Hakainde
JF-Expert Member
- Jul 30, 2020
- 2,401
- 2,872
Mtoa mada anaomba msaada, haya yote yanatoka wapi?
Huko huko kwenye ujinga wa mtoa mada kushindwa kutumia computer
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtoa mada anaomba msaada, haya yote yanatoka wapi?
Kujua kutumia computer si born skill, Inaitaji devices na efforts. Kama umebahatika kuwa na vyote, basi mshukuru mungu.Huko huko kwenye ujinga wa mtoa mada kushindwa kutumia computer
Mkuu usiseme ivyoo si kila mtu anaweza kukidhi kununua komputa kuna watu uwezo huo hawana so lazima aende internet cafe mfano mimi mwenyewe komputer yangu iliaribika na nilikuwa likizo na ninaitaji kufanya mambo yangu lazima niende kefu kufanya mambo yanguNgoja nikuache una akili ndogo ka funza Ni Nani sikuhizi anaenda cafe?
Dah we acha tu nimeamini aliyeshiba kamwe hawezi kumkumbuka mwenye njaa[emoji23][emoji23][emoji23]Baada ya kupata msaada kaambulia masimango
Naombeni msaada wadau,
Nimetuma kimakosa application za ualimu, nilienda internet cafe kufanya application bahati mbaya aliyenihudumia akawa amechanganya taarifa zangu na mtu mwingi kwenye vyeti sasa tatizo linakuja nashindwa kuviondoa vyeti vya mtu mwingine kwenye account yangu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]Sasa Hilo ni tusi, Mimi Sina shida, tatizo Ni uelewa wako wa Mambo, na huyo mume tabu atajipa mwenyewe Kama hajielewi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dea bhana lolSasa Hilo ni tusi, Mimi Sina shida, tatizo Ni uelewa wako wa Mambo, na huyo mume tabu atajipa mwenyewe Kama hajielewi
Mwalimu mzima huwezi ku fanya application yako mwenyewe very shame, shida chuoni huwa Ni mda wa kuzurula, tu hamjifunzi hata computer Tena ingetakiwa mfanye interview kabisa nyie ndio mnaenda kufundisha watoto wetu ujinga.
Sasa na comment yangu ya kijinga ndio utofauti na maana ya kuwa na jukwaa hili hatuwezi kufanana mawazo yetu, na nilimwambia hvo makusudi sikutaka kumbembeleza ili iwe fundisho kwa wengine, graduate wengi wakiwa chuo huwa hawazingatii shule wao ni mda wakufatilia social media hawataki kujiongeza hata kujifunza computer na skills muhimu out ya walichosomea, matokeo yao wakija kitaa Ni kuhangaika tu hawajui mbele Wala nyuma, Mimi nafahamu vijana wengi hata kuhudhuria vipindi hawataki, sasa unataka wabembelezwe tu, tena mtu anayeenda kufundisha watoto shule?Comment ya kwanza ya kijinga kutoka kwako tangu nikufahamu.
Mtu akiomba msaada hupaswi kumhukumu maana hujui anapitia yapi kwenye maisha na yupo mazingira gani.
Unapotoa hukumu kama inamaanisha wewe ndiye mtu uliyekuwa serious sana na masomo yako na una GPA kubwa kuliko wote humu. Binafsi umeniboa na ungekuwa karibu makofi yangu ungayapokea.
Sitaki nikufundishe namna ya kumjibu mtu bila kumkwaza au kumdhalilisha but leo nakuona Utopolo kama Utopolo wengine na usinijibu maana nitakutukana matusi ya nguoni.
My dear I miss you[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dea bhana lol
Kwani deadline ya kutuma maombi, ishaisha?Naombeni msaada wadau,
Nimetuma kimakosa application za ualimu, nilienda internet cafe kufanya application bahati mbaya aliyenihudumia akawa amechanganya taarifa zangu na mtu mwingi kwenye vyeti sasa tatizo linakuja nashindwa kuviondoa vyeti vya mtu mwingine kwenye account yangu.
Sasa na comment yangu ya kijinga ndio utofauti na maana ya kuwa na jukwaa hili hatuwezi kufanana mawazo yetu, na nilimwambia hvo makusudi sikutaka kumbembeleza ili iwe fundisho kwa wengine, graduate wengi wakiwa chuo huwa hawazingatii shule wao ni mda wakufatilia social media hawataki kujiongeza hata kujifunza computer na skills muhimu out ya walichosomea, matokeo yao wakija kitaa Ni kuhangaika tu hawajui mbele Wala nyuma, Mimi nafahamu vijana wengi hata kuhudhuria vipindi hawataki, sasa unataka wabembelezwe tu, tena mtu anayeenda kufundisha watoto shule?
By the way GPA yangu ni lower second ndogo tu ya kawaida na siamini ka gpa kubwa ndio akili hasa kwa elimu yetu ya ku cremisha GPA kubwa but you have nothing to offer.
[emoji23][emoji23]Hapo pa kunipiga kibao na Mimi ningekulabua Hadi akili ikuzibuke
Mimi sihitaji chochote kutoka kwa mtu ambaye sio Mimi I'm full package own my own I don't need approval from other people.Kama kweli umesoma na una lower second ya GPA basi kuna kitu unakihitaji. Zipo mbinu nzuri na nyingi za kumshauri mtu ila sio kumkatisha tamaa.
Mbinu bora ya mawasiliano ni nzuri sana kufikisha ujumbe wako kuliko kumwambia mtu eti alienda chuo kucheza. Hujui mtu anachopitia wakati huu wa maisha yake.
Usijifanye bora kuliko wengine mbele za watu wakati hatuna uthibitisho na tena yawezekana wewe ndiyo walewale.
Anyway, Mwenyezi Mungu akubariki kwa kuwa na akili na kusoma vizuri huku ukijifunza vema yale yaliyoelekezwa.
Mimi sihitaji chochote kutoka kwa mtu ambaye sio Mimi I'm full package own my own I don't need approval from other people.
Huyo nimwembia ukweli plain bila kupepesa macho, sio yeye tu hata graduate wakiwa shule huwa nawashauri tu, lakini wao ukiwaambia a, b, c, d wanakuona hamnazo umepitwa na fashion, matokeo wanamaliza hawajui kitu, tena chuoni huwa Kuna somo la computer iweje ashindwe?
Mbona hata mimi nilisoma hvo nikajiongeza mwenyewe shule unafundishwa 25% the rest unajiongeza mwenyewe hata kwa kusoma tutorials za mitandaoni na YoutubeSomo la computer!?
Au unaongelea ile introduction to computer ambayo hutolewa kwenye baadhi ya course. Mtu unafundishwa what is computer, comparison between a man and computer au unawaongelea watu wa IT?
Tunazo tofauti katika uelewa plus mapenzi binafsi. Unachokijua wewe mwingine hakijui na anachokijua yeye wewe hukijui. Shukuru sana muumba wako.
TakatakaMbona hata mimi nilisoma hvo nikajiongeza mwenyewe shule unafundishwa 25% the rest unajiongeza mwenyewe hata kwa kusoma tutorials za mitandaoni na Youtube
takataka ni Papuchi iliyokuzaa tahira ka wewe, stay away from me I'm not ur type mxiiiiewTakataka