Nimetumia pesa kulala na mwanamke wa rafiki yangu bila kujua, na yeye kajaa hataki kuniacha

Mwoshaa huoshwa....
 
Usikubali rafiki yako akaoa malaya bro..... Leo wewe umemla ndani 72 hrs

Swali dogo n 👉 hapo hotelin wanakuja wangap🤔
Huyo n malaya🚶🚶
 
Huyo siyo mke wake na hukujua kabla..
Itakua hujui corporate life ww.

Akijua nimelala na huyo dem wake unaweza jua italeta nn hapo kazini? Hujui anaweza nishitaki? Ni rafiki yangu lkn kwenye corporate ladder hakunaga urafiki, unaless hujawah kufanyakazi na kuona corporate politics.
 
Mkuu
Dem wa mshkaji hakuna mbaya kutafunana naye. Lakini eke wa mshkaji ni noma maya sana kumtafuna
 
Itakua hujui corporate life ww.

Akijua nimelala na huyo dem wake unaweza jua italeta nn hapo kazini? Hujui anaweza nishitaki? Ni rafiki yangu lkn kwenye corporate ladder hakunaga urafiki, unaless hujawah kufanyakazi na kuona corporate politics.
Mkuu tumia uzoefu wako kuvunja mahusiano ya uchumba wa huyo rafiki yako kwa dem kicheche.

Wewe hauna kosa la kumlala shemeji yako bila kukusudia.

Ila ninajua akimuoa tatizo kubwa litajitokeza kati yenu nyote watatu, nyie marafiki wawili na huyo mke wenu, kila mmoja kati yenu hamtaishi kwa furaha hasa mambo yakibumburuka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…