Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio nafasi ya kujifunza pia..Ujue siku yakiwakuta mtajua uzito wake, wengine tuna majukumu tumepewa sasa watu walikuwa wanajua wewe ni kioo halafu wanakutana na picha kama hii lazima wajiulize mara 2.
Mimi ilinitokea nikamtumia msg ya mapenzi BABA MKWE, dahhhh nilimtumia msg ya kumwambia nilikosea lakini hakujibu nae alikausha tu.Furaha yangu imezimwa ghafla baada ya kutuma kwa bahati mbaya sticker ya ngono kwenye kundi la kanisa la Whatsapp. Mara baada ya kushtuka nikafuta kwa bahati mbaya sijafuta kwa wote, nilichagua option ya "Delete" badala ya "Delete for All".
Waumini wamenishambulia, nimeona nileft.
Sijui naanzaje kwenda kanisani, naombeni msaada nifanye nini? Heshima yangu jamani...
Na bila shaka watu wametunza screenshot hadi leo.We kausha tu, kama una hofu basi kanisani usiende wiki hii, ila acha familia iende.
Wiki ijayo nenda kama kawaida, ama kama unajiamini hata leo nenda ila jitahidi usiioneshe uso wa hofu na mashaka, na mtu akitaka kuliongelea hilo jitahidi kuyakwepa hayo maongezi kabisa.
Kuna ndgu yangu yeye alikua anamtumia dem wake picha zake za mkuyenge bahati mbaya akaweka status na akalala bila kuhakiki kama zimefika au lah akitegemea atakuta reply za sifa kedekede kutoka kwa dem wake.
Monie anagundua alipost status, alipagawa mno, na kakuta misses calls na texts kibao. Alichobugi ni kuanza kuomba msamaha kwa baadhi ya watu na wengine wala hawakuiona akawafanya waitafute ni kama alikua anajitangaza kua yule ni mimi.
Nachoona ni sahihi ni wewe kukausha na sio kuanza kutafuta misamaha acha watu wawaze vile wanaona inafaa.
HahaaaaaWape bei elekezi
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji23] mkuu unapoozea na k vantJamani haya mambo ni magumu sana,juzi binti yangu wa kazi kwa bahati kanitumia picha akiwa matiti nje kwa wastp halafu night kali wife kaikuta kwa phone,imagine hakulaliki hakukaliki,anyway nipo bar,
Wife haelewi
Embu tuioneFuraha yangu imezimwa ghafla baada ya kutuma kwa bahati mbaya sticker ya ngono kwenye kundi la kanisa la Whatsapp. Mara baada ya kushtuka nikafuta kwa bahati mbaya sijafuta kwa wote, nilichagua option ya "Delete" badala ya "Delete for All".
Waumini wamenishambulia, nimeona nileft.
Sijui naanzaje kwenda kanisani, naombeni msaada nifanye nini? Heshima yangu jamani...
Hakuna mkamilifu chini ya jua.Kuwa na amani tu!!!Nenda kanisani,ONDOA hofu.Furaha yangu imezimwa ghafla baada ya kutuma kwa bahati mbaya sticker ya ngono kwenye kundi la kanisa la Whatsapp. Mara baada ya kushtuka nikafuta kwa bahati mbaya sijafuta kwa wote, nilichagua option ya "Delete" badala ya "Delete for All".
Waumini wamenishambulia, nimeona nileft.
Sijui naanzaje kwenda kanisani, naombeni msaada nifanye nini? Heshima yangu jamani...
Mchungaji wa mchongo [emoji23][emoji23][emoji23]Kuna mchungaji alituma dushe kwenye group la kanisa kimakosaSent using Jamii Forums mobile app
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Aisee ni nomaa snaaaUsinikumbushe alifanya rafiki yangu ila nilileft mm na wengine group yupo mkurugenzi mpaka maadili jamaa aliforwad picha ya demu chuchu ziko wapi na maneno ya kishenzi
Jamaa alivyo fala kaleft bila ya kufuta kiwewe [emoji28][emoji28][emoji28]naona mkurugenzi anatype mda mrefu kwanza kauliza nan watu kimya naona anatype dk 3 nikaleft mm pia maana alikuwa jamaa yangu
Aisee ni noma sanaa[emoji3][emoji3][emoji3]Kulikuwa na group la mchango wa sendoff. Mtu mzima mmoja akatuma such sticker tena mwanaume anachomeka na kuchomoa jamani halooo...usipime. mbaba wa miaka 64 ana watoto na wajukuu. Anaheshimika sana. Chap tu alileft...akaja kutuambia kuwa alikua mjukuu anachezea simu. Mbaya kwenye dp kuna sura yake haloooo...na sherehe hakwenda..