Usimgombeze mtoto [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...lazima tufike huko maana macho yanaona.Futa picha hiyo weka ya jicho tu, mwili wako umekosa vitamini au uwe unachanganya na glycerin hayo Mafuta yako ili ngoz iwe laini kidogo
Onhoo,kumbe una jeuri za balehe! Haya na kijipu uchungu ujitibie mwenyewe😂😂😂Niwe mlain kwan mm wa kikee
😂😂😂tulia,ngoja ninyoke nako ....kanapenda storyUsimgombeze mtoto [emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi kilinitokeaga kilikaa karibu miezi saba sijui ila kikaanza kuisha chenyewe tu niliambiwa nenda hospital kakipasue nikafanya process zote Ila siku ya kwenda kukipasua sikwenda nilikausha. Ndio kikaaa hadi muda uo kikaishaga chenyewe ilikuwa ni 2015 huko hadi nishasahauDaaah wiki ya sitaa hakiivi
😂😂😂😂Eee mm nimejitolea😆😆 kasoro jichoo tuu😎
Mimi kilinitokeaga kilikaa karibu miezi saba sijui ila kikaanza kuisha chenyewe tu niliambiwa nenda hospital kakipasue nikafanya process zote Ila siku ya kwenda kukipasua sikwenda nilikausha. Ndio kikaaa hadi muda uo kikaishaga chenyewe ilikuwa ni 2015 huko hadi nishasahau
😂😳kumbe njia ya kujitibia unayo...then upo kusumbua wakubwa hapaNachukua kiwembe apaa mnipe dak 10 tuuu
Duh!...mtoa mada nenda kituo cha afya (hospital)Kachungulie choo cha shimo kisha piga ukunga.
Utakoma chali angu pambania kiisheMiezi sabaaaa ......mmmh lazima niende hospitali
Ikoo wapi na walitoa kwa shingapi mkuuHiyo kitaalamu tunaiita "CHALAZION!" na husababishwa na kuziba kwa vile vifuko vya mafuta "oil glands" na mara nyingi huondoka yenyewe kwa "remedies" za nyumbani kama ulivyojaribu.
Ila kama imekaa muda wote huo wa wiki 6 bila kuondoka, na husikii maumivu hapo ni kwenda hospitali huwa wanafanya "cosmetic surgery" wanakitoa.
Mimi nilikipataga miaka ile enzi za ujana nikiwa chuo kikuu (ilikuwa kwenye upper eyelid) na kikagoma kutoka hivyo nikaenda MNH wakakitoa.
Mi sikujua kuwa mnatakiwa mpauke.Mi mtoto wangu sitoacha kumwelimisha utunzaji wa ngoz ni pamoja na kupakaa Mafuta.Huyo ni mtoto bado lazima tumwelimisheMwanaume ngozi laini ya nini? Mbona unataka kumfanya kijana kuwa kunguru aka mlamba lips
Mtoto kivipi umepima vip utoto wake mkuu 😀😀😀Mi sikujua kuwa mnatakiwa mpauke.Mi mtoto wangu sitoacha kumwelimisha utunzaji wa ngoz ni pamoja na kupakaa Mafuta.Huyo ni mtoto bado lazima tumwelimishe
😳onho! Ila sema wanaume wengi wapo ivoMm mwenyewe sipaki mafuta zaidi ya mikononi na sehemu nyeti tu
Mwonekano mkuuMtoto kivipi umepima vip utoto wake mkuu 😀😀😀