Tetesi: Nimetonywa, kuwa anayefuata nyayo za Hayati analiwa kichwa kwa alichokifanya Longido

Yaani kama upo kwaajili ya kushindana na Makonda bora uache maana hutomweza huyu mwamba hata akipewa uwenyekiti wa kijiji utaendelea kumsikia kwenye media.
 
Hata mimi naamini hivyo. Bora usiwe Kiongozi katika kundi la Wahuni, wapumbavu na mediocres wanaopenda uzembe, kutowajibika na kutotaka matokeo ya haraka.
Nchi imeoza. Wazembe na wavivu wanatetewa.
 
Mapungufu yake tunaachana nayo.
Mazuri yake tunatembea nayo.

Ni kiongozi mwenye ujasiri na uthubutu wa hali ya juu. Ni mfuatiliaji makini.

Kama akijirekebisha kwenye hizo kasoro ndogo ndogo (za kibinadamu), Paul ni kiongozi mzuri sana na anafaa.

Long live Paul Makonda. 😎

-Kaveli-
 
Kwa kauli hii inaonesha wazi wewe una chuki binafsi na Makonda.,
Wewe humchukii Makonda? Basi utakuwa na shida kichwani. Makonda;-
*Amepora nyumba ya GSM.
*Alimpiga Lisu risasi nyingi tu.
*Alimteka Roma, Mo, n.k
*Alipora fedha za wafanyabiashara wenye asili ya kihindi DSM.
*Alivamia kituo cha Cloudstv.
*Alimnasa vibao mzee Warioba.
N.k.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…