Muweke karibu, mjali sana, mhurumie sana, hata akikuomba kitu ambacho kipo nje ya uwezo wako pambana akipate, siku zote ikitokea migongano au tatizo lolote simama upande wake mtetee pamoja na hayo mengine uliyopanga kumfanyia mwisho wa siku hata hutatongoza atalainika mwenyewe utajisevia bila nguvu nyingi.Nipe mbinu mkuu maana kuna saut mbl zinatoka ndan yang moja inasema utadhalilika nyingine inasema kampangie chumba mana kazi nimemtafutia sasa niisikilize saut gan ndio mtihan
Ndio ni hadithi,eti amehama kwenda kupanga mkoa mwingine,je hana shuguli za kufanya au na shuguli zimehama?Naona kama hadithi tu.
Yaani umemwambia kabisa mkeo mi nampenda sana mdogo ako akukupiga biti tu? Na mkeo akatoka akamwadithia mdogo ake kuwa shemejio anakupenda sana.....ha ha ha ha...wote 2 mtakuwa hamko sawa kichwani.
Anyway kama ni kweli basi huyo mdogo mtu ahamishwe akakae kwingine mbali.
Au si uende kwa wakwe tu uoe wote 2 shida ikwapi kwani? Ha ha ha ha
Ndugu hawana shida. Ulihama mkoa kwenda kupanga mkoa mwingine. Wewe ni Marioo?Dah vp jamii na ndugu watanionaje mimi?
Shida amelogwa jua hili angekuwa kamtani kama yeye na akili zake asingemwambia mkewe angenyamaza kimya .Matokeo ya uzinzi duniani.
Matokeo ya kupungua kwa hofu ya Mungu. Laiti tungempenda Mungu tusingesikia haya. Lakini hofu hakuna. Tunaenda kama makondoo tu..hakuna tulijualo.
Leo uzinzi ni fahari kwa mwanadamu mpaka anaandika dunia ijue kamtamani mdogo wa mkewe...too sad. Lakini siwezi kumlaumu ni matokeo ya anguko la dhambi lililokosa toba.
Kaini aliambiwa dhambi inakuotea malangoni, yakupasa uishinde. Kimbieni zinaa....majuto, visasi, hasira, matengano, uharibifu utaingia ukiuchekea uzinzi. Semesha, zikanye hisia na tamaa zako.
Tumpende Mungu wapendwa.."mtu akinipenda atazishika amri zangu"
Natafuta mazingira tu,nakiwasha[emoji16]Ooh sory hapo kwakuwa umegundua nikuliamsha tyu hakuna jins [emoji14][emoji14][emoji14] ila chet kipo, ?
IPO SIKU UTATUAMBIA UNAWASHWA NA UNASHINDWA KUJIZUIA..😕Wakuu nimeoa mimi na nina watoto kabisa na ndoa nimefunga.
Ila sasa huyu mkewangu ana mdogo wake sio kisu kivile e ila tokea nimuone kwa mara ya kwanza.
Nimejikuta nampenda kias kwamba na shindwa kujizuia kuna muda mpaka nikahama hapa home na kwenda kupanga mkoa mwingine ili kudhibiti hisia zangu lakin kila nikirud hali inajiludia ikabidi niongee na wife kuhusu hili jambo.
Nashukuru wife alinipiga mkwala roho ikatulia lakin imekua kwa muda kitendo cha kumuona tu akili yangu inateseka sana.
Sasa wakuu nifanyeje nitoke kwenye hiyi hali maana hata yeye anajua kupitia dada yake na ubaya ninaishi nae hapahp.
Mniokoe jaman kuna miaka mi nne sasa inapita mwenye mbinu anipe nisije nikajivunjia heshima na isitoshe jamii inauonizunguka inanichukulia kama kioo kupitia tuvikampun na vigari vya urithi.
Maana hisia hazina mbabee alishindwa Samsoni mtu wa Mungu kwa Delilha mimi ni naniii.
Shida amelogwa jua hili angekuwa kamtani kama yeye na akili zake asingemwambia mkewe angenyamaza kimya .
Tuli.ila huoni hata yeye anapigana imtoke hii hali maana sio ridhaa ya
[emoji120] mkuu yote nimefanya ikiwp kumpeleka shule ya gharama nimempambania ajila kapata na vingn vngn ambavyo ndugu zake walishndw na nikwel shem yuko upand wng kwa kila jambo hat pale ninaoochelew rud hom huwa mtetez kwng mkuu ishu hatua ya piliMuweke karibu, mjali sana, mhurumie sana, hata akikuomba kitu ambacho kipo nje ya uwezo wako pambana akipate, siku zote ikitokea migongano au tatizo lolote simama upande wake mtetee pamoja na hayo mengine uliyopanga kumfanyia mwisho wa siku hata hutatongoza atalainika mwenyewe utajisevia bila nguvu nyingi.
Ku care ndo kila kitu
Yaweza kuwa maan dah hatrKakuendea kwa mganga ndio maana huwezi kujizuia
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kwamba mume na mke ni kama pipa na mfuniko?! HatariNaona kama hadithi tu.
Yaani umemwambia kabisa mkeo mi nampenda sana mdogo ako akukupiga biti tu? Na mkeo akatoka akamwadithia mdogo ake kuwa shemejio anakupenda sana.....ha ha ha ha...wote 2 mtakuwa hamko sawa kichwani.
Anyway kama ni kweli basi huyo mdogo mtu ahamishwe akakae kwingine mbali.
Au si uende kwa wakwe tu uoe wote 2 shida ikwapi kwani? Ha ha ha ha
Hayo ni ya kawaida sana ila yapo mengine mengi unaweza kuendelea kufanya ili kimuweka karibu na wewe. Hata vizawadi zawadi, salare haitoshi mkonyezee lunch allowance ya mwezi, sometimes mtoe kwa shopping kimya kimya bila dada kujua (mwambie dada anaelewa vibaya wakati wewe unamjali kawaida tu so apige kimya amekua asiseme kila kitu, vivocha vocha vya kifurushi cha mwezi, simu zq kumjulia hali na maendeleo yake kwa ujumla....yaaani bila kuchoka then siku unatest kumshika ila ujifanye ni bahati mbaya uone atarespond vipi?)[emoji120] mkuu yote nimefanya ikiwp kumpeleka shule ya gharama nimempambania ajila kapata na vingn vngn ambavyo ndugu zake walishndw na nikwel shem yuko upand wng kwa kila jambo hat pale ninaoochelew rud hom huwa mtetez kwng mkuu ishu hatua ya pili
Ukifanya haya yote na bado akakukazia basi ujue sio mzoefu kwenye 6/6, au ni mlokole mnoo, au havutiwi na wewe, au Ana kiboyfriend wanachopendana sana....na kazalika.Hayo ni ya kawaida sana ila yapo mengine mengi unaweza kuendelea kufanya ili kimuweka karibu na wewe. Hata vizawadi zawadi, salare haitoshi mkonyezee lunch allowance ya mwezi, sometimes mtoe kwa shopping kimya kimya bila dada kujua (mwambie dada anaelewa vibaya wakati wewe unamjali kawaida tu so apige kimya amekua asiseme kila kitu, vivocha vocha vya kifurushi cha mwezi, simu zq kumjulia hali na maendeleo yake kwa ujumla....yaaani bila kuchoka then siku unatest kumshika ila ujifanye ni bahati mbaya uone atarespond vipi?)
[emoji849][emoji849]Kulikuwa na binti mmoja aliemaliza form four mwaka jana. Yeye na dadaye walizaliwa wawili tu kwenye familia yao. Wazazi wao wote wamefariki.
Binti akawa anaishi kwa dada alikoolewa. Miezi ikapita yule binti akaanza mahusiano na shemejiye. Mwanzoni dada ake hakushtukia lakini siku zilivyosonga majirani wakaanza mwambia ashtuke.
Dada akaanza upelelezi kinya kimya. Mume huyo alikua dereva bodaboda. Walikuwa na watoto wanne. Akaja gundua juu ya mahusiano yao. Akamkanya mdogo wake. Binti hakusikia.
Akaendeleza libeneke. Dada yakamfika shingoni. Akamtimua mdogo wake kwenye nyumba yao. Binti akaenda kaa kwa mama mkwe wa dada coz nyumba zilikua karibu.
Mama mkwe akampokea. Binti yule akaja beba mimba ya bwana yule mwanzoni mwa mwaka huu. Mme hakuwa na uwezo wa kupokea mtoto mwingine. Akambeba shem darlin wake wakatoe. Akatolewa, hakusafishwa vizuri.
Akarudi kwa mama mkwe wake. Akaanza kuumwa sana. Dadaye akapata taarifa. Hakujali because alishachukia jumla. Siku zikasonga. Bwana yule hakumpeleka hospital. Binti kafariki mwezi wa saba. Tukamzika.
Jamani mwenye macho na asome, aelewe. Leo familia imebaki na machungu, maumivu..majuto. Niambie hiyo ndoa itakuwaje?? Gharama ya dhambi ni mbaya sana. Ikimbie dhambi..ikatae. Mkatae shetani halooo...
Nimeopata kitu asante sana mkuu nitakuchek pm nikupe ya majiHayo ni ya kawaida sana ila yapo mengine mengi unaweza kuendelea kufanya ili kimuweka karibu na wewe. Hata vizawadi zawadi, salare haitoshi mkonyezee lunch allowance ya mwezi, sometimes mtoe kwa shopping kimya kimya bila dada kujua (mwambie dada anaelewa vibaya wakati wewe unamjali kawaida tu so apige kimya amekua asiseme kila kitu, vivocha vocha vya kifurushi cha mwezi, simu zq kumjulia hali na maendeleo yake kwa ujumla....yaaani bila kuchoka then siku unatest kumshika ila ujifanye ni bahati mbaya uone atarespond vipi?)
Bless kwako mwenyekuelewa kaelewa hiliKulikuwa na binti mmoja aliemaliza form four mwaka jana. Yeye na dadaye walizaliwa wawili tu kwenye familia yao. Wazazi wao wote wamefariki.
Binti akawa anaishi kwa dada alikoolewa. Miezi ikapita yule binti akaanza mahusiano na shemejiye. Mwanzoni dada ake hakushtukia lakini siku zilivyosonga majirani wakaanza mwambia ashtuke.
Dada akaanza upelelezi kinya kimya. Mume huyo alikua dereva bodaboda. Walikuwa na watoto wanne. Akaja gundua juu ya mahusiano yao. Akamkanya mdogo wake. Binti hakusikia.
Akaendeleza libeneke. Dada yakamfika shingoni. Akamtimua mdogo wake kwenye nyumba yao. Binti akaenda kaa kwa mama mkwe wa dada coz nyumba zilikua karibu.
Mama mkwe akampokea. Binti yule akaja beba mimba ya bwana yule mwanzoni mwa mwaka huu. Mme hakuwa na uwezo wa kupokea mtoto mwingine. Akambeba shem darlin wake wakatoe. Akatolewa, hakusafishwa vizuri.
Akarudi kwa mama mkwe wake. Akaanza kuumwa sana. Dadaye akapata taarifa. Hakujali because alishachukia jumla. Siku zikasonga. Bwana yule hakumpeleka hospital. Binti kafariki mwezi wa saba. Tukamzika.
Jamani mwenye macho na asome, aelewe. Leo familia imebaki na machungu, maumivu..majuto. Niambie hiyo ndoa itakuwaje?? Gharama ya dhambi ni mbaya sana. Ikimbie dhambi..ikatae. Mkatae shetani halooo...
Ngoja niitishe kikao cha dharura[emoji12][emoji12][emoji13]we katoe mahari nyingine