Nimeanza kulima serious toka mwaka 2019, nikilima mahindi na viazi vitamu ndani ya misimu mitatu yaani toka 2022 mpaka sasa nimeweza kutengeneza faida ya 30M kupitia kilimo cha mahindi, viazi vitamu, na maharage.
Kwa hakika kilimo ni biashara tamu.
Nawashauri vijana wenzangu mchangamkie fursa.
Kwa hakika kilimo ni biashara tamu.
Nawashauri vijana wenzangu mchangamkie fursa.