Nimetuma Sticker ya Ngono kwenye Group la Kanisa

Heshima gani hapo sasa?wakati ndio mambo yako ya sirini,Mungu ameamua kukufunua maovu yako uyaache husikii

Na utalimia meno mwaka huu 😊🤣🤣🤣
 
Ujue siku yakiwakuta mtajua uzito wake, wengine tuna majukumu tumepewa sasa watu walikuwa wanajua wewe ni kioo halafu wanakutana na picha kama hii lazima wajiulize mara 2.
Kwa hiyo unaogopa watu siyo Mungu.
Yale yale ya Nandy, alinisgangaza video ilipovuja akasema alikuwa anawaza waumini na mchungaji watasemaje.
Nikawaza kumbe dhambi halalu ili mradi wenzako wasjue. Kumbe si kwamba watu wanamwogopa Mungu, bali wanataka waonekane wasaf mbele ya jamii
 
Ujue siku yakiwakuta mtajua uzito wake, wengine tuna majukumu tumepewa sasa watu walikuwa wanajua wewe ni kioo halafu wanakutana na picha kama hii lazima wajiulize mara 2.
Tuma hiyo picha hapa...hata kwa kuificha ficha ili tuone tatizo ukubwa wake
 
Kuna msemo unasema
"Mpe mtu mask akuonyeshe sura yake halisi"
Maana yake watu wengi nyuma ya pazia ni watu wabaya sana Ila kwenye macho ya watu wanajidai wema.

Kwahiyo unafiki wa kuvaa ngozi ya wema ulio nao wewe ndo unafiki huohuo walio nao hao wanaokushambulia usikute simu zao zimejaa video za ngono
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…