ndenjii handsome
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 647
- 706
- Thread starter
-
- #101
We jamaa [emoji23][emoji23][emoji23]Bora ya wewe umejizuia.
Kuna bomu hapa soon nalipua.
Natafuta namna yakulilipua maana......
Hii kitu inanyima amani hasa dogo akiludi likizo[emoji25]
Lengo si kumkaza kama mnavyo nituhumu nimesema nampenda [emoji37][emoji37][emoji53]Unampenda mke na shemeji yako? huwezi kuwa serious. Cha kufanya mwambie mkeo amtoe huyo shemeji yako hapo kwenu kabla hujabanjuka nae kimwili
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hapo ndo mtihaniiWazir kashasema awe na chet cha ndoa[emoji12][emoji12]
Ndio......nataka nitumbue jipu,We jamaa [emoji23][emoji23][emoji23]
Chai hiil hujasoma hapo eti aliamua hadi kwenda kupanga mkoa mwingine ?Naona kama hadithi tu.
Yaani umemwambia kabisa mkeo mi nampenda sana mdogo ako akukupiga biti tu? Na mkeo akatoka akamwadithia mdogo ake kuwa shemejio anakupenda sana.....ha ha ha ha...wote 2 mtakuwa hamko sawa kichwani.
Anyway kama ni kweli basi huyo mdogo mtu ahamishwe akakae kwingine mbali.
Au si uende kwa wakwe tu uoe wote 2 shida ikwapi kwani? Ha ha ha ha
Biblia ina mbinu kali sana za kuficha maneno makali inawezekena ilimtambua kobo kuwa ni msenge ila ikatumia maneno rafiki.Mfano wewe ukimuingilia huyo shemeji yako biblia ingetumia Neno Bwana Ndenji ugly akamjua shemeji yakeHayo ni mawazo yk mkuu kwan yakobo wa kweny bible alikuwa mse**ng
Lengo umle au, ?Ndio......nataka nitumbue jipu,
Shemeji sijui atanifanyaje???
Mamaangu,family sijui itapokeaje hii taarifa[emoji16]
NB:Uhakika ninao asilimia zote.
Nipe mbinu mkuu maana kuna saut mbl zinatoka ndan yang moja inasema utadhalilika nyingine inasema kampangie chumba mana kazi nimemtafutia sasa niisikilize saut gan ndio mtihanMpaka sa hizi hujamtamkia tuu? We nae nini unachelewaa
Sio chai mkuu nilitoka kwelChai hiil hujasoma hapo eti aliamua hadi kwenda kupanga mkoa mwingine ?
[emoji23]weeh!! Me ni DadaLengo umle au, ?
Leta namba sheikh tukuokoe.Wakuu nimeoa mimi na nina watoto kabisa na ndoa nimefunga.
Ila sasa huyu mkewangu ana mdogo wake sio kisu kivile e ila tokea nimuone kwa mara ya kwanza.
Nimejikuta nampenda kias kwamba na shindwa kujizuia kuna muda mpaka nikahama hapa home na kwenda kupanga mkoa mwingine ili kudhibiti hisia zangu lakin kila nikirud hali inajiludia ikabidi niongee na wife kuhusu hili jambo.
Nashukuru wife alinipiga mkwala roho ikatulia lakin imekua kwa muda kitendo cha kumuona tu akili yangu inateseka sana.
Sasa wakuu nifanyeje nitoke kwenye hiyi hali maana hata yeye anajua kupitia dada yake na ubaya ninaishi nae hapahp.
Mniokoe jaman kuna miaka mi nne sasa inapita mwenye mbinu anipe nisije nikajivunjia heshima na isitoshe jamii inauonizunguka inanichukulia kama kioo kupitia tuvikampun na vigari vya urithi.
Maana hisia hazina mbabee alishindwa Samsoni mtu wa Mungu kwa Delilha mimi ni naniii.
Hapo ndo alibugi kabisaHivi unaanzaje mwambia mkeo kua unamzimia mdogo wake..mzee utachapiwa hadi akili inyoke we vimba tu na hizo mali za wazazi kama medi dewji
Ooh sory hapo kwakuwa umegundua nikuliamsha tyu hakuna jins [emoji14][emoji14][emoji14] ila chet kipo, ?[emoji23]weeh!! Me ni Dada
So shemeji anamla dogo[emoji41]
Taadhar muhim mkuuHapo ndo alibugi kabisa
Naona unatakanichomea kibanda [emoji39][emoji39]Leta namba sheikh tukuokoe.
Shemeji atakukula huyo ohooo.
98% ya wanaume tunawazimia mashemeji zetu. Kuna ka sumaku fulani kaasili kanakuwepo.
Wewe umeharibu ulivyomwambia mkeo
Ngoja nikamuulize wife itakuwa ana majibuSijui kwanini wadogo zao na wake zetu always wanakuaga visu kuliko dada zao?
Kakuendea kwa mganga ndio maana huwezi kujizuiaWakuu nimeoa mimi na nina watoto kabisa na ndoa nimefunga.
Ila sasa huyu mkewangu ana mdogo wake sio kisu kivile e ila tokea nimuone kwa mara ya kwanza.
Nimejikuta nampenda kias kwamba na shindwa kujizuia kuna muda mpaka nikahama hapa home na kwenda kupanga mkoa mwingine ili kudhibiti hisia zangu lakin kila nikirud hali inajiludia ikabidi niongee na wife kuhusu hili jambo.
Nashukuru wife alinipiga mkwala roho ikatulia lakin imekua kwa muda kitendo cha kumuona tu akili yangu inateseka sana.
Sasa wakuu nifanyeje nitoke kwenye hiyi hali maana hata yeye anajua kupitia dada yake na ubaya ninaishi nae hapahp.
Mniokoe jaman kuna miaka mi nne sasa inapita mwenye mbinu anipe nisije nikajivunjia heshima na isitoshe jamii inauonizunguka inanichukulia kama kioo kupitia tuvikampun na vigari vya urithi.
Maana hisia hazina mbabee alishindwa Samsoni mtu wa Mungu kwa Delilha mimi ni naniii.