Nimetimiza miaka 9 bila kufanya ngono

Nimetimiza miaka 9 bila kufanya ngono

Hebu imagine ndo wewe sasa mda wote huo hujawahi fanya mapenz, ungejisikiaje? leo mwana jf mwenzenu natimiza miaka tisa bila zinaa, mwaka wa 2009 ndo ulikuwa mwaka wangu wa mwisho kufanya mapenz... ni miaka mingi sana kwa mwanadamu kutofanya mapenz wengi wenu mtanibeza wakati wengine hata wiki hamuwez jizuia, natumai
mwakaka huu mwez wa 8 ntaonja papuchi. mpaka sasa ninavyo andika sina dem wala mchumba naishi mwenyewe tu! japo swala la kujizuia si la kitoto ila nimeweza namshukulu mwenyez mungu kwa kunijalia uvumilivu.

Mkuu kama mwaka huu utaila kabla ya ndoa, hautakua na tofauti na MILL8 ambaye hakujizuia.

Pia sijui umewaza kutupa ujumbe gani lakini taarifa yako haijitoshelezi.Hujaweka wazi umri wako na sababu za wewe kujizuia au kwanini mwaka huu ndio utoe kufuli.
 
Hebu imagine ndo wewe sasa mda wote huo hujawahi fanya mapenz, ungejisikiaje? leo mwana jf mwenzenu natimiza miaka tisa bila zinaa, mwaka wa 2009 ndo ulikuwa mwaka wangu wa mwisho kufanya mapenz... ni miaka mingi sana kwa mwanadamu kutofanya mapenz wengi wenu mtanibeza wakati wengine hata wiki hamuwez jizuia, natumai
mwakaka huu mwez wa 8 ntaonja papuchi. mpaka sasa ninavyo andika sina dem wala mchumba naishi mwenyewe tu! japo swala la kujizuia si la kitoto ila nimeweza namshukulu mwenyez mungu kwa kunijalia uvumilivu.
Hongera kwa kujizuia. Hiyo ya mwez wa 8 inatoka wapi?
 
Yeyite amuangaliae mwanamke na kumtamani tayar amekwisha zini naye..sasa usije kua umezin kifikra
 
Kisa cha kukaa miaka yote hiyo!? Ulitaka kuwa padri Mkuu? Hata baadhi ya mapadri hawawezi kucheza mbali na utamu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mleta Mada kwanza Hongera Kwa kumtii Mungu!
Pili nakuuliza huo mwezi wa 8 unatarajia kuoa au kula papuchi kienyeji yaani Kwa kufanya zinaa?
Comments zingine zitafuata baada ya Jibu [emoji1312]
 
Chaputa , au jini mahaba amehusika kwenye ufaulu wako miaka 9 bila sex
 
Back
Top Bottom