Unakaa na hiyo stika kwenye simu yako ya Nini sasaUjue siku yakiwakuta mtajua uzito wake, wengine tuna majukumu tumepewa sasa watu walikuwa wanajua wewe ni kioo halafu wanakutana na picha kama hii lazima wajiulize mara 2.
Heshima gani hapo sasa?wakati ndio mambo yako ya sirini,Mungu ameamua kukufunua maovu yako uyaache husikiiFuraha yangu imezimwa ghafla baada ya kutuma kwa bahati mbaya sticker ya ngono kwenye kundi la kanisa la Whatsapp. Mara baada ya kushtuka nikafuta kwa bahati mbaya sijafuta kwa wote, nilichagua option ya "Delete" badala ya "Delete for All".
Waumini wamenishambulia, nimeona nileft.
Sijui naanzaje kwenda kanisani, naombeni msaada nifanye nini? Heshima yangu jamani...
Tuma nyingine tuma na meseji ya kitapeli alaf mfate member mmoja umwambie atume kwenye group umeibiwa simu
Well spokenYesu alisema ninani asiye na dhambi basi adiliki kumpiga mawe uyu mwanamke malaya, ndugu yangu hakuna msafi chini ya jua wote ni wenye dhambi kuwa na amani kabisa
[emoji23]Tuma nyingine tuma na meseji ya kitapeli alaf mfate member mmoja umwambie atume kwenye group umeibiwa simu
Kwa hiyo unaogopa watu siyo Mungu.Ujue siku yakiwakuta mtajua uzito wake, wengine tuna majukumu tumepewa sasa watu walikuwa wanajua wewe ni kioo halafu wanakutana na picha kama hii lazima wajiulize mara 2.
Huko makanisani ndiyo makao makuu ya ngono na vyuo vya ngono ni makanisani kwa hiyo hiyo picha umetuma panapo staili kabisaAmen ndugu yangu, asante kwa faraja, nawaza juu ya watoto wangu sijui wanaonekanaje.
Tuma hiyo picha hapa...hata kwa kuificha ficha ili tuone tatizo ukubwa wakeUjue siku yakiwakuta mtajua uzito wake, wengine tuna majukumu tumepewa sasa watu walikuwa wanajua wewe ni kioo halafu wanakutana na picha kama hii lazima wajiulize mara 2.