Nimetengeneza milioni 30 faida ya kilimo ndani ya miaka 3

Umemwambia Kwa usahihi.
 
Yaan kama upo kichwani kwangu, hii ni project yangu kabisa an lakin ndo naanza sina uzoefu
 
Duuh
 
Binafsi yangu nampongeza sana huyu Mkulima aliyerudi kutupa ushuhuda wake, na kama amepata faida yoyote( acha hiyo 30m) kwenye kilimo apewe maua yake. Hapa tumechanganya mjadala kati ya madalali wa mjini na wakulima tulioko shambani, hatuwezi kuwa sawa. Mimi kama mkulima, nakupa maua yangu. Endelea kulima. Na hawa wa misheni town waendelee na misheni zao.
 
Unajua mtaji wa electronics ? Au unaleta hadithi za Sungura na Fisi

Mtaji wa 1 M kwenye kilimo ni mkubwa , ila ukiupeleka kwenye electronics ni ukichaa
 
Milioni 30 ni pesa ndogo kwa nyie matajiri lakini kwa vijana wanaotafuta maisha ni pesa nyingi sana.
Humu Jf bwana kila mtu ni Tajiri akiwa anaandika kwenye keyboard ila kwenye maisha halisi ni masikini wa kutupwa, wewe angalia kila comment unadai 30M ni ndogo ila miongoni mwao kuna watu hawana hata 10M benki.

Nikupongeze kwa jitihada zako kijana mwenzangu, 30M inaonekana ndogo leo ila ukidumu kwenye hicho unachokifanya pengine miaka kumi mbele tutakuwa tunazungumzia BILLIONS.

Utajiri hauji harakaharaka.
 
Tatizo ni ujuaji mwingi mkiwa hapa kwenye anonymity.

850,000Tsh ila yupo katika mkondo mzuri (uzalishaji) wa kupata zaidi kuliko zile biashara za kivivu (uchuuzi) ambazo huwa unaziimba humu.

Ukitumia akili ni lazima ukubali kuwa kuna wakulima ambao wanaingiza pesa ndefu sana (Billions of money), hiyo ni kukuonyesha kuwa hata huyu kuna vitu fulani ambavyo akizingatia atafika huko, kama kijana ulitakiwa umpe ushauri ni nini afanye ili afike huko kupitia hichohicho anachofanya, sio kukashifu.


Mwisho wa siku kila mtu ana njia yake ya kujiingizia kipato.
 
We jamaa ni kiande sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…