bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
HakunaMhogo Gani unaokomaa miezi mitatu(3) Na unaanza kuvuna. Naapa kabisa Kwa jina La Yehova hakuna mhogo wa namna hiyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HakunaMhogo Gani unaokomaa miezi mitatu(3) Na unaanza kuvuna. Naapa kabisa Kwa jina La Yehova hakuna mhogo wa namna hiyo.
Umemwambia Kwa usahihi.Kubwa inategemeana unafanya reference ipi.
Una uwezo wa kuwawezesha watanzania wangapi Kama unajua hela nyingi Ni ipi Basi angalau watanzania laki moja wapate hata 15M ndani ya miaka iyo mitatu? Ama just your ego iko kazini. Wewe umemchukulia negatively mleta maada Kama akaleta majigambo fulani na ilhali sio ivyo kabisa . Sema negative mind Ina seek negative and weakness tu Vice versa haiwezi kudadavua. Yaani kwanza wewe kwenda hata kwa watt yatima ukawanunulia chakula Cha laki moja huwezi ama usomeshe Basi mmoja angalau Hadi chuo kikuu huwezi Ila unaiona iyo pesa Ni ndogo. Hapo ulipo huwezi ukaombwa alfu moja ukatoa bila ya kutaka kuiulizia Ni ya Nini.
So lower your ego be humble otherwise nature will humble you
Mhogo upi huo wa 3mths mkuu.?Miezi 3 tu ukilima heka 20 za kunde au muhogo unapata zaidi ya hio
HakunaMhogo upi huo wa 3mths mkuu.?
Yaan kama upo kichwani kwangu, hii ni project yangu kabisa an lakin ndo naanza sina uzoefuAcha kutoa siri za jeshi. Sisi tulio field tunakuelewa. Wao wamezoea light motivation speakers. Ndani ya humu JF wote ni wajuaji na wako vizuri financially. Niko chimbo nitalima ufuta na karanga mwaka huu nitarudi kama siyo hapa hata Pm tupeane ma ujanja.
[emoji28][emoji28]"NYANYA NINYANYASE" hatariiiKunawatu wanajua kudhani. Ameongea kirahisi sana. Hajui tuna misemo huku sisi WAKULIMA inaitwa "NYANYA NYANYASA"
Uzao wa kunde ukoje kwenye ekari Moja?Miezi 3 tu ukilima heka 20 za kunde au muhogo unapata zaidi ya hio
Umetengeneza tsh ngapi? Kwa nyanyaMbona pesa ndogo sana hio kwa miaka 3 sawa na milion 10 kila mwaka.
Wakati nyanya tu ndani ya miezi 3 unapata zaidi ya hizo kwa heka 10
DuuhKwanza kabisa 30M sio hela nyingi za kukufanya uje utupe testimony ukitegemea utatu inspire. Secondly, ume invest how much kuja kupata hio 30M kwa miaka mitatu..? Tudadavulie mahesabu yalivyo mpaka faida ya 30M ipatikane. Thirdly, jaribu kutizama agribusiness pia, ina hela kuliko kulimo. Uki invest vizuri kwenye agribusiness za horticulture, 30M ni hela ya miezi miwili hadi mitatu unaipata.
Nakuambia, humu watu Wana virtual money ila they are poor in realityMhogo upi huo wa 3mths mkuu.?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ndo maana wewe ukatumia nguvu kidogo kumtapeli mpenzi wako Queen of Sheba? Lipa pesa za watu mkuu. Acha utapeli
Mhogo wa miezi mitatu unavunwa?!!! Labda mhogo wake....hii ndio jf sasa ujuaji mwingi kumbe hamna kituMhogo Gani unaokomaa miezi mitatu(3) Na unaanza kuvuna. Naapa kabisa Kwa jina La Yehova hakuna mhogo wa namna hiyo.
Unajua mtaji wa electronics ? Au unaleta hadithi za Sungura na Fisiukiwa hujawahi shika hela flani kuna hela ukitajiwa unaziona nyingi sana sana
30m ndani ya miezi 6 = na 5m kwa mwezi ambayo ni sawa na 166 > 170k kwa siku
170k ni hela (faida) ambayo inapatikana kwa kuuza bidhaa 1 tu ya electronic Just 1 piece (eg: tv)
calculate kwa siku mtu anauza tv si chini ya 3,achana na electronics zingine na biashara zingine zenye faida tofauti.
hujaweka vibiashara uchwara vingine mtu anafanya,hilo ni duka 1 tu..unaongelea 30m unaona ni hela nyingi sana?
hiyo ni hela imetolewa tu mfano kulingana na level ya mtoa mada ila tukisema tuweke uhalisia wa Mtu mwenye akili na mtaji anatakiwa aingize kiasi gani kwa mwezi/miezi 6 watu wataguna mpka makoo yawaume.
Humu Jf bwana kila mtu ni Tajiri akiwa anaandika kwenye keyboard ila kwenye maisha halisi ni masikini wa kutupwa, wewe angalia kila comment unadai 30M ni ndogo ila miongoni mwao kuna watu hawana hata 10M benki.Milioni 30 ni pesa ndogo kwa nyie matajiri lakini kwa vijana wanaotafuta maisha ni pesa nyingi sana.
Tatizo ni ujuaji mwingi mkiwa hapa kwenye anonymity.hamna aliebeza 850,000 ni pesa ndogo,ni hela nyingi sana sana
lakini kwa nguvu na muda na akili ulizotumia 850,000 ni pesa ndogo sana
ulipaswa kwa muda uliotumia akili ulizotumia upate zaidi ya 850,000 kwa mwezi.
kwanini? una sifa ya uvumilivu kama Jibu ni ndio kuna pesa sehemu nyingi sana ambazo
ukiwa na uvumilivu wa miezi kadhaa tu,huwezi kukosa hiyo hela sasa upge miaka mi 3
ungekua unaongelea pesa nyingi sana,hiyo 30m ilipaswa walau uipate ndani ya miezi 6
kwa akili ulizo nazo,muda uliotumia nk lakini matokeo yake umeipata kwa kuchelewa sana.
[emoji23][emoji23][emoji23]Miezi 3 tu ukilima heka 20 za kunde au muhogo unapata zaidi ya hio
[emoji1][emoji1]Kunawatu wanajua kudhani. Ameongea kirahisi sana. Hajui tuna misemo huku sisi WAKULIMA inaitwa "NYANYA NYANYASA"
ukiwa hujawahi shika hela flani kuna hela ukitajiwa unaziona nyingi sana sana
30m ndani ya miezi 6 = na 5m kwa mwezi ambayo ni sawa na 166 > 170k kwa siku
170k ni hela (faida) ambayo inapatikana kwa kuuza bidhaa 1 tu ya electronic Just 1 piece (eg: tv)
calculate kwa siku mtu anauza tv si chini ya 3,achana na electronics zingine na biashara zingine zenye faida tofauti.
hujaweka vibiashara uchwara vingine mtu anafanya,hilo ni duka 1 tu..unaongelea 30m unaona ni hela nyingi sana?
hiyo ni hela imetolewa tu mfano kulingana na level ya mtoa mada ila tukisema tuweke uhalisia wa Mtu mwenye akili na mtaji anatakiwa aingize kiasi gani kwa mwezi/miezi 6 watu wataguna mpka makoo yawaume.