Nimetuma Sticker ya Ngono kwenye Group la Kanisa

Nimetuma Sticker ya Ngono kwenye Group la Kanisa

Kuna mzee mmoja ni mwenyekiti wa kanisa yeye alituma mkanda wa ex kabisa kwenye group la uwaka kanisa na humo yumo Padre na wanawe pia. Sema watu walikaa kimya. Likaisha hivyo
 
Furaha yangu imezimwa ghafla baada ya kutuma kwa bahati mbaya sticker ya ngono kwenye kundi la kanisa la Whatsapp. Mara baada ya kushtuka nikafuta kwa bahati mbaya sijafuta kwa wote, nilichagua option ya "Delete" badala ya "Delete for All".

Waumini wamenishambulia, nimeona nileft.

Sijui naanzaje kwenda kanisani, naombeni msaada nifanye nini? Heshima yangu jamani...
Kwani kanisa ni hilo hilo moja tu hakuna jingine ?
 
Labda nikituma kwa group la familia ndo ntaogopa na kukosa amani
 
Furaha yangu imezimwa ghafla baada ya kutuma kwa bahati mbaya sticker ya ngono kwenye kundi la kanisa la Whatsapp. Mara baada ya kushtuka nikafuta kwa bahati mbaya sijafuta kwa wote, nilichagua option ya "Delete" badala ya "Delete for All".

Waumini wamenishambulia, nimeona nileft.

Sijui naanzaje kwenda kanisani, naombeni msaada nifanye nini? Heshima yangu jamani...
Nenda kwenye Kanisa linalowaombea wenye dhambi ili watubu.

Kanisa linaloeashambulia wakosaji ni pango la shetani
 
Shetani akikukopesha deni lake utalipa tu!!!
 
Furaha yangu imezimwa ghafla baada ya kutuma kwa bahati mbaya sticker ya ngono kwenye kundi la kanisa la Whatsapp. Mara baada ya kushtuka nikafuta kwa bahati mbaya sijafuta kwa wote, nilichagua option ya "Delete" badala ya "Delete for All".

Waumini wamenishambulia, nimeona nileft.

Sijui naanzaje kwenda kanisani, naombeni msaada nifanye nini? Heshima yangu jamani...
Katubu kwakuwa ulijifanya mwenzao kumbe fuska.
 
We kausha tu, kama una hofu basi kanisani usiende wiki hii, ila acha familia iende.

Wiki ijayo nenda kama kawaida, ama kama unajiamini hata leo nenda ila jitahidi usiioneshe uso wa hofu na mashaka, na mtu akitaka kuliongelea hilo jitahidi kuyakwepa hayo maongezi kabisa.

Kuna ndgu yangu yeye alikua anamtumia dem wake picha zake za mkuyenge bahati mbaya akaweka status na akalala bila kuhakiki kama zimefika au lah akitegemea atakuta reply za sifa kedekede kutoka kwa dem wake.

Monie anagundua alipost status, alipagawa mno, na kakuta misses calls na texts kibao. Alichobugi ni kuanza kuomba msamaha kwa baadhi ya watu na wengine wala hawakuiona akawafanya waitafute ni kama alikua anajitangaza kua yule ni mimi.

Nachoona ni sahihi ni wewe kukausha na sio kuanza kutafuta misamaha acha watu wawaze vile wanaona inafaa.
 
Kulikuwa na group la mchango wa sendoff. Mtu mzima mmoja akatuma such sticker tena mwanaume anachomeka na kuchomoa jamani halooo...usipime. mbaba wa miaka 64 ana watoto na wajukuu. Anaheshimika sana. Chap tu alileft...akaja kutuambia kuwa alikua mjukuu anachezea simu. Mbaya kwenye dp kuna sura yake haloooo...na sherehe hakwenda..
😂😂😂😂😂😂😂 Tatizo halikimbiliki
 
Mungu wetu hutuonya tabia zetu mbaya kwa namna nyingi sana, yale matendo mabaya tunayotenda bila watu wengine kujua huendelea kutufariji na kuyatenda tena na tena. Kumbe yanazidi kutuweka mbali na Mungu wetu, ama kutuondolea ile amani ya Kristo ndani yetu.
Kutuma picha chafu kwenye group sio jambo la ajabu, hiyo ni tabia uliyokuwa nayo ya kuhifadhi vitu vichafu na kuvisambaza au kuvipokea kutoka kwa wengine.
Huna haja ya kukimbia, bali unapaswa kuwa wakati wako wa kufanya usafi kwenye simu yako. Pili kutubu mbele za Mungu, tatu kurudi kwenye group na kuomba radhi kwa kilichotokea. Ikiwezekana mwone kiongozi wa kanisa au admin wa group mwombe msamaha.
Usipofanya hivyo Shetani anaweza kutumia hiyo nafasi kukupoteza kabisa kwenye njia sahihi na kuona dunia yote inakucheka wewe.
Usikimbie kabisa, kabiliana na hilo na urudi kwenye group la kanisa.
Yesu anakupenda sana.
 
Nimecheka Sana....lakini Mkuu kwani sticker ya ngono ilijileta yenyewe kwenye simu yako???bila Shaka ulii~download na uka~add to favorites sjui ili ikusaidie nini?????[emoji848][emoji848]anyway polee Sana mkuu
 
Kumbe ndio (xxxx jina lako nimeliifadh ) wew ulietuma kwenye grupu letu,,aise umeruharibia sana siku,,,yani baada ya kuleft watu wamefunguka sana mambo yako mkuu yani watu wansema unapenda sana mambo hayo au nikitumie screenshot uone[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nimecheka sana mkuu, japo baada ya kuleft nimeambiwa kuwa mjadala mkubwa umeendelea kunishambulia.
No one is perfect. Ila naona ulifanya kosa kuleft... Hkna MTU mwenye smart ambaye hawawah kuangalia au kuyatunza Hyo mambo Kwa simu Yako never. Cha muhimu ni kujifunza Kwa level Yako hivyo vitu viangalie tu online katu usitunze Kwa simu. Nenda kanisan halafu mtu anayejifanya ni Yesu unamshukia Kama mweewe. Watu wasiigize. Kuna watu watajifanya wanakuonya au kukushambulia kisa yupo mchungaji au watu flan lilkn ukiwa naye anaona kwaida na bahati mbya
 
Waombe radhi kuwa ulikuwa umepelekewa na ktk kuifuta ndio ikawa imeenda kwao bila kukusudia. Kama kesi ya manslaaughter. Pole sana. HUKO FESIBUKU UKIFUNGUA TU UNAKUTANA NAYO HATA UKITAKA KUMWONESHA KITU MTU NI AIBU TUPU.
 
Watakumezea ila siku mahubiri yatakulenga.

Haya mambo we acha tu
 
Back
Top Bottom