Nimetokea kumpenda shemeji, nashindwa kujizuia

Arudi alikotoka.
 
Una tamaa za kisen** mheshimiwa,mnakimbiliaga kuoa ili mpate nini,ona sasa unavyojidhalilisha humu JF kwa kuomba ushauri kufanikisha usen** wako
 
Bora ya wewe umejizuia.

Kuna bomu hapa soon nalipua.

Natafuta namna yakulilipua maana......

Hii kitu inanyima amani hasa dogo akiludi likizo[emoji25]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…