Nimetengeneza shule ya kwanza ya kidigitali ambayo wanafunzi watasoma na kufanya mitihani wakiwa nyumbani

Nimetengeneza shule ya kwanza ya kidigitali ambayo wanafunzi watasoma na kufanya mitihani wakiwa nyumbani

Nadhani Ni mwanzo wa mabadiliko,,,hapo nyuma kidogo Tanzania hatukuwa hata na barua Pepe lakini baadae tunapata kila kitu kiganjani
Upo sahihi sana,
Nimalizie kwa kusema; Tungependa kukuonyesha kwa vitendo namna system hii inavyofanya kazi kwa vitendo pia tumejianda kwa yafuhatayo endapo mazingira ya jambo letu yakienda sawa. 1. Kama shule tumependekeza kwa pamoja kila faida tutakayo ipata asilimia kadhaa (Inaweza kuwa kati ya 3% hadi 9%) kila mwezi tuelekeze kwenye sekta ya Elimu kuhakikisha vijijini na mijini tunapeleka computer nyingi ili watoto waweze kujifunza tehama mapema Kwa kidogo tutakacho kipata tutahakikisha hichohicho tunakitumia kuzifikia shule za serikali zenye changamoto ili tuweze kutatua kwa nafasi yetu. TUENDELEE KUOMBEANA
 
Tatizo hujaelewa msingi wa shule na sababu gani watu hujumuika na wengine.

Mtoto anatakiwa ajifunze na wenzake, ili ajue jinsi ya kuishi na wanadamu wengine
 
Nashukuru sana kwa ushahuri huu, Nakuhakikishia mpaka kufikia jumamosi tutakuwa tumekwisha fanya hivyo (Umenipa wazo zuri) na nitakuletea mrejesho hapa kwamba nimikwisha rekebisha. Ahsante kwa kuchangia uboreshaji
Njoo Inbox tuyajenge mm nina ideas kadhaa za computer application tunaeza share kwa makubaliano ukapiga code then tukatafuta fund ICT Commission au COStech tukapiga pesa ndefu.....
 
Nina design concept ya wazo Kama hili Online School product ni hizohizo ila nimeweka iwe katika mfumo mmoja zaidi user akiingia kwa mfumo atapata product zote bila ya kuwa na platform tofauti pia nimeweka kuwe na user wawili Student na Teacher...ukiwa interested na hi design nicheki unaweza nipa hela ya juisi tu maana nime design for future use na kuweka kwenye portifolios yangu

Mimi Ni designer wa mawazo ya kimtandao nipo vuzuri kwenye ku desgn business side ya wazo na kufanya liwe na features rafiki zaidi kibiashara kuna wazo hili la wapo wa No Fap walikuwa nalo nimeli design kibiashara zaidi
Frame 4 (1).png
 
Tatizo hujaelewa msingi wa shule na sababu gani watu hujumuika na wengine.

Mtoto anatakiwa ajifunze na wenzake, ili ajue jinsi ya kuishi na wanadamu wengine
Mode of capacity delivering ya is no static ni dynamic so mode zote zinaweza tumika at last lengo la kumjengea uwezo muhitaji linafikia!!!
 
Upo sahihi sana,
Nimalizie kwa kusema; Tungependa kukuonyesha kwa vitendo namna system hii inavyofanya kazi kwa vitendo pia tumejianda kwa yafuhatayo endapo mazingira ya jambo letu yakienda sawa. 1....
Hongera Sana!hakika utafanikiwa usikate tamaa.
 
Hapo mwisho ulikuwa na maana gani? Unadhani kama wewe mkufunzi hujui vitu vidogo hao wanafunzi si ndiyo watakuwa wehu.

Tufuhatilie*
 
SHULE YA KIDIGITALI, SOMA MTANDAONI UKIWA NYUMBANI HUITAJI KUFIKA SHULE TENA

Habari naileta kwako TAIFA ONLINE INTERNATIONAL SCHOOL Ni taasisi mpya nchini Tanzania inatoa elimu kwa njia mtandao pasipo kujali eneo ulilopo. Tutembelee www.taifaschool.net

NB: NAPOKEA USHAURI WA AINA YOYOTE, MSIACHE KUNISHAURI NA KUNISEMA KAMA KUNASEHEMU NAKOSEA, PIA TUNAWEZA ONANA MOJA KWA MOJA KAMA UTAHITAJI KUONA NA MIMI KWA UFAFANUZI WA KINA NA USHAURI LAKINI PIA KWA AJILI YA USHAURI

Taasisi hii inatoa elimu kwa rika zote, makundi yote, rangi zote na imani zote kwa mafunzo yao yanafuata mtaala wa elimu inayomamiwa na wizara ya elimu, sayansi na teknolojia.

Kiufupi wanatoa huduma zifuatazo:
1: Distance learning( live classes). Hapa watu husoma moja kwa moja kwa kumuona mwalim yaani audiovisual kuanzia saa mbili Hadi saa nne usiku. Wanafunzi waliosajiliwa wataweza kuuliza maswali na kujibiwa muda wa kipindi.

Gharama Yake ni Tsh 50,000/= kwa Mwezi Kujisajili ingia Sec Registration


2: Taifa online exams. Hii ni mitihani inayotolewa kila mwezi yenye muongozo mzuri kuanzia DARASA LA 4 hadi kidato cha sita. Mwanafunzi anafanya mtihani akiwa nyumbani au popote alipo kwa kutumia simu au kompyuta kwa usimamizi wa mzazi pia usimamizi madhubuti wa kisasa wa taasisi kwa kutumia hiyo simu na kompyuta yake.

Gharama yake ni TSH 1,000/= kwa somo, Kujisajili ingia TAIFA EXAM


3: Taifa online school library. Hapa mwanafunzi aliyesajiliwa atapata nakala (NOTES) na machapisho mbalimbali yaani nukuu (NOTES) za masomo yote. Pia mwanafunzi aliyesajiliwa atapa video za masomo yote husika. Mwanafunzi aliyesajiliwa atachagua kusoma nukuu au kuangalia video rekodiwa za nukuu (NOTES) husika.
Gharama ni TSH 0 yani BURE tembelea Taifa Secondary Online Library

4: Taifa online school tuition hii ni kwa wanafunzi wanaotaka kusoma tuition muda wa ziada pindi watokapo shuleni na nyakati za weekend pekee, Kwa siku za wiki (Jumatatu -Ijumaa) mwalimu atakuwa na kipindi na mwanafunzi kwa dakika 40 tu ili kumzuia kumchosha zaidi, Kwa siku za weekend (IJUMAA , JUMAMOSI, JUMAPILI) mwalimu atakuwa na kipindi na mwanafunzi cha Dakika 60 *Gharama ni * Tsh 10,000/= kwa somo la sayansi na Tsh 5,000/= kwa somo la Arts kwa mwezi kujisajili binyeza link hii (Maandishj haya ya Blue Tuition Registration

5: Kujifunza kiswahili kwa wageni. Hapa wageni wanajifunza lugha ya kiswahili popote walipo duniani kwa Gharama ya Tsh 800,000/= kwa vipindi 100, Kujisajili ingia Student Registration

6: Book analysis. Hapa mwanafunzi aliyesajiliwa atapata chambuzi za vitabu kwa njia ya maandishi na sauti. Mwanafunzi atachagua kusoma chambuzi za vitabu vya fasihi au kusikiliza sauti nzuri. Hapa Ni vitabu vya fasihi ya kiswahili na kiingereza yaani literature BURE PASIPO GHARAMA YOYOTE ingia Books Analysis

7: Taifa online school question and answer. Hapa mwanafunzi aliyesajiliwa atauliza swali na kujibiwa papo. Taasisi itamfahamisha mwanafunzi aliyesajiliwa kuwa mwalimu yupo kazini yaani yupo online uliza swali. Mwanafunzi aliyesajiliwa atauliza swali kwa njia ya sauti au maandishi ama video na kujibiwa muda huo huo BURE PASIPO NA GHARAMA YOYOTE ingia www.taifaschool.net

Pia tunatoa huduma zingine nyingi Kama online automatic quiz (Chemsha Bongo Ya Maswali Online Bure), learn English na events nk.

ZINGATIA: taasisi inafuatilia maendeleo ya wanafunzi wake na kutoa matokeo kwa wakati pia tunawatafutia wanafunzi vituo vizuri vya kufanyia mitihani yao ya NECTA, Usilipie huduma yoyote kupitia namba ya MPESA AU TIGO PESA AU MTANDAO WOWOTE WA SIMU PASIPO JINA LA TAIFA SCHOOL KUONEKANA, PIA USILIPIE HUDUMA KABLA UJAJIRIDHISHA NA HUDUMA KWA KUIONA. KWA WATEJA WA DAR ES SALAAM TUNASHAURI WAFIKE OFISINI MOJA KWA MOJA.



Ofisi Zetu Zinapatikana
Acacia Estates,
1st Floor (Ghorofa ya 1)
Plot no. 84, Kinondoni Road
P O Box 38568, Dar es Salaam

Tunapatikana kwa nambari ya ofisi +255 (0)22-219-8079 (LandLine) au Whatsapp Number +255(0)652 428 842

Tufuhatilie moja kwa moja kupitia ukurasa wa instagram: @taifaschool facebook Taifa Online International School
Hongera sana bro, Mungu azidi kufanya wepesi, huu mfumo Taifa online ulinisaidia sana kipindi cha likizo ya UVIKO 19, mbali na kwamba tulikua na likizo ya muda mrefu (miezi 3) lakini nilijiandaa vyema kupitia mfumo wako na nikascore division one.......All the best Bro.
 
ila hiyo digital school sio ya Tanzania ya leo, au mwenzetu unaishi first world country sio hi bongo yetu?
Dunia ni kijiji mzee ,watanzania wengi wanatumia mitandao, Tanzania sio kisiwa
 
SHULE YA KIDIGITALI, SOMA MTANDAONI UKIWA NYUMBANI HUITAJI KUFIKA SHULE TENA

Habari naileta kwako TAIFA ONLINE INTERNATIONAL SCHOOL Ni taasisi mpya nchini Tanzania inatoa elimu kwa njia mtandao pasipo kujali eneo ulilopo. Tutembelee www.taifaschool.net

NB: NAPOKEA USHAURI WA AINA YOYOTE, MSIACHE KUNISHAURI NA KUNISEMA KAMA KUNASEHEMU NAKOSEA, PIA TUNAWEZA ONANA MOJA KWA MOJA KAMA UTAHITAJI KUONA NA MIMI KWA UFAFANUZI WA KINA NA USHAURI LAKINI PIA KWA AJILI YA USHAURI

Taasisi hii inatoa elimu kwa rika zote, makundi yote, rangi zote na imani zote kwa mafunzo yao yanafuata mtaala wa elimu inayomamiwa na wizara ya elimu, sayansi na teknolojia.

Kiufupi wanatoa huduma zifuatazo:
1: Distance learning( live classes). Hapa watu husoma moja kwa moja kwa kumuona mwalim yaani audiovisual kuanzia saa mbili Hadi saa nne usiku. Wanafunzi waliosajiliwa wataweza kuuliza maswali na kujibiwa muda wa kipindi.

Gharama Yake ni Tsh 50,000/= kwa Mwezi Kujisajili ingia Sec Registration


2: Taifa online exams. Hii ni mitihani inayotolewa kila mwezi yenye muongozo mzuri kuanzia DARASA LA 4 hadi kidato cha sita. Mwanafunzi anafanya mtihani akiwa nyumbani au popote alipo kwa kutumia simu au kompyuta kwa usimamizi wa mzazi pia usimamizi madhubuti wa kisasa wa taasisi kwa kutumia hiyo simu na kompyuta yake.

Gharama yake ni TSH 1,000/= kwa somo, Kujisajili ingia TAIFA EXAM


3: Taifa online school library. Hapa mwanafunzi aliyesajiliwa atapata nakala (NOTES) na machapisho mbalimbali yaani nukuu (NOTES) za masomo yote. Pia mwanafunzi aliyesajiliwa atapa video za masomo yote husika. Mwanafunzi aliyesajiliwa atachagua kusoma nukuu au kuangalia video rekodiwa za nukuu (NOTES) husika.
Gharama ni TSH 0 yani BURE tembelea Taifa Secondary Online Library

4: Taifa online school tuition hii ni kwa wanafunzi wanaotaka kusoma tuition muda wa ziada pindi watokapo shuleni na nyakati za weekend pekee, Kwa siku za wiki (Jumatatu -Ijumaa) mwalimu atakuwa na kipindi na mwanafunzi kwa dakika 40 tu ili kumzuia kumchosha zaidi, Kwa siku za weekend (IJUMAA , JUMAMOSI, JUMAPILI) mwalimu atakuwa na kipindi na mwanafunzi cha Dakika 60 *Gharama ni * Tsh 10,000/= kwa somo la sayansi na Tsh 5,000/= kwa somo la Arts kwa mwezi kujisajili binyeza link hii (Maandishj haya ya Blue Tuition Registration

5: Kujifunza kiswahili kwa wageni. Hapa wageni wanajifunza lugha ya kiswahili popote walipo duniani kwa Gharama ya Tsh 800,000/= kwa vipindi 100, Kujisajili ingia Student Registration

6: Book analysis. Hapa mwanafunzi aliyesajiliwa atapata chambuzi za vitabu kwa njia ya maandishi na sauti. Mwanafunzi atachagua kusoma chambuzi za vitabu vya fasihi au kusikiliza sauti nzuri. Hapa Ni vitabu vya fasihi ya kiswahili na kiingereza yaani literature BURE PASIPO GHARAMA YOYOTE ingia Books Analysis

7: Taifa online school question and answer. Hapa mwanafunzi aliyesajiliwa atauliza swali na kujibiwa papo. Taasisi itamfahamisha mwanafunzi aliyesajiliwa kuwa mwalimu yupo kazini yaani yupo online uliza swali. Mwanafunzi aliyesajiliwa atauliza swali kwa njia ya sauti au maandishi ama video na kujibiwa muda huo huo BURE PASIPO NA GHARAMA YOYOTE ingia www.taifaschool.net

Pia tunatoa huduma zingine nyingi Kama online automatic quiz (Chemsha Bongo Ya Maswali Online Bure), learn English na events nk.

ZINGATIA: taasisi inafuatilia maendeleo ya wanafunzi wake na kutoa matokeo kwa wakati pia tunawatafutia wanafunzi vituo vizuri vya kufanyia mitihani yao ya NECTA, Usilipie huduma yoyote kupitia namba ya MPESA AU TIGO PESA AU MTANDAO WOWOTE WA SIMU PASIPO JINA LA TAIFA SCHOOL KUONEKANA, PIA USILIPIE HUDUMA KABLA UJAJIRIDHISHA NA HUDUMA KWA KUIONA. KWA WATEJA WA DAR ES SALAAM TUNASHAURI WAFIKE OFISINI MOJA KWA MOJA.



Ofisi Zetu Zinapatikana
Acacia Estates,
1st Floor (Ghorofa ya 1)
Plot no. 84, Kinondoni Road
P O Box 38568, Dar es Salaam

Tunapatikana kwa nambari ya ofisi +255 (0)22-219-8079 (LandLine) au Whatsapp Number +255(0)652 428 842

Tufuhatilie moja kwa moja kupitia ukurasa wa instagram: @taifaschool facebook Taifa Online International School
Naiona changamoto kwa upande wa Sustainable source of power. Tanesco wanazingua sana.
 
Juhudi nzuri kabisa, tatizo lipo kwa wasomaji wanatumia bando kutazama namna ya kujichua
 
Wazo zuri, wazo lako linaendana na teknolojia pia.
Mdogo mdogo watakuelewa.
 
SHULE YA KIDIGITALI, SOMA MTANDAONI UKIWA NYUMBANI HUITAJI KUFIKA SHULE TENA

Habari naileta kwako TAIFA ONLINE INTERNATIONAL SCHOOL Ni taasisi mpya nchini Tanzania inatoa elimu kwa njia mtandao pasipo kujali eneo ulilopo. Tutembelee www.taifaschool.net

NB: NAPOKEA USHAURI WA AINA YOYOTE, MSIACHE KUNISHAURI NA KUNISEMA KAMA KUNASEHEMU NAKOSEA, PIA TUNAWEZA ONANA MOJA KWA MOJA KAMA UTAHITAJI KUONA NA MIMI KWA UFAFANUZI WA KINA NA USHAURI LAKINI PIA KWA AJILI YA USHAURI

Taasisi hii inatoa elimu kwa rika zote, makundi yote, rangi zote na imani zote kwa mafunzo yao yanafuata mtaala wa elimu inayomamiwa na wizara ya elimu, sayansi na teknolojia.

Kiufupi wanatoa huduma zifuatazo:
1: Distance learning( live classes). Hapa watu husoma moja kwa moja kwa kumuona mwalim yaani audiovisual kuanzia saa mbili Hadi saa nne usiku. Wanafunzi waliosajiliwa wataweza kuuliza maswali na kujibiwa muda wa kipindi.

Gharama Yake ni Tsh 50,000/= kwa Mwezi Kujisajili ingia Sec Registration


2: Taifa online exams. Hii ni mitihani inayotolewa kila mwezi yenye muongozo mzuri kuanzia DARASA LA 4 hadi kidato cha sita. Mwanafunzi anafanya mtihani akiwa nyumbani au popote alipo kwa kutumia simu au kompyuta kwa usimamizi wa mzazi pia usimamizi madhubuti wa kisasa wa taasisi kwa kutumia hiyo simu na kompyuta yake.

Gharama yake ni TSH 1,000/= kwa somo, Kujisajili ingia TAIFA EXAM


3: Taifa online school library. Hapa mwanafunzi aliyesajiliwa atapata nakala (NOTES) na machapisho mbalimbali yaani nukuu (NOTES) za masomo yote. Pia mwanafunzi aliyesajiliwa atapa video za masomo yote husika. Mwanafunzi aliyesajiliwa atachagua kusoma nukuu au kuangalia video rekodiwa za nukuu (NOTES) husika.
Gharama ni TSH 0 yani BURE tembelea Taifa Secondary Online Library

4: Taifa online school tuition hii ni kwa wanafunzi wanaotaka kusoma tuition muda wa ziada pindi watokapo shuleni na nyakati za weekend pekee, Kwa siku za wiki (Jumatatu -Ijumaa) mwalimu atakuwa na kipindi na mwanafunzi kwa dakika 40 tu ili kumzuia kumchosha zaidi, Kwa siku za weekend (IJUMAA , JUMAMOSI, JUMAPILI) mwalimu atakuwa na kipindi na mwanafunzi cha Dakika 60 *Gharama ni * Tsh 10,000/= kwa somo la sayansi na Tsh 5,000/= kwa somo la Arts kwa mwezi kujisajili binyeza link hii (Maandishj haya ya Blue Tuition Registration

5: Kujifunza kiswahili kwa wageni. Hapa wageni wanajifunza lugha ya kiswahili popote walipo duniani kwa Gharama ya Tsh 800,000/= kwa vipindi 100, Kujisajili ingia Student Registration

6: Book analysis. Hapa mwanafunzi aliyesajiliwa atapata chambuzi za vitabu kwa njia ya maandishi na sauti. Mwanafunzi atachagua kusoma chambuzi za vitabu vya fasihi au kusikiliza sauti nzuri. Hapa Ni vitabu vya fasihi ya kiswahili na kiingereza yaani literature BURE PASIPO GHARAMA YOYOTE ingia Books Analysis

7: Taifa online school question and answer. Hapa mwanafunzi aliyesajiliwa atauliza swali na kujibiwa papo. Taasisi itamfahamisha mwanafunzi aliyesajiliwa kuwa mwalimu yupo kazini yaani yupo online uliza swali. Mwanafunzi aliyesajiliwa atauliza swali kwa njia ya sauti au maandishi ama video na kujibiwa muda huo huo BURE PASIPO NA GHARAMA YOYOTE ingia www.taifaschool.net

Pia tunatoa huduma zingine nyingi Kama online automatic quiz (Chemsha Bongo Ya Maswali Online Bure), learn English na events nk.

ZINGATIA: taasisi inafuatilia maendeleo ya wanafunzi wake na kutoa matokeo kwa wakati pia tunawatafutia wanafunzi vituo vizuri vya kufanyia mitihani yao ya NECTA, Usilipie huduma yoyote kupitia namba ya MPESA AU TIGO PESA AU MTANDAO WOWOTE WA SIMU PASIPO JINA LA TAIFA SCHOOL KUONEKANA, PIA USILIPIE HUDUMA KABLA UJAJIRIDHISHA NA HUDUMA KWA KUIONA. KWA WATEJA WA DAR ES SALAAM TUNASHAURI WAFIKE OFISINI MOJA KWA MOJA.



Ofisi Zetu Zinapatikana
Acacia Estates,
1st Floor (Ghorofa ya 1)
Plot no. 84, Kinondoni Road
P O Box 38568, Dar es Salaam

Tunapatikana kwa nambari ya ofisi +255 (0)22-219-8079 (LandLine) au Whatsapp Number +255(0)652 428 842

Tufuhatilie moja kwa moja kupitia ukurasa wa instagram: @taifaschool facebook Taifa Online International School
Hii ndio maana halisi ya innovation, keep it up. Fanya branding ya kutosha ili watu waifahamu hii shule.
 
Hongera sana bro, Mungu azidi kufanya wepesi, huu mfumo Taifa online ulinisaidia sana kipindi cha likizo ya UVIKO 19, mbali na kwamba tulikua na likizo ya muda mrefu (miezi 3) lakini nilijiandaa vyema kupitia mfumo wako na nikascore division one.......All the best Bro.
Aise nimefarijika sana mno, Naomba tusasiliane +44 20 8638 6826 whatsapp
 
Naiona changamoto kwa upande wa Sustainable source of power. Tanesco wanazingua sana.
Pengine changamoto hii itatatuliwa mapema kwa muda ujao, Tuweke tumaini letu kwenye bwawa la nyerere pengine litazaa matunda tunayoyatazamia
 
Back
Top Bottom