Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,486
- 51,156
Humu kapost na kitochi?Hivi kufanya Application ni suala la kujua kufanya Application au suala la kuwa na Resources za kufanyia.
Umeandika ujinga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Humu kapost na kitochi?Hivi kufanya Application ni suala la kujua kufanya Application au suala la kuwa na Resources za kufanyia.
Umeandika ujinga.
Wewe umemsaidiaje?Jf kila mmoja mjuaji.,kasoma sana,. Maisha safi,. Hana njaa. Mwenzenu kaomba ushauri mnaanza kumsimanga na kutokujua computer. Mara elimu ya Tanzania ni majanga. Wakati ndo mmesoma hiyo. Aliyeturoga ni nani
Nimeshangaa piaUongo huo. Mfumo huo haukubali taarifa zisizo zako.
Kwenye sehemu ya kuweka vyeti hata uweke barua ya uchumba inakubali tu haikatai.Nimeshangaa pia
Manake najua ukiupload taarifa sizo inaweka rangi nyekundu na ikiweka red obvious hauwezi kwenda next step
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwenye sehemu ya kuweka vyeti hata uweke barua ya uchumba inakubali tu haikatai.
Kwenye sehemu ya kuweka vyeti hata uweke barua ya uchumba inakubali tu haikatai.
[/QUOTEpembeni kule hakuna sehemu ya kudelete?
Inaonekana uliweka ya uchumba kweli.....hahahahah....mzaha au kilaza!!??Kwenye sehemu ya kuweka vyeti hata uweke barua ya uchumba inakubali tu haikatai.
Sehemu za attachment hazina mashart kuna jamaa zangu kibao sehemu ya cheti cha chuo wameweka Barua tu za kuwatambulisha.Inaonekana uliweka ya uchumba kweli.....hahahahah....mzaha au kilaza!!??
Nimekuandikia inavyotakiwa kuwa, sijakukosoa kwa nia ya kukukomoa, hapo ndipo utofauti ulipo.Mbona na wewe umekosoa, hafu hyo typing error, Mimi nimekosoa wewe umgekuja kivingind basi