Anita Makirita
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 1,341
- 2,121
Kwa kusema ana mke mzuri..ndio uchapakazi wa makonda? Shame on youWanafiki mmetia timu kazini kuleta umbea na fitna.
Tena mimi ningekuwa makonda ningemchapa viboko huyo dada.
Kuna watumishi wazembe sana na wajinga, ni kucharaza mboko mpaka wanyooke kama rula.
Samia aniteue mimi Bichwa Komwe nimuonyeshe venye watumishi wananyooshwa.
Ufisadi waanze kupeana shombo huko chamani kwao akiwemo na yeye. Hayo sio majibu yakumjibu mtu mbele ya hadhara. Uwajibishwaji upo bila kumtoa mtu utu wake.You can easily tell she was lying.
Unajua inabidi tufike mahali watanzania tuondokane na hii tabia ya ubabaishaji. Ingawa ni kweli hicho kichombezo cha 'kuongea na mchumba wako' siyo appropriate, lakini kwa kusikiliza tu maelezo ya mhojiwa unaona kabisa alikuwa anatafuta njia ya kudanganya ili kuficha uzembe wa kutokamilisha kazi kwa muda! Hiyo ndiyo imekuwa culture yetu watanzania; uzembe, uongo, uvivu, ubabaishaji, ufisadi, nk. Tusipofika mahali tukabadilika, kamwe tusahau kuhusu kuleta mabadiliko ktk jamii na taifa letu.
Jamaa anapendwa sana na wananchi sababu anapiga kazi
View: https://m.youtube.com/watch?v=pf2rBJg22pg
Hiko ndio kinachowauma, kwanini wananchi wanamuani na kufurika kila anapoenda.
wafanyieni kazi wananchi; onyesheni kujali mkienda sehemu mtajaza watu tu kama yeye. Badala ya kuishi kila siku kujaribu kumgombanisha na boss.
Kila mtu ashinde vita vyake, na vita mbinu.
Wekeni uzi huu kwenye kumbukumbu zenu, mrithi wa hulka za marehemu amekalia kuti kavu.
Aliyemteua hajaitazama mara mbili clip ya udhalilishaji aliofanyiwa yule mtumishi wa kike wa Longido. Amekwazika sana.
Amehurumiwa mara nyingi sana ktk kauli zake, lkn Not This Time.
wananchi ndio sisi au jamii forum ni ya wakongo. Aache dharau!Jamaa anapendwa sana na wananchi sababu anapiga kazi
Humu wengi wanamuonea wivu tu
Jamiiforum inawapuuzi wengi.wananchi ndio sisi au jamii forum ni ya wakongo. Aache dharau!
Too much. Na kama kuonewa huruma imepitiliza sasaHuyo jamaa huwa hajifunzi I don't know why! Dah!
Leo kwa mara ya kwanza naungana na wengine wote dhidi ya huyu RC. That was so wrong. Kiongozi gani unavuka mipaka kiasi kile? Na kapitia hadi mafunzo ya uongozi huyu, ila hamna mabadiliko yoyote. Idea yake ilikuwa nzuri kweli, ila namna anavyowadhalilisha watumishi wa umma hapana kwa kweli. Anavuka mipaka.Was it necessary to say those words?
Honestly, sijaona kosa la huyo dada ktk majibu yake. Ambacho angeweza kufanya Makonda kama alihitaji clarification, angeweza kumsimamisha mtaalamu wa ujenzi (mhandisi msimamizi).
Lakini kumrushia maneno hayo dada huyo si uongozi huo bali ni uhuni tu.
Na shida ya Paul Makonda ndiyo hiyo. Matumizi mabaya ya mdomo wake.
Ni kama ya alivyokuwa baba yake John P. Magufuli.
√ Wote hawafikiri kabla ya kupanua midomo yao kusema.
√ Wote hutumia madaraka yao kuonea na kunyanyasa walio chini
√ Wote wakati wowote wanaweza kumdhalilisha yeyote bila haki
√ Wote walinyimwa akili ya hekima na busara!
Watu wanaomshabikia ndio wapuuzi. Amekosea hakua sahihi! Izo baraka za kupiga ngumi hadi kina mzee Warioba tutaona mwisho wake.Jamiiforum inawapuuzi wengi.
Mtu anamkandia makonda wakati mkuu wa mkoa wake hata jina hamfahamu!
Makonda anapiga kazi sana mwamba yule anakipaji na anamibaraka ya Mungu
Jizi lingine 😂😂😂😂😂Akitemwa nitafanya sherehe
Hata wapumbavu wanazeeka!Watu wanaomshabikia ndio wapuuzi. Amekosea hakua sahihi! Izo baraka za kupiga ngumi hadi kina mzee Warioba tutaona mwisho wake.
Naona hatuelewani usije nipa shombo bure kama za unayemtetea. Mada hapa ni amekosea ajirekebishi sasa sielewi unabishana nini. Wewe kama unaona yupo sawa kiongozi anatakiwa kuwa ivyo well and good. Muda utaongeaHata wapumbavu wanazeeka!
Hicho kitu hakipo!
Lazima kiongozi usikilize wananchi wako ukifanya hivyo watakupenda tu!
Ukipendwa na wananchi ni ishara tosha wewe unamkono wa Mungu upo juu yako!
Makosa mengine ni yakibinadamu tu ila haimuondoi kuwa kiongozi mzuri. Anausikivu, anamataminio ya kuona watu wanawajibika na kutimiza wajubu wao.
Binafsi Mungu azidi kumlinda .Makonda
DAH MPAKA TUNACHOKA AISEE,HIV WEWE NDIO UPO KATIKA DUNIA YA KUAMIN ILI MTU AWEZE KUONYESHA ABILITY LAZIMA AWE NA VYETI!! SO SAD. VYETI HIVI HIVI VYA BONGO? MZEE HATA KAMA UNA CHUKIA BASI JARIBU KUANGALIA VIDEO NZIMA UONE NAMNA MASWALI YANAVYOLETWA UONE NA JINSI MAKONDA ANAVOULIZA NDIO UJE HAPA UANZE KUONGELEA MAVETI SIJUI ZIRO, LISU NA U LAWYER WOTE ANGALIA ANAVYO JIEXPRESS.DJ JE KASOMA?not to sound elitist, lakini mtu kala ziro kwenye elimu zote alizopita, anakuaje kiongozi kwenye nchi "inayojielewa" au labda sisi hatujitambui
Wenawe huna hata unachoelewa 🤣Wewe usiyeelewa Mama alilazimishwa kumtoa Makonda haikuwa matakwa yake! Uwe unaelewa na Makonda hawezi kutolewa Ukuu wa Mkoa kwa shutma za kitoto kama hizo!
Oya mafuta tena??Unataka awachekee wale mafala ........unakuta jitu linasema kibanda cha mlinzi kukijenga ni milioni saba limesaini limetoka na pesa ........nimeona kama lile banda la kupokelea samaki eti limejengwa kwa milioni 50 kubabeki lile hata milioni tano tu halifiki mtu kaandika 50 .........makonda wewe endelea kuwapaka futa kwa fujo sana.......mpaka wataelewa
wengi wakisema hufai hufai mzee,bashite hafai kuwakiongozi hana busara amejawa na kibri na dharauAlooh Makonda huu uzi inaonekana wengi mna chuki nae
kisaikolojia bashite alimhusudu yule mdada kwa position yake kama engineer na pia alionekana ni mwanamke wa shoka anajiamini anavyojieleza mbele yake na mbele ya wananchi halafu alionekana anahaiba ya kipekee hali hiyo ilimtesa akilini makonda akataka kupata jibu la haraka ili aingie mtegoni akakosa ikabadi amwadhibu palepale kijinsia kwa kum-provoke mbele ya kadamnasi ili ajipatie point 3 za lasma mezani mbele ya wananchi.Kitendo Cha kumlinganisha ni MKE wake na kutoa jibu kuwa MKE wake ni mzuri alituma ujumbe gani kwa mume wa huyo engineer?