

kwanini? una sifa ya uvumilivu kama Jibu ni ndio kuna pesa sehemu nyingi sana ambazo

ukiwa na uvumilivu wa miezi kadhaa tu,huwezi kukosa hiyo hela sasa upge miaka mi 3

ungekua unaongelea pesa nyingi sana,hiyo 30m ilipaswa walau uipate ndani ya miezi 6

kwa akili ulizo nazo,muda uliotumia nk lakini matokeo yake umeipata kwa kuchelewa sana.
Wewe umejuaje nimetumia nguvu na akili nyingi?
 
Nimeanza kulima serious toka mwaka 2019, nikilima mahindi na viazi vitamu ndani ya misimu mitatu yaani toka 2022 mpaka sasa nimeweza kutengeneza faida ya 30M kupitia kilimo cha mahindi, viazi vitamu, na maharage.
Kwa hakika kilimo ni biashara tamu.

Nawashauri vijana wenzangu mchangamkie fursa.

Nipe mchongo ndugu yangu, unalima mashamba eneo gani na unatumia njia gani ili kufanikiwa?
 
Matajiri wepi Molembe!? Matajiri ambao efu10 wanaiona ndogo lakini means ya kuipata bila wizi na ujanjaujanja hawana🙄

Hebu tuwekee tumaelezo zaidi tujifunze hata kama faida ni milioni 10 sio haba
Wapi kule wanajisifu kudhulumu elf 30 za tala ,pesa X na branch ,halafu hapa wanajitia ushubwada
Mbuzi kabisa
 
30,000,000 / 36 (miezi) = 833,333 >> 850,000 (kwa mwezi)

Uzi wako Maana yake ni kwamba au kichwa chake kinasema

Nimetengeneza 850,000 faida ya kilimo kwa mwezi mmoja.

Sisemi 850,000 ni pesa ndogo ila binafsi naamini umetumia nguvu nyingi

pesa nyingi,akili nyingi kutafuta faida ndogo ambayo bila hata nguvu ulizotumia ungeweza ipata.

Kwan hela lazima igawanywe kwa mwezi?
 
Mnapagwa hapa,kama hakodishi mashamba basi anauza mbegu.

Ontario naye alianza humu na hadithi za tractor na faida ya 18M.

Stay tuned!
Wala sikodishi shamba wala kuuza mbegu nimeongelea kitu nilichokipata kutokana na shughuli za kilimo.
 
Kwan hela lazima igawanywe kwa mwezi?
Hapana hata kwa sekunde/dakika/saa/siku/wiki/mwezi/mwaka

Tulio wengi tunaishi kwa kuhesabu kuanzia mwezi,ni wachache hasa

tulio wafanyabiashara mapato yetu tunayahesabu kwa siku,ni vile tu unaamua

uwekeje hesabu zako ili upate jibu la kiasi ulichopata katika kazi husika ya kujiongezea kipato.
 
Yaani watu wanavyojifanya kurahisisha maisha
Eti Kwa nguvu unayotumia ilitakiwa upate hiyo million 30 ndani ya miezi 6 ,Wao kuweza ?
ingelikua ni rahisi hivyo na jinsi watu wanavyohustle ,kungekua na mamilionea
maana 60M Kwa mwaka ,miaka mi5 una 300M
vijana wengi Sana tunapigika hata kodi tu kipengele.
mtoa mada kaza mkuu,punde utakua mtu mwingine
 
Back
Top Bottom