CONTROLA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2019
- 7,001
- 23,449
asubutuuuuu,tungekua wote wakulimaKwani kuna pesa inapatikana bila kutumia nguvu na akili nyingi?
Kwa taarifa tu kilimo cha sasa hutumii nguvu nyingi ni pesa yako tu mambo yanaenda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
asubutuuuuu,tungekua wote wakulimaKwani kuna pesa inapatikana bila kutumia nguvu na akili nyingi?
Kwa taarifa tu kilimo cha sasa hutumii nguvu nyingi ni pesa yako tu mambo yanaenda
Kwahiyo ukisikia mtu analima kila siku lazima aende ainame shambani, kilimo cha sasa unaweza kukifanya upo mjini na ukapata matokeo mazuri ni usimamizi mzuri tu unahitajika.asubutuuuuu,tungekua wote wakulima
ukiwa hujawahi shika hela flani kuna hela ukitajiwa unaziona nyingi sana sanaEti Kwa nguvu unayotumia ilitakiwa upate hiyo million 30 ndani ya miezi 6 ,Wao kuweza ?
sawaKwahiyo ukisikia mtu analima kila siku lazima aende ainame shambani, kilimo cha sasa unaweza kukifanya upo mjini na ukapata matokeo mazuri ni usimamizi mzuri tu unahitajika.
siku boss akinuna ndo utajua hujui.million 10 gawa kwa miez 12 ni sawa na800,000 kwa mwezi.
hapo amna kitu ni zaid ya mshahara wangu
nalipwa zaidi ya 14 kwa mwaka
kilimo to the hell
Narudia tena, ingelikua ni rahisi hivyo tungekua na mamilionea wengi tuukiwa hujawahi shika hela flani kuna hela ukitajiwa unaziona nyingi sana sana
30m ndani ya miezi 6 = na 5m kwa mwezi ambayo ni sawa na 166 > 170k kwa siku
170k ni hela (faida) ambayo inapatikana kwa kuuza bidhaa 1 tu ya electronic Just 1 piece (eg: tv)
calculate kwa siku mtu anauza tv si chini ya 3,achana na electronics zingine na biashara zingine zenye faida tofauti.
hujaweka vibiashara uchwara vingine mtu anafanya,hilo ni duka 1 tu..unaongelea 30m unaona ni hela nyingi sana?
hiyo ni hela imetolewa tu mfano kulingana na level ya mtoa mada ila tukisema tuweke uhalisia wa Mtu mwenye akili na mtaji anatakiwa aingize kiasi gani kwa mwezi/miezi 6 watu wataguna mpka makoo yawaume.
sikatai wala kubisha kuhusu hii pesa ni nyingi sana na wapo vijana wengi tulaki 8.5 ni nyingi Kwa vijana wengi
Mbona pesa ndogo sana hio kwa miaka 3 sawa na milion 10 kila mwaka.
Wakati nyanya tu ndani ya miezi 3 unapata zaidi ya hizo kwa heka 10
Wew hiyo 30m kwa miaka mitatu unayo? Aijalishi ume invest nn! Kana unayo tupe mbinu itakayo kua bora kuliko mbinu ya muda mrefu outcome ndogo!Mbona pesa ndogo sana hio kwa miaka 3 sawa na milion 10 kila mwaka.
Wakati nyanya tu ndani ya miezi 3 unapata zaidi ya hizo kwa heka 10
Miezi 3 tu ukilima heka 20 za kunde au muhogo unapata zaidi ya hioWew hiyo 30m kwa miaka mitatu unayo? Aijalishi ume invest nn! Kana unayo tupe mbinu itakayo kua bora kuliko mbinu ya muda mrefu outcome ndogo!
Hapo tayari umemaliza. Kushauri si kwa mistari 2; fafanua. Umelima wapi? heka ngapi? Umelima mwenyewe au trekta? Na mengineyo ya kunishawishi. Uwezi Ukanitoa kijuujuu namna hiyo mie kijana wa mjini nikuige kirahisi hivyo.Nimeanza kulima serious toka mwaka 2019, nikilima mahindi na viazi vitamu ndani ya misimu mitatu yaani toka 2022 mpaka sasa nimeweza kutengeneza faida ya 30M kupitia kilimo cha mahindi, viazi vitamu, na maharage.
Kwa hakika kilimo ni biashara tamu.
Nawashauri vijana wenzangu mchangamkie fursa.
Jibu zuri kweli, humu Kuna watu wanajifanya wajuaji sana. BURE KABISA😡Hata hivyo sijaleta uzi kuwa inspire nyie matajiri wakubwa, uzi wangu unawalenga vijana ambao hawana mitaji wanaoweza kujiajiri kupitia kilimo.
Yaani watu wanavyojifanya kurahisisha maisha
Eti Kwa nguvu unayotumia ilitakiwa upate hiyo million 30 ndani ya miezi 6 ,Wao kuweza ?
ingelikua ni rahisi hivyo na jinsi watu wanavyohustle ,kungekua na mamilionea
maana 60M Kwa mwaka ,miaka mi5 una 300M
vijana wengi Sana tunapigika hata kodi tu kipengele.
mtoa mada kaza mkuu,punde utakua mtu mwingine
Da! Viazi mviringo vishatukata mda huuu wakati mwezi wa 5 vilikuwa 80elf saa hizi 30-35. Vimeshalima mitaji.Hii ndo JF
Yani matajiri wanapinga kabisa FAIDA ya milion 30 kwa miaka mitatu, na wengi hawajui kwamba kwenye kilimo unaweza piga pesa nzuri msimu huu lakini msimu ujao ukapiga hasara.
Mleta mada, komaa dingii, shikilia hapo hapo ya ela yote🦲🦲🦲
Safi kabisa, humu Kuna watu wanajifanya ujuaji SanaHata hivyo sijaleta uzi kuwa inspire nyie matajiri wakubwa, uzi wangu unawalenga vijana ambao hawana mitaji wanaoweza kujiajiri kupitia kilimo.
Kasema uhalisia sio kilimo cha pdfMbona pesa ndogo sana hio kwa miaka 3 sawa na milion 10 kila mwaka.
Wakati nyanya tu ndani ya miezi 3 unapata zaidi ya hizo kwa heka 10