Tetesi: Nimetonywa, kuwa anayefuata nyayo za Hayati analiwa kichwa kwa alichokifanya Longido

Tetesi: Nimetonywa, kuwa anayefuata nyayo za Hayati analiwa kichwa kwa alichokifanya Longido

Bina
Wekeni uzi huu kwenye kumbukumbu zenu, mrithi wa hulka za marehemu amekalia kuti kavu.

Aliyemteua hajaitazama mara mbili clip ya udhalilishaji aliofanyiwa yule mtumishi wa kike wa Longido. Amekwazika sana.

Amehurumiwa mara nyingi sana ktk kauli zake, lkn Not This Time.
Binafsi naisi ana shida kubwa sana huyu mtu maana hajifunzi na pia Hana heshima kwa wale waliochini yake maana kwenye uongozi huwezi fanya Kila kitu lazima uwe na watu wa kukusaidia na muwe timu.Binafsi hule ni udhalilishaji mkubwa angemuomba radhi huyo mtumishi ,kibinadamu na pia kimalezi na Mila zetu wa Tanzania si jambo jema.
 
Ukiidharau silaha hizi muhimu (hekima & busara) katika maisha ya kawaida na ya kila siku na hususani ukiwa kiongozi wa watu, basi hufiki popote hata uwe mjanja kiasi gani.

Kinyume cha "hekima" ni "ujinga". Unaikataa hekima, basi wewe ndiye hasaaaa mjinga...

Baba yenu Magufuli yuko wapi? Kama unafikiri ni "mapenzi ya Mungu", umechanganyukiwa. Huyo alijiua mwenyewe kwa ujinga wake..
Labda ungesema Alijisababishia kwa kutaka kukisimamia kile alichokiamini 👁🫵
 
Huu udhalilishaji wake si wa kwanza.
Kuna mdau mmoja aliwahi kuja na uzi kuhusu udhalilidhaj mwingne alofanya ila kwakuwa alikuwa mwanaume alifanyiwa udhalilishaji hata haikuwa na kelele.
Ni mdhalilishaji sana huyo mtu
 
You need to be deep to see that kwamba mdada wa watu alikuwa anaongea as if anaongea na mashoga zake huko kwenye viofisi vyao!Watu wako serious and speedy we unaleta mayongeyonge.She deserves that reaction,wafanyakazi ndio wanaosababisha miradi inachelewa with no reason wanachangamoto sana.Tunahitaji viongozi wakali ili walau kuharakisha mambo
 
Wekeni uzi huu kwenye kumbukumbu zenu, mrithi wa hulka za marehemu amekalia kuti kavu.

Aliyemteua hajaitazama mara mbili clip ya udhalilishaji aliofanyiwa yule mtumishi wa kike wa Longido. Amekwazika sana.

Amehurumiwa mara nyingi sana ktk kauli zake, lkn Not This Time.
Sawa
 
Yaani kucha nzima kumsagia Makonda hapa ni Majizi vs Mke mzuri kwangu mm Majizi ndio neno linalotakiwa kujadiliwa ili kuleta uadilivu kwa Umma hatimae nchi ipate maendeleo ya kweli kuna Mawaziri wamewahi kuitwa Nonsense, Stupid but no one cares over these words but when it comes to Makonda that any issue must be exaggerated like never happened before.Guys be serious.
 
You need to be deep to see that kwamba mdada wa watu alikuwa anaongea as if anaongea na mashoga zake huko kwenye viofisi vyao!Watu wako serious and speedy we unaleta mayongeyonge.She deserves that reaction,wafanyakazi ndio wanaosababisha miradi inachelewa with no reason wanachangamoto sana.Tunahitaji viongozi wakali ili walau kuharakisha mambo
Mkuu agiza ulanzi ntalipa ,unajua watu wanafki sanaaa utafikiri hawajawahi kukumbana na " miungu watu" maofisini huyo dada ni mfano wa wachache kabisa wanaojisahau sana wakiwa maofisini,
Ni wanyama nenda mahospitali,nenda mahakamani,nenda police ,nenda Nida,nenda sijui wilayani ,yani utabetuliwa mdomo mpaka ujione mbwa koko,
Acha tu ,
 
Acheni upuuzi,huyo anayetumbua wenzake yeye mwenyewe kwenye nchi ya watu wanaojielewa anagekuwa hayupo Ikulu.Madudu ya ripoti za CAG yanatosha kumuondoa Ikulu ila kwasababu anatawala cheap minds kama mtoa mada,kutwa kujadili watu badala ya masuala!
 
Wekeni uzi huu kwenye kumbukumbu zenu, mrithi wa hulka za marehemu amekalia kuti kavu.

Aliyemteua hajaitazama mara mbili clip ya udhalilishaji aliofanyiwa yule mtumishi wa kike wa Longido. Amekwazika sana.

Amehurumiwa mara nyingi sana ktk kauli zake, lkn Not This Time.
Utasubiri sana. Aliyemteua anamfahamu kuwa ni mtu wa aina hiyo, laiti angekuwa anachukia matendo ya hivyo, asingemteua kabisa.
 
Back
Top Bottom