Chitolaki Napwachi
Senior Member
- Mar 31, 2015
- 122
- 100
Huijui Tanzania...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka Mimi nili koma Kigali.Nimeishi huko maeneo ya mulindi ili nilazimu kupata mchepuko.maana kila nnae muona nimkali zaidi ya yule.sasa walipo gundua Mimi mbongo ilikua shidaa!
Kwa hiyo Bongo tupo 'me pekee? Mbona wengine wanavaa sketi, gauni, mibato, vimini, nk na wana hips, sura nzuri, ngozi nyororo, sauti za kumtoa nyoka kunako, macho rembevu, matako makubwa na nyonyo kifuani? Au unataka kutuaminisha kuwa ndio wale "wanaolelewa"? Nope, dume ni dume tu!Nimetoka rwanda leo nimerudi tanzania jamani rwanda kuna wanawake kuna wadada wazuri aiseenilienda kikazi ila nitafanya mpango niende kustarehe nile bata huko huku tanzania hamna wadad wowote lazima nikaoe rwanda asee wale wadada wana kila kitu shape sura tabia dah lazima nioe kule kkumbe huku hamna kitu
Kuwa tu careful maana ngoma nje njeNimetoka rwanda leo nimerudi tanzania jamani rwanda kuna wanawake kuna wadada wazuri aiseenilienda kikazi ila nitafanya mpango niende kustarehe nile bata huko huku tanzania hamna wadad wowote lazima nikaoe rwanda asee wale wadada wana kila kitu shape sura tabia dah lazima nioe kule kkumbe huku hamna kitu
Beauty is in the eye of the beholder. Watu mbalimbali wana mawazo au mitazamo tofauti kuhusu ni nini au nani mzuri.Nimetoka rwanda leo nimerudi tanzania jamani rwanda kuna wanawake kuna wadada wazuri aiseenilienda kikazi ila nitafanya mpango niende kustarehe nile bata huko huku tanzania hamna wadad wowote lazima nikaoe rwanda asee wale wadada wana kila kitu shape sura tabia dah lazima nioe kule kkumbe huku hamna kitu
[emoji2] mbavu zangu hahahahahKwahiyo sie ni wanaume wenzio au?
Mpuuzi wewe. Kwahiyo mama ako ni mwanaumeNimetoka rwanda leo nimerudi tanzania jamani rwanda kuna wanawake kuna wadada wazuri aiseenilienda kikazi ila nitafanya mpango niende kustarehe nile bata huko huku tanzania hamna wadad wowote lazima nikaoe rwanda asee wale wadada wana kila kitu shape sura tabia dah lazima nioe kule kkumbe huku hamna kitu
Wewe,wale ni wamasai walioweka lubega na vibuyu pembeni, alafu wakavaa kawaida,tafuta binti wa kimasai umbadirishe,, alafu nenda naye kwenu, lazima umwagiwe sifa kaka, tena utaulizwa na nduguzo umekitoa wapi ,? Waambie ni mnyarwanda huyu, hehehee utaambiwa na mimi nipeleke huko,,Nimetoka rwanda leo nimerudi tanzania jamani rwanda kuna wanawake kuna wadada wazuri aiseenilienda kikazi ila nitafanya mpango niende kustarehe nile bata huko huku tanzania hamna wadad wowote lazima nikaoe rwanda asee wale wadada wana kila kitu shape sura tabia dah lazima nioe kule kkumbe huku hamna kitu
Kaoe ndio kwani lazima uje kutangaza?
mimi nilikuwa na demu mnyarwanda yaani mzuri wa sura na ana lishepu balaa ila akivua nguo kama kafa panya
Bora umesema wewe.mimi nilikuwa na demu mnyarwanda yaani mzuri wa sura na ana lishepu balaa ila akivua nguo kama kafa panya
Achaga uboya wako, unajidai serious sana sasa humu JF unafuata nn??Hahahaha!
Kwa hiyo elimu uliyonayo mpaka na kupelekwa hadi Rwanda kikazi....Hicho ndo ulichokichambua kwa elimu hiyo hiyo hadi kukifungulia uzi hapa ambao utachukua nafasi kwenye seva?
Ama umekuja tu kusababisha Civil Unrest?