Nimetuma maombi ya kazi kimakosa

Nimetuma maombi ya kazi kimakosa

Wewe mbona hujaelewa nilichoandika usipende kudandia treni kwa mbele utaumia

Ukienda Cafe unalipia huduma ya kufanyiwa maombi hulipii kutumia Computer kwa masaa nadhani hivyo ndivyo ulivyokariri kwa akiri yako Mtandao wao wa tamisemi ingekuwa mtu analipia kama ulivyozani wewe si angelipa mamilioni ya pesa maana unaweza kaa siku tatu nzima kwenye Computer usikamilishe chochote Cafe.

Unashindwa reason kitu kidogo tu.
 
Wewe ni pimbi.

Ukienda Cafe unalipia huduma ya kufanyiwa maombi hulipii kutumia Computer kwa masaa nadhani hivyo ndivyo ulivyokariri kwa akiri yako Mtandao wao wa tamisemi ingekuwa mtu analipia kama ulivyozani wewe si angelipa mamilioni ya pesa maana unaweza kaa siku tatu nzima kwenye Computer usikamilishe chochote Cafe.

Unashindwa reason kitu kidogo tu.
Ngoja nikuache una akili ndogo ka funza Ni Nani sikuhizi anaenda cafe?
 
Mwalimu mzima huwezi ku fanya application yako mwenyewe very shame, shida chuoni huwa Ni mda wa kuzurula, tu hamjifunzi hata computer Tena ingetakiwa mfanye interview kabisa nyie ndio mnaenda kufundisha watoto wetu ujinga.
[emoji23][emoji23][emoji23]Baada ya kupata msaada kaambulia masimango
 
Embu kuweni na utu na mumsaidie mleta mada.
Na si kumsema.
Nimeumia kwa ajili yake.
Tafuta mtu anaejua vizuri kutumia internet na computer akusaidie mkuu
 
Tatizo la Jamii Forum members... Kla mmoja anajikuta Bright.... Na utafit wang mdogo nlio ufanya Jamii Forums.... Ipo hv

1. Comment ya kwanza ndo hutoa picha za comments znazofuata.... Coz weng n makasuku humu.....shame on them
 
Tatizo la Jamii Forum members... Kla mmoja anajikuta Bright.... Na utafit wang mdogo nlio ufanya Jamii Forums.... Ipo hv

1. Comment ya kwanza ndo hutoa picha za comments znazofuata.... Coz weng n makasuku humu.....shame on them
 
Naombeni msaada wadau,

Nimetuma kimakosa application za ualimu, nilienda internet cafe kufanya application bahati mbaya aliyenihudumia akawa amechanganya taarifa zangu na mtu mwingi kwenye vyeti sasa tatizo linakuja nashindwa kuviondoa vyeti vya mtu mwingine kwenye account yangu.
Mkuu kuna uzi humuhumu kweny hl Jukwaa utafute vzur... Unahusu jinsi ya kufanya maomb ya ualm kwa njia ya OAS kama skosei... Kuna jamaa kama wew pia alkosea kutuma vbay hvohvo.... Kuna jamaa alimshauri vzur tu... Kwamba unaweza pia kuedt upya hzo Taarfa na kufuta ukajaza Tena.... Ushaur wang kwa ufupi.... Utafute huo uzi[emoji3578][emoji3578][emoji3578][emoji3578]
 
Mwalimu mzima huwezi ku fanya application yako mwenyewe very shame, shida chuoni huwa Ni mda wa kuzurula, tu hamjifunzi hata computer Tena ingetakiwa mfanye interview kabisa nyie ndio mnaenda kufundisha watoto wetu ujinga.
Unajua alikumbwa na lipi mpaka akaomba msaada wa mtu wa internet amsaidie .

Ww hujawahi kosea katika mambo yako, au kisa umekuja jf unataka uonekane mjuaji ?
 
Naombeni msaada wadau,

Nimetuma kimakosa application za ualimu, nilienda internet cafe kufanya application bahati mbaya aliyenihudumia akawa amechanganya taarifa zangu na mtu mwingi kwenye vyeti sasa tatizo linakuja nashindwa kuviondoa vyeti vya mtu mwingine kwenye account yangu.
Ndugu, pole sana.
Natoka church, nkifika home ntaingia kwenye mfumo huo mnaoutumia niangalie kama ntaweza kukusaidia

Usishangazwe na maneno ya walimwengu hawajui mateso wanayopitia watu wasio na ajira mitaani.

Pole sana, ngajitahidi kwa kila hali kukusaidia
 
Naombeni msaada wadau,

Nimetuma kimakosa application za ualimu, nilienda internet cafe kufanya application bahati mbaya aliyenihudumia akawa amechanganya taarifa zangu na mtu mwingi kwenye vyeti sasa tatizo linakuja nashindwa kuviondoa vyeti vya mtu mwingine kwenye account yangu.
Uongo huo. Mfumo huo haukubali taarifa zisizo zako.
 
Hivi jamani kwenye barua ya maombi ya ajira ya Ualimu kulikuwa na umuhimu wa kuweka picha kwenye barua?
 
Mwalimu mzima huwezi ku fanya application yako mwenyewe very shame, shida chuoni huwa Ni mda wa kuzurula, tu hamjifunzi hata computer Tena ingetakiwa mfanye interview kabisa nyie ndio mnaenda kufundisha watoto wetu ujinga.

duh

Hivi walimu hawana interview ?? basi wanateleza sana huku Engineering huwa tunachukia interview sana
 
Back
Top Bottom