hamna aliebeza 850,000 ni pesa ndogo,ni hela nyingi sana sana
lakini kwa nguvu na muda na akili ulizotumia 850,000 ni pesa ndogo sana
ulipaswa kwa muda uliotumia akili ulizotumia upate zaidi ya 850,000 kwa mwezi.
kwanini? una sifa ya uvumilivu kama Jibu ni ndio kuna pesa sehemu nyingi sana ambazo
ukiwa na uvumilivu wa miezi kadhaa tu,huwezi kukosa hiyo hela sasa upge miaka mi 3
ungekua unaongelea pesa nyingi sana,hiyo 30m ilipaswa walau uipate ndani ya miezi 6
kwa akili ulizo nazo,muda uliotumia nk lakini matokeo yake umeipata kwa kuchelewa sana.