Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waambie ule Msemo wa Yesu. Kama wao hawajawahi kuona Au Kuingia Kwenye Porn sites na Kuangalia Tupu za Watu wawe wa Kwanza Kukusengenya.Furaha yangu imezimwa ghafla baada ya kutuma kwa bahati mbaya sticker ya ngono kwenye kundi la kanisa la Whatsapp. Mara baada ya kushtuka nikafuta kwa bahati mbaya sijafuta kwa wote, nilichagua option ya "Delete" badala ya "Delete for All".
Waumini wamenishambulia, nimeona nileft.
Sijui naanzaje kwenda kanisani, naombeni msaada nifanye nini? Heshima yangu jamani...
Pole lakini unaweka vp ujinga kwenye simu yako na siku mtoto akishika?Ni bahati mbaya!
Jamani haya mambo ni magumu sana,juzi binti yangu wa kazi kwa bahati kanitumia picha akiwa matiti nje kwa wastp halafu night kali wife kaikuta kwa phone,imagine hakulaliki hakukaliki,anyway nipo bar,Mkuu sasa kwani shida iko wapi au unaogopa nini mkuu. Hivyo ndivyo ulivyo acha kufake kwa waumuni wenzako wakuona hivi wakati Mungu anakujua kinagaubaga.
Kwanini hukuifuta.?Jamani haya mambo ni magumu sana,juzi binti yangu wa kazi kwa bahati kanitumia picha akiwa matiti nje kwa wastp halafu night kali wife kaikuta kwa phone,imagine hakulaliki hakukaliki,anyway nipo bar,
Wife haelewi
Aitume hapa then iundwe tume yakuchunguza maudhui yake.Nashauri uongoze hilo jopo la uchunguzi mkuu.Hiyo Emoji ndio ipi?
Ebu tuione hiyo picho ndo tukushauri vizuri.Ujue siku yakiwakuta mtajua uzito wake, wengine tuna majukumu tumepewa sasa watu walikuwa wanajua wewe ni kioo halafu wanakutana na picha kama hii lazima wajiulize mara 2.
Umemaliza kila kitu. Lakini jamani hayo masticker na mapicha ya ovyo ya nini kwenye simu. Hivi hujisikii vizuri kuwa a person of good conduct. Hayo mashit yanavuruga uwepo na Mungu au na we ni atheist....una tofauti gani na mpagani.Kwani hapo kanisani kwenu Kuna msafi?
Hakuna group lenye ma pretender wengi Kama group la jumuiya na group la kanisani.
Mambo wanayo posti wamama, na Mambo wanayotufanyia tukiwa nao lodge Ni mwezi na jua.
Watu wanakulana mle lakini ukiwaona siku ni zamu Yao ya kuhudumu utafikiri hawana nyuchi.
Utakuta MTU anakuambia
,'leo sijakuona kanisani' wakati hamruhusu house girl wake kwenda kanisani.
Mimi hua nawaaangaliyaaa.....