darcity
JF-Expert Member
- Jul 20, 2009
- 9,101
- 18,055
😃😃 Nong'ona kwa sauti ya chini. Accumen Mo asisikie!Unataka tukusifie kua wewe ni handsome
Id ya Maghayo umeisusa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😃😃 Nong'ona kwa sauti ya chini. Accumen Mo asisikie!Unataka tukusifie kua wewe ni handsome
Id ya Maghayo umeisusa?
Ndio asubuh tu mkuu nianze na majivuno😁😁Kumbe unataka kujua za mwenzako zako hutaki kutaja
Kwamba na wewe ni handsome unaogopa kusema?Ndio asubuh tu mkuu nianze na majivuno😁😁
😁😁 alafu wazungu mimi hata siwaelewi kabisa 😂Kwamba na wewe ni handsome unaogopa kusema?
Maghayo Ule weusi wake kama mkaa wazungu wamedata, akirudi bongo hana soko labda arudi na mpunga wa maana
Mbona wapo vizuri tu! Tena ni ngumu kukuta kifuani saa 12 almost saa zao zinasoma saa 6 alasiriiiii 🤸😁😁 alafu wazungu mimi hata siwaelewi kabisa 😂
Shauriyo.Unataka tukusifie kua wewe ni handsome
Id ya Maghayo umeisusa?
No mimi napenda binti wa kiafrica tu ,sijawahi waelewa wazungu hata kidogo .Mbona wapo vizuri tu! Tena ni ngumu kukuta kifuani saa 12 almost saa zao zinasoma saa 6 alasiriiiii 🤸
I used to!Shauriyo.
Mods watakulamba ban bebii.
TayariFuta hii
Si una mod mpenzi? Anakukingia kifua. Ngoja siku asiwepo..I used to!
Kuna siku mtu akaniambia ni kosa lakini nimefanya 10+ na mambo shwarii
Labda wewe unichawie😂🤸
Yaishe! Una bubu kama niniSi una mod mpenzi? Anakukingia kifua. Ngoja siku asiwepo..
Mimi nililambwa ya siku 10, ukanimiss.
Picha sasa kaka mwanajeshi tuone hicho kifua, mwili wa mazoezi ulioonyoka kama wa nyoka.Wanajamvi kwenye ukakamavu Napendaga sana kusifiwa. Huyo mzee yuko sahihi kabisa siyo yeye tu wengi wananisifiaga tembea yangu. In reality ukiniona natembeaga kwa kujiamini nimenyooka mwili wa mazoezi chesel shape. Namiliki centre of gravity ipasavyo.
Huyu mzee made my day.
Yamkini ni kweli mkuu Mimi ni nani hata nikupinge!Hilo jitu ni lizee ila bange zinamsumbua .
Ukimujua Maghayo The Mongolian Savage basi haikupi shida kumfahamu huyu mtu.
Lucas de mwashambwa ni mod?Si una mod mpenzi? Anakukingia kifua. Ngoja siku asiwepo..
Mimi nililambwa ya siku 10, ukanimiss.
Nilimuita Lukasi ni nap.e.
Kaz mjomba wazee wa siku hiz wa hovyo sana tena hawa wanaoongea kimalkia hawafai kabisa🤣Maamaee huo upuz siwez kufanya natembezaga ngumi wewee