Nimetoa sharti la kupewa laki kila mwezi ....vinginevyo atambae

dada YANGU, KULIPWA LAKI KWA MWEZI YAN UNAONA BONGE LA DAU? HONGERA KWA KUUZA
 
Thamani yako ni sawasawa na Tshs:5000/= kwa siku X 5Dys = Tshs:25,000/= X 4Weeks = Tshs: 100,000/=
 
Umeandika upuuzi kwa kujiamini wakati unajiuza halafu kwa bei chee bwege wewe pandisha bei biashara hiyo
 
Mkikosa wa kuwaoa msilalamike km style zenyewe ndo hizo,na huyo mume asitegemee maendeleo huko ndani labda awe na assumption yuko pekee yake kule ndani.
 
Pasi na unafiki

wewe utakuwa ni mfanyabiashara ya uchi
Wanaume tu wajanja sana atakubali masharti huku ndani akicheka, hata hiyo anaweza kudabo, akimega anakata mazoea..wanawake jishusheni kwa wanaume mle vya uvunguni, ukijifanya mjanja ohooo hatufai tukiamua.
All in all tuna upendo mzito kwa mwanamke mwelewa na sio machangu kama mleta uzi
 
Mmh bado hajaweza kutambaa tuu na maneno yote ayo yaliyokutoka
 
Ukifika 30s hiyo laki utatoa wewe ili uolewe, hata bibi alikuwa binti

Heshima pesa
 
1. Huyu hatakuba
2. Utapunguza dau litafika 50
3. Utapunguza tena tu 20
4. Utafika 10
5. Utaanza kuaidi kutoa 10
Hadi 100000
Ila hutaolewa hata uahidi kumpa mshahara wote


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uko ndani kuna makinikia?ili nimtafutie swahiba watasha wa kununua kabisa.
 

Safi sana
 
nisimpe mchepuko wangu nikugee wee niliyekuweka ndani......karoge tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…