Nimetumia karafuu kutoa kijipu lakini haijanisaidia, nisaidieni njia nyingine🙏

Nimetumia karafuu kutoa kijipu lakini haijanisaidia, nisaidieni njia nyingine🙏

[emoji23][emoji23][emoji23]...lazima tufike huko maana macho yanaona.Futa picha hiyo weka ya jicho tu, mwili wako umekosa vitamini au uwe unachanganya na glycerin hayo Mafuta yako ili ngoz iwe laini kidogo
Usimgombeze mtoto [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Daaah wiki ya sitaa hakiivi
Mimi kilinitokeaga kilikaa karibu miezi saba sijui ila kikaanza kuisha chenyewe tu niliambiwa nenda hospital kakipasue nikafanya process zote Ila siku ya kwenda kukipasua sikwenda nilikausha. Ndio kikaaa hadi muda uo kikaishaga chenyewe ilikuwa ni 2015 huko hadi nishasahau
 
Miezi sabaaaa ......mmmh lazima niende hospitali
Mimi kilinitokeaga kilikaa karibu miezi saba sijui ila kikaanza kuisha chenyewe tu niliambiwa nenda hospital kakipasue nikafanya process zote Ila siku ya kwenda kukipasua sikwenda nilikausha. Ndio kikaaa hadi muda uo kikaishaga chenyewe ilikuwa ni 2015 huko hadi nishasahau
 
Hiyo kitaalamu tunaiita "CHALAZION!" na husababishwa na kuziba kwa vile vifuko vya mafuta "oil glands" na mara nyingi huondoka yenyewe kwa "remedies" za nyumbani kama ulivyojaribu.

Ila kama imekaa muda wote huo wa wiki 6 bila kuondoka, na husikii maumivu hapo ni kwenda hospitali huwa wanafanya "cosmetic surgery" wanakitoa.

Mimi nilikipataga miaka ile enzi za ujana nikiwa chuo kikuu (ilikuwa kwenye upper eyelid) na kikagoma kutoka hivyo nikaenda MNH wakakitoa.
Ikoo wapi na walitoa kwa shingapi mkuu
 
Mwanaume ngozi laini ya nini? Mbona unataka kumfanya kijana kuwa kunguru aka mlamba lips
Mi sikujua kuwa mnatakiwa mpauke.Mi mtoto wangu sitoacha kumwelimisha utunzaji wa ngoz ni pamoja na kupakaa Mafuta.Huyo ni mtoto bado lazima tumwelimishe
 
Mi sikujua kuwa mnatakiwa mpauke.Mi mtoto wangu sitoacha kumwelimisha utunzaji wa ngoz ni pamoja na kupakaa Mafuta.Huyo ni mtoto bado lazima tumwelimishe
Mtoto kivipi umepima vip utoto wake mkuu 😀😀😀
 
Back
Top Bottom