Nimetuma Sticker ya Ngono kwenye Group la Kanisa

Nimetuma Sticker ya Ngono kwenye Group la Kanisa

Nakumbuka wakati nipo mwaka wa 4 mwanzoni chuo, group la class WhatsApp kuna jamaa alikosea akatuma picha yake ya ubo0. Aliidelete for all ila ilikua kazi bure kwasie wa WhatsApp gb. Yule jamaa hakuwahi tena kutuma chochote hata meseji kwenye group hadi tunahitimu[emoji23][emoji23]
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787]daah
 
Furaha yangu imezimwa ghafla baada ya kutuma kwa bahati mbaya sticker ya ngono kwenye kundi la kanisa la Whatsapp. Mara baada ya kushtuka nikafuta kwa bahati mbaya sijafuta kwa wote, nilichagua option ya "Delete" badala ya "Delete for All".

Waumini wamenishambulia, nimeona nileft.

Sijui naanzaje kwenda kanisani, naombeni msaada nifanye nini? Heshima yangu jamani...
lete kwanza sticker hapa kama ni ya yule dada mnene amevaa kitenge anakatika huku anazunguruka hama kanisa sababu wataona hata waumini sample zile huwa unawamezea mate.
 
Furaha yangu imezimwa ghafla baada ya kutuma kwa bahati mbaya sticker ya ngono kwenye kundi la kanisa la Whatsapp. Mara baada ya kushtuka nikafuta kwa bahati mbaya sijafuta kwa wote, nilichagua option ya "Delete" badala ya "Delete for All".

Waumini wamenishambulia, nimeona nileft.

Sijui naanzaje kwenda kanisani, naombeni msaada nifanye nini? Heshima yangu jamani...
Ongeza sticker nyingine
 
Furaha yangu imezimwa ghafla baada ya kutuma kwa bahati mbaya sticker ya ngono kwenye kundi la kanisa la Whatsapp. Mara baada ya kushtuka nikafuta kwa bahati mbaya sijafuta kwa wote, nilichagua option ya "Delete" badala ya "Delete for All".

Waumini wamenishambulia, nimeona nileft.

Sijui naanzaje kwenda kanisani, naombeni msaada nifanye nini? Heshima yangu jamani...
Waambie tu kwamba ni mkono wa baunsa.
 
Yesu alisema ninani asiye na dhambi basi adiliki kumpiga mawe uyu mwanamke malaya, ndugu yangu hakuna msafi chini ya jua wote ni wenye dhambi kuwa na amani kabisa
Huyu alietuma sticker labda sio mwanamke ni mwanaume
 
Ingekuwa group la ukoo au familia ndio noma, lakini la kanisa mbona fresh tu.

Hata Padre au mchungaji anajua kila mtu ana madhambi yake.
 
Ila mkuu haupo makini kabisa kosa la kwanza umetuma sticker ya ngono sawa umekosea, kosa la pili umekosea kufuata kosa la tatu umeleft yani watu watakuona huyu kijana mavimavi kweli yani kaamua kuchafua hali ya hewa hata hajafuta alafu kasepa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ,,,nenda mwambie admin akuombee msamahaa

Kuwa na roho kama ya mchungaji gwajima ambae video yake ulivuja kanisa lake lote na Tanzania mzima waliona lakin akatuaminisha ule mkono sio wake ni wa baunsa na bado watu wakamuelewa ,,,mkuu eb jitoe akili kidogo nawe hiyo sio ndogo tu waambie huo sio mkono wako/haujaandika wew mkono wa baunsa umeandika aliazima simu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
😃😄🤣Kanisa linamuona huyu ni kijana wa ovyo
Kachafua hali ya hewa alafu ka left group

katumwa na mapepo nini?🤣🤣
 
Muda will hear mkuu,usiwaze watasahau.
Nenda tu jifanye kama huelewi vile.
 
Furaha yangu imezimwa ghafla baada ya kutuma kwa bahati mbaya sticker ya ngono kwenye kundi la kanisa la Whatsapp. Mara baada ya kushtuka nikafuta kwa bahati mbaya sijafuta kwa wote, nilichagua option ya "Delete" badala ya "Delete for All".

Waumini wamenishambulia, nimeona nileft.

Sijui naanzaje kwenda kanisani, naombeni msaada nifanye nini? Heshima yangu jamani...
Badili dini
 
Soma Warumi 3:23
Inasema
Wote wamefanya dhambi na kupungukiwa na utukufu wa Mungu.

Ila pia inaonekana ndio mambo yako maana Biblia inasema

Lk 6:45 SUV​

Mtu mwema katika hazina njema ya moyo wake hutoa yaliyo mema, na mtu mwovu katika hazina mbovu ya moyo wake hutoa yaliyo maovu; kwa kuwa mtu, kinywa chake hunena yale yaujazayo moyo wake.
 
Ungeomba Samahani, haraka Sana mara baada ya kuifuta hiyo sticker, lakini kufuta na kukaa kimya lazima waendelee kukushambulia, Rudini kwenye group Uombe msamaha, Sote huwa tunakosea (na tunafanya ngono, watakuelewa).. ili uweze kuendelea kushiriki ibada kwa Amani ya Bwana!
Pole kwa hilo Tukio!
 
Furaha yangu imezimwa ghafla baada ya kutuma kwa bahati mbaya sticker ya ngono kwenye kundi la kanisa la Whatsapp. Mara baada ya kushtuka nikafuta kwa bahati mbaya sijafuta kwa wote, nilichagua option ya "Delete" badala ya "Delete for All".

Waumini wamenishambulia, nimeona nileft.

Sijui naanzaje kwenda kanisani, naombeni msaada nifanye nini? Heshima yangu jamani...
Wabongo walivyo wanafki hapo utakuta wanakushambulia na huku wamei add hiyo sticker to favorites. 🤣
 
Tuma nyingine tuma na meseji ya kitapeli alaf mfate member mmoja umwambie atume kwenye group umeibiwa simu
Hii mbinu ya kivita bila shaka imejifunza Russia.Kuwazunguka manazi af unakamata kiulainiiiiiii😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom