Nimetengeneza milioni 30 faida ya kilimo ndani ya miaka 3

Nimetengeneza milioni 30 faida ya kilimo ndani ya miaka 3

ukiwa hujawahi shika hela flani kuna hela ukitajiwa unaziona nyingi sana sana

30m ndani ya miezi 6 = na 5m kwa mwezi ambayo ni sawa na 166 > 170k kwa siku

170k ni hela (faida) ambayo inapatikana kwa kuuza bidhaa 1 tu ya electronic Just 1 piece (eg: tv)

calculate kwa siku mtu anauza tv si chini ya 3,achana na electronics zingine na biashara zingine zenye faida tofauti.

hujaweka vibiashara uchwara vingine mtu anafanya,hilo ni duka 1 tu..unaongelea 30m unaona ni hela nyingi sana?

hiyo ni hela imetolewa tu mfano kulingana na level ya mtoa mada ila tukisema tuweke uhalisia wa Mtu mwenye akili na mtaji anatakiwa aingize kiasi gani kwa mwezi/miezi 6 watu wataguna mpka makoo yawaume.
Ila unaweza kumaliza hata siku 3 hujauza ila huwezi kumaliza siku 3 hujala
 
Hata hivyo sijaleta uzi kuwa inspire nyie matajiri wakubwa, uzi wangu unawalenga vijana ambao hawana mitaji wanaoweza kujiajiri kupitia kilimo.
Kuna watu humu elfu tatu ya kula inawapiga chenga. Lakini wakiwa nyuma ya Keyboard wanaishi maisha ya ndoto zao.😀 Wanajiona wajuaji na mtajiri. Tupe nondo mkuu. Wapiganaji Tupo.
 
Nimeanza kulima serious toka mwaka 2019, nikilima mahindi na viazi vitamu ndani ya misimu mitatu yaani toka 2022 mpaka sasa nimeweza kutengeneza faida ya 30M kupitia kilimo cha mahindi, viazi vitamu, na maharage.
Kwa hakika kilimo ni biashara tamu.

Nawashauri vijana wenzangu mchangamkie fursa.
Nakubali kaka, ukipata mda tupe njia ulizopitia na mtaji oloanza nao ikibidi hata ukubwa wa ardhi uliyotumia, kilimo naanza nacho this season sitaki masihara.
 
30,000,000 / 36 (miezi) = 833,333 >> 850,000 (kwa mwezi)

Uzi wako Maana yake ni kwamba au kichwa chake kinasema

Nimetengeneza 850,000 faida ya kilimo kwa mwezi mmoja.

Sisemi 850,000 ni pesa ndogo ila binafsi naamini umetumia nguvu nyingi

pesa nyingi,akili nyingi kutafuta faida ndogo ambayo bila hata nguvu ulizotumia ungeweza ipata.
Ndo maana wewe ukatumia nguvu kidogo kumtapeli mpenzi wako Queen of Sheba? Lipa pesa za watu mkuu. Acha utapeli
 
Hata hivyo sijaleta uzi kuwa inspire nyie matajiri wakubwa, uzi wangu unawalenga vijana ambao hawana mitaji wanaoweza kujiajiri kupitia kilimo.
Acha kutoa siri za jeshi. Sisi tulio field tunakuelewa. Wao wamezoea light motivation speakers. Ndani ya humu JF wote ni wajuaji na wako vizuri financially. Niko chimbo nitalima ufuta na karanga mwaka huu nitarudi kama siyo hapa hata Pm tupeane ma ujanja.
 
30,000,000 / 36 (miezi) = 833,333 >> 850,000 (kwa mwezi)

Uzi wako Maana yake ni kwamba au kichwa chake kinasema

Nimetengeneza 850,000 faida ya kilimo kwa mwezi mmoja.

Sisemi 850,000 ni pesa ndogo ila binafsi naamini umetumia nguvu nyingi

pesa nyingi,akili nyingi kutafuta faida ndogo ambayo bila hata nguvu ulizotumia ungeweza ipata.

Unawezaje kuzipata hela kama hzo bila kutumia energy kubwa?
 
Mbona pesa ndogo sana hio kwa miaka 3 sawa na milion 10 kila mwaka.
Wakati nyanya tu ndani ya miezi 3 unapata zaidi ya hizo kwa heka 10
Hiyo 30m siyo haba Mkuu. Unayafahamu maisha ya watanzania Kwa ujumla, huyu mwenye wastani wa faida ya shi.10m Kwa mwaka ni tajiri kiongozi. Apewe maua
 
Kwanza kabisa 30M sio hela nyingi za kukufanya uje utupe testimony ukitegemea utatu inspire. Secondly, ume invest how much kuja kupata hio 30M kwa miaka mitatu..? Tudadavulie mahesabu yalivyo mpaka faida ya 30M ipatikane. Thirdly, jaribu kutizama agribusiness pia, ina hela kuliko kulimo. Uki invest vizuri kwenye agribusiness za horticulture, 30M ni hela ya miezi miwili hadi mitatu unaipata.
Kubwa inategemeana unafanya reference ipi.
Una uwezo wa kuwawezesha watanzania wangapi Kama unajua hela nyingi Ni ipi Basi angalau watanzania laki moja wapate hata 15M ndani ya miaka iyo mitatu? Ama just your ego iko kazini. Wewe umemchukulia negatively mleta maada Kama akaleta majigambo fulani na ilhali sio ivyo kabisa . Sema negative mind Ina seek negative and weakness tu Vice versa haiwezi kudadavua. Yaani kwanza wewe kwenda hata kwa watt yatima ukawanunulia chakula Cha laki moja huwezi ama usomeshe Basi mmoja angalau Hadi chuo kikuu huwezi Ila unaiona iyo pesa Ni ndogo. Hapo ulipo huwezi ukaombwa alfu moja ukatoa bila ya kutaka kuiulizia Ni ya Nini.
So lower your ego be humble otherwise nature will humble you
 
30,000,000 / 36 (miezi) = 833,333 >> 850,000 (kwa mwezi)

Uzi wako Maana yake ni kwamba au kichwa chake kinasema

Nimetengeneza 850,000 faida ya kilimo kwa mwezi mmoja.

Sisemi 850,000 ni pesa ndogo ila binafsi naamini umetumia nguvu nyingi

pesa nyingi,akili nyingi kutafuta faida ndogo ambayo bila hata nguvu ulizotumia ungeweza ipata.
Mkuu ungetwambia pia unawezaje kuipata hiyo bila hata nguvu na akili. Nadhani itasaidia pia ku inspire wadau hapa.
 
ukiwa hujawahi shika hela flani kuna hela ukitajiwa unaziona nyingi sana sana

30m ndani ya miezi 6 = na 5m kwa mwezi ambayo ni sawa na 166 > 170k kwa siku

170k ni hela (faida) ambayo inapatikana kwa kuuza bidhaa 1 tu ya electronic Just 1 piece (eg: tv)

calculate kwa siku mtu anauza tv si chini ya 3,achana na electronics zingine na biashara zingine zenye faida tofauti.

hujaweka vibiashara uchwara vingine mtu anafanya,hilo ni duka 1 tu..unaongelea 30m unaona ni hela nyingi sana?

hiyo ni hela imetolewa tu mfano kulingana na level ya mtoa mada ila tukisema tuweke uhalisia wa Mtu mwenye akili na mtaji anatakiwa aingize kiasi gani kwa mwezi/miezi 6 watu wataguna mpka makoo yawaume.
Huwezi ukamushroom na kuanza kuuza TV, you need to begin somewhere.

Hiyo 30m akiingia kuuza TV saizi atatengeneza Hela zaidi. At least kijana amepambana, ameachieve the best of him. Tuache kusema hiyo Hela.
 
Nimeanza kulima serious toka mwaka 2019, nikilima mahindi na viazi vitamu ndani ya misimu mitatu yaani toka 2022 mpaka sasa nimeweza kutengeneza faida ya 30M kupitia kilimo cha mahindi, viazi vitamu, na maharage.
Kwa hakika kilimo ni biashara tamu.

Nawashauri vijana wenzangu mchangamkie fursa.
Ni biashara tamu kuanzia mwaka 2021 baada ya Samia,huko kwingine ilikuwa ni laana.

Kama mahindi tuu bei ni Kati ya 80,000-120,000 Kwa nini usitengeneze pesa?
 
Acha kutoa siri za jeshi. Sisi tulio field tunakuelewa. Wao wamezoea light motivation speakers. Ndani ya humu JF wote ni wajuaji na wako vizuri financially. Niko chimbo nitalima ufuta na karanga mwaka huu nitarudi kama siyo hapa hata Pm tupeane ma ujanja.
Nimeminspire sana huyu mwamba. Ni mpambanaji.
 
Back
Top Bottom