christeve88
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 2,841
- 4,531
HaaaahaaaTuma nyingine tuma na meseji ya kitapeli alaf mfate member mmoja umwambie atume kwenye group umeibiwa simu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HaaaahaaaTuma nyingine tuma na meseji ya kitapeli alaf mfate member mmoja umwambie atume kwenye group umeibiwa simu
Pastor kaI forward kwangu akikushangaa namimi nimemtumia mke wangu aone ulivyo wa hovyo nae katuma kwenye group la akina mama, nao wamemtumia mchungajiFuraha yangu imezimwa ghafla baada ya kutuma kwa bahati mbaya sticker ya ngono kwenye kundi la kanisa la Whatsapp. Mara baada ya kushtuka nikafuta kwa bahati mbaya sijafuta kwa wote, nilichagua option ya "Delete" badala ya "Delete for All".
Waumini wamenishambulia, nimeona nileft.
Sijui naanzaje kwenda kanisani, naombeni msaada nifanye nini? Heshima yangu jamani...
Kuna under 🔞 kwenye group???? Kama hakuna basi shauri yao.Furaha yangu imezimwa ghafla baada ya kutuma kwa bahati mbaya sticker ya ngono kwenye kundi la kanisa la Whatsapp. Mara baada ya kushtuka nikafuta kwa bahati mbaya sijafuta kwa wote, nilichagua option ya "Delete" badala ya "Delete for All".
Waumini wamenishambulia, nimeona nileft.
Sijui naanzaje kwenda kanisani, naombeni msaada nifanye nini? Heshima yangu jamani...
2kusaidieje sasa man!!! MUNGU amekuumbua manake ulikuwa umevaa ngozi ya kondoo kumbe wewe ni fisi maji,inawezekana umeshatafuna kondoo wengi sana wa MUNGU,,,ujue nini MUNGU hachezewi,unakumbuka kilichomtokea ndugai,spika wa bunge aliyetoka,alikua akienda tofauti na haki MUNGU akaupindisha ulimi wake akasema YESU alikuwa na mke,"2lia tu bro sindano iingie!!!Furaha yangu imezimwa ghafla baada ya kutuma kwa bahati mbaya sticker ya ngono kwenye kundi la kanisa la Whatsapp. Mara baada ya kushtuka nikafuta kwa bahati mbaya sijafuta kwa wote, nilichagua option ya "Delete" badala ya "Delete for All".
Waumini wamenishambulia, nimeona nileft.
Sijui naanzaje kwenda kanisani, naombeni msaada nifanye nini? Heshima yangu jamani...
HahahahaKwani kanisa lipo moja?
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Daah noma sanaa... Kujitoa ufahamu tuUmefanya ujinga kuleft ungekomaa nao
Kuna maza mwenyekiti wa jumuia alijichanganya akatuma video ya ngono kwa group [emoji28][emoji28][emoji28] alijikausha humo kimya hadi leo na ni kiongozi hadi leo
Mimi nilikuwa na manzi room sijui ikawaje akanipa simu yake kulikuwa na chatting ya mama yake kwa what's up.. nikamtania nasoma txt kwenye kunipokonya simu recent sticker ikajituma kwa Mama yake ilikuwa ni ya mashine wooiiihhh.. nilikosa mbususu hiyo siku na ndo kwanza ilikuwa mara ya kwanza [emoji23]Furaha yangu imezimwa ghafla baada ya kutuma kwa bahati mbaya sticker ya ngono kwenye kundi la kanisa la Whatsapp. Mara baada ya kushtuka nikafuta kwa bahati mbaya sijafuta kwa wote, nilichagua option ya "Delete" badala ya "Delete for All".
Waumini wamenishambulia, nimeona nileft.
Sijui naanzaje kwenda kanisani, naombeni msaada nifanye nini? Heshima yangu jamani...
H[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Kwani kanisa lipo moja?
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Wala usijali mkuu.Sisi waumini tumeipenda mno hiyo sticker, ila tunavunga tu.
Ninachoogopa kwa sasa ni mke wangu na mama Mchungaji wanaweza kukufata inbox wakiomba uwatumie mzigo mwingine kama huo.
Bila kuweka hiyo sticker Uzi ni batiki[emoji1787]Furaha yangu imezimwa ghafla baada ya kutuma kwa bahati mbaya sticker ya ngono kwenye kundi la kanisa la Whatsapp. Mara baada ya kushtuka nikafuta kwa bahati mbaya sijafuta kwa wote, nilichagua option ya "Delete" badala ya "Delete for All".
Waumini wamenishambulia, nimeona nileft.
Sijui naanzaje kwenda kanisani, naombeni msaada nifanye nini? Heshima yangu jamani...