faokipe
JF-Expert Member
- Jan 20, 2015
- 1,017
- 1,176
Unakaa na hiyo stika kwenye simu yako ya Nini sasaUjue siku yakiwakuta mtajua uzito wake, wengine tuna majukumu tumepewa sasa watu walikuwa wanajua wewe ni kioo halafu wanakutana na picha kama hii lazima wajiulize mara 2.