Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Itume hapa tulijadili.
Yawezekana si ya ngono ila hao waumini wenzako wamepagawa.
Yawezekana si ya ngono ila hao waumini wenzako wamepagawa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787]daahNakumbuka wakati nipo mwaka wa 4 mwanzoni chuo, group la class WhatsApp kuna jamaa alikosea akatuma picha yake ya ubo0. Aliidelete for all ila ilikua kazi bure kwasie wa WhatsApp gb. Yule jamaa hakuwahi tena kutuma chochote hata meseji kwenye group hadi tunahitimu[emoji23][emoji23]
lete kwanza sticker hapa kama ni ya yule dada mnene amevaa kitenge anakatika huku anazunguruka hama kanisa sababu wataona hata waumini sample zile huwa unawamezea mate.Furaha yangu imezimwa ghafla baada ya kutuma kwa bahati mbaya sticker ya ngono kwenye kundi la kanisa la Whatsapp. Mara baada ya kushtuka nikafuta kwa bahati mbaya sijafuta kwa wote, nilichagua option ya "Delete" badala ya "Delete for All".
Waumini wamenishambulia, nimeona nileft.
Sijui naanzaje kwenda kanisani, naombeni msaada nifanye nini? Heshima yangu jamani...
Ongeza sticker nyingineFuraha yangu imezimwa ghafla baada ya kutuma kwa bahati mbaya sticker ya ngono kwenye kundi la kanisa la Whatsapp. Mara baada ya kushtuka nikafuta kwa bahati mbaya sijafuta kwa wote, nilichagua option ya "Delete" badala ya "Delete for All".
Waumini wamenishambulia, nimeona nileft.
Sijui naanzaje kwenda kanisani, naombeni msaada nifanye nini? Heshima yangu jamani...
NdiyoKwani kanisa lipo moja?
Waambie tu kwamba ni mkono wa baunsa.Furaha yangu imezimwa ghafla baada ya kutuma kwa bahati mbaya sticker ya ngono kwenye kundi la kanisa la Whatsapp. Mara baada ya kushtuka nikafuta kwa bahati mbaya sijafuta kwa wote, nilichagua option ya "Delete" badala ya "Delete for All".
Waumini wamenishambulia, nimeona nileft.
Sijui naanzaje kwenda kanisani, naombeni msaada nifanye nini? Heshima yangu jamani...
Huyu alietuma sticker labda sio mwanamke ni mwanaumeYesu alisema ninani asiye na dhambi basi adiliki kumpiga mawe uyu mwanamke malaya, ndugu yangu hakuna msafi chini ya jua wote ni wenye dhambi kuwa na amani kabisa
Waambie wana jumuiya kua ni kweli umekosaDaah, ombea yasikukute ndugu yangu, unaweza ukajimaliza kabisa.
😃😄🤣Kanisa linamuona huyu ni kijana wa ovyoIla mkuu haupo makini kabisa kosa la kwanza umetuma sticker ya ngono sawa umekosea, kosa la pili umekosea kufuata kosa la tatu umeleft yani watu watakuona huyu kijana mavimavi kweli yani kaamua kuchafua hali ya hewa hata hajafuta alafu kasepa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ,,,nenda mwambie admin akuombee msamahaa
Kuwa na roho kama ya mchungaji gwajima ambae video yake ulivuja kanisa lake lote na Tanzania mzima waliona lakin akatuaminisha ule mkono sio wake ni wa baunsa na bado watu wakamuelewa ,,,mkuu eb jitoe akili kidogo nawe hiyo sio ndogo tu waambie huo sio mkono wako/haujaandika wew mkono wa baunsa umeandika aliazima simu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Badili diniFuraha yangu imezimwa ghafla baada ya kutuma kwa bahati mbaya sticker ya ngono kwenye kundi la kanisa la Whatsapp. Mara baada ya kushtuka nikafuta kwa bahati mbaya sijafuta kwa wote, nilichagua option ya "Delete" badala ya "Delete for All".
Waumini wamenishambulia, nimeona nileft.
Sijui naanzaje kwenda kanisani, naombeni msaada nifanye nini? Heshima yangu jamani...
Tuma nyingine tuma na meseji ya kitapeli alaf mfate member mmoja umwambie atume kwenye group umeibiwa simu
Wabongo walivyo wanafki hapo utakuta wanakushambulia na huku wamei add hiyo sticker to favorites. 🤣Furaha yangu imezimwa ghafla baada ya kutuma kwa bahati mbaya sticker ya ngono kwenye kundi la kanisa la Whatsapp. Mara baada ya kushtuka nikafuta kwa bahati mbaya sijafuta kwa wote, nilichagua option ya "Delete" badala ya "Delete for All".
Waumini wamenishambulia, nimeona nileft.
Sijui naanzaje kwenda kanisani, naombeni msaada nifanye nini? Heshima yangu jamani...
Hii mbinu ya kivita bila shaka imejifunza Russia.Kuwazunguka manazi af unakamata kiulainiiiiiii😂😂😂😂Tuma nyingine tuma na meseji ya kitapeli alaf mfate member mmoja umwambie atume kwenye group umeibiwa simu