Nimetoka kusifiwa natembea kama mwanajeshi, nimefurahi sana

Ndio asubuh tu mkuu nianze na majivuno😁😁
Kwamba na wewe ni handsome unaogopa kusema?
Maghayo Ule weusi wake kama mkaa wazungu wamedata, akirudi bongo hana soko labda arudi na mpunga wa maana
 
Picha sasa kaka mwanajeshi tuone hicho kifua, mwili wa mazoezi ulioonyoka kama wa nyoka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…