min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Inawezekana bangi ni nzuri hili vibe la maghayo nimelipenda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawezekana bangi ni nzuri hili vibe la maghayo nimelipenda.
Bwana yesu asifiwe mkuu!A soldier always a soldier
Amina Askari wa Yesu!!Bwana yesu asifiwe mkuu!
Mimi sio askari wa yesu mkuu, sema nime kusalimu tu kama wewe upendavyo mkuu😁Amina Askari wa Yesu!!
Una adabu kama mbwa wa police 😁😁Tayari
Kawaida tu!Una adabu kama mbwa wa police 😁😁
Sure, nakuona mara nyingi tu.Kawaida tu!
Kwani nilichofanya ni kosa? Mbona huwa nafanya mara nyingi tu
Kwahiyo ni kosa au siyoSure, nakuona mara nyingi tu.
Hakuna kosa kabisa ukiongea bila ushawishi wa watu wengine .Kwahiyo ni kosa au siyo
SijaelewaHakuna kosa kabisa ukiongea bila ushawishi wa watu wengine .
upo kama mimi. niliwahi kuambiwa natembea kikakamavu japokua nimeacha mazoezi miaka mingi sasaMimi 5 11 siyo mrefu sana wala mfupi. Ila mtu wa mazoez. Napendaga kusifiwa ukakamavu.
Kipi kiarabu apo?Sijaelewa
Hizi nchi alizo tembea wazungu hupendelea kwenda kufanya sex sana, pamoja na Turkey,Dominican republic na Venezuela.Akajibu not really Africa have been to Tunisia, Morocco and Egypt but long time ago in 80s and 90s. Nikamuambia Visit Tanzania oneday you will never regret.
Akaendelea have also been to Laos, Vietnam and Thailand. Basi lake likaja akaniaga nakupanda.
Kipi kiarabu apo?
Kama unaongea jambo kutokea moyoni wala hakuna matata .Nifafanulie sijaelewa hapo bila ushawishi wa wengine
❌❌❌❌❌❌HuelewekiKama unaongea jambo kutokea moyoni wala hakuna matata .
Kwa nini ?❌❌❌❌❌❌Hueleweki