Nimetumia pesa kulala na mwanamke wa rafiki yangu bila kujua, na yeye kajaa hataki kuniacha

Nimetumia pesa kulala na mwanamke wa rafiki yangu bila kujua, na yeye kajaa hataki kuniacha

Shoka moja, mbuyu chini...

Ushapagawa na kitobo wewe...
 
Maisha haya tabu tupu.

Kuna binti mmoja anafanya kazi hoteli fln hapo mlimani. Huyu nilimuona mara moja tu nikamtamani, baada ya kunihudumia nikamuachia tip nzuri tu na wala sikuchukua namba sababu ndo nnavyowatega warembo wa aina hio.

Sasa kumbe binti kanikariri, 1 week ikapita nikarudi tena pale akanipokea kwa bashasha sana na macho alivokua ananiangalia ukijumlisha uzuri wake aisee nilisisimka palepale. Ile nimekaa tu akaenda kutafuta kitaulo akaanza kufuta meza huku akiniuliza anihudumie nn. Nikamwambia chakula nnachotaka huku akili ikiwa pengine kabisa ikishangaa anavyomelemeta ile siku na lile tabasam lake.

Nilipomaliza kula nikamlipa na kumuachia tip kama kawaida ila nikamuachia pia business card yangu nikamwambia anitafute.

Ile naingia kwenye gari tu napata msg "Hellow, mhudumu wako hapa boss" nikareply "ok"

Mida ya saa moja jion nimechill kwangu mrembo akanipigia tukapiga story mbili tatu, nikamtania tu, nipo nimechill njoo tuongee face to face, bila hiyana akakubali.

Kachukua bolt mida ya saa mbili na nusu ameshafika, tukafanya yetu tena bila kinga, lkn tukapima baada ya bao 2 za mwanzo. Tukapiga cha tatu tukalala. Kesho yake akaniaga mapema akarudi kwake.

Sasa siku chache zilizopita nipo na rafiki yangu nnaefanya nae kazi ofisi moja pale pale hotelin tunapata msosi si akaja yule binti kutuhudumia.

Binti alivyomuona jamaa nikaona kabadilika akawa ananikwepa sana, na mm huwa hata kama nimelala na dem sioneshi nje. Alivyomaliza kutuhudumia, rafiki yangu akaongea nae kdg lkn kupitia hayo mazungumzo nikagundua wanafahamiana ila sikujua kama ni wachumba.

Sasa bwana wee, binti kaondoka si ndo mshikaji akaanza kuniambia, "unaona hiki chombo, nimesoma nacho, nimekileta mjini huku nikakipangia room na kukitafutia kazi. Nataka nioe hapa mambo yakitiki vzr kazini"

Aisee nilihisi ganzi mwilini niliposikia hivo. Nikikumbuka nilikua namwagia ndani, mtoto kachezea koni balaa usiku ule, na tuliendelea kukichapa hata baada ya ule usiku. Nikamuitikia tu jamaa yangu kwamba "Mtoto mzr huyo, chukua mapema"

Kilichonishangaza jioni yake nampigia simu dem na kumuuliza khs mahusiano yake na jamaa yangu, dem anajibu "Huyo ananisumbuaga sana ila mm hata simpendi, hapa kazini kwanza wameshamchoka anajipendekeza sana kwangu, kila siku anataka mm ndo nimuhudumie". Aisee nikazidi kuchoka, nikasema huyu dem yupo after money hata kwangu, sabab kama anasema hvo khs mtu alomtafutia kazi na kumleta mjini, isitoshe kumpangia chumba basi ni hatari sana.

Sasa kwenye yale mazungumzo si kakanipandisha genye, ikabidi kaje home tena tukakichapa. Ila baada ya hapo nafeel guilty saana, yaan zaidi ya sana. Hadi kuona naandika hapa roho inaniuma sana. Toka day one nmemuona huyu binti ni namwagia hela tu, na yeye anamsaliti jamaa yake akidhan mm sijui true story behind.

Roho inaniuma sana, hapa nimempiga block huyo dem ila kuna mda yale mamichezo yake yanarudi akilini nataman kumcheki tena. Shida tupu yaan, full dillemma
Mchane manzi kuwa unajua Kila kitu na ukatemawasiliano na faster tafuta mbadala wake
 
Karma haikosei Mkuu utakuja kuyaona hayo machoni au kizazi chako...ova!
Achaaaaaa....
 
Maisha haya tabu tupu.

Kuna binti mmoja anafanya kazi hoteli fln hapo mlimani. Huyu nilimuona mara moja tu nikamtamani, baada ya kunihudumia nikamuachia tip nzuri tu na wala sikuchukua namba sababu ndo nnavyowatega warembo wa aina hio.

Sasa kumbe binti kanikariri, 1 week ikapita nikarudi tena pale akanipokea kwa bashasha sana na macho alivokua ananiangalia ukijumlisha uzuri wake aisee nilisisimka palepale. Ile nimekaa tu akaenda kutafuta kitaulo akaanza kufuta meza huku akiniuliza anihudumie nn. Nikamwambia chakula nnachotaka huku akili ikiwa pengine kabisa ikishangaa anavyomelemeta ile siku na lile tabasam lake.

Nilipomaliza kula nikamlipa na kumuachia tip kama kawaida ila nikamuachia pia business card yangu nikamwambia anitafute.

Ile naingia kwenye gari tu napata msg "Hellow, mhudumu wako hapa boss" nikareply "ok"

Mida ya saa moja jion nimechill kwangu mrembo akanipigia tukapiga story mbili tatu, nikamtania tu, nipo nimechill njoo tuongee face to face, bila hiyana akakubali.

Kachukua bolt mida ya saa mbili na nusu ameshafika, tukafanya yetu tena bila kinga, lkn tukapima baada ya bao 2 za mwanzo. Tukapiga cha tatu tukalala. Kesho yake akaniaga mapema akarudi kwake.

Sasa siku chache zilizopita nipo na rafiki yangu nnaefanya nae kazi ofisi moja pale pale hotelin tunapata msosi si akaja yule binti kutuhudumia.

Binti alivyomuona jamaa nikaona kabadilika akawa ananikwepa sana, na mm huwa hata kama nimelala na dem sioneshi nje. Alivyomaliza kutuhudumia, rafiki yangu akaongea nae kdg lkn kupitia hayo mazungumzo nikagundua wanafahamiana ila sikujua kama ni wachumba.

Sasa bwana wee, binti kaondoka si ndo mshikaji akaanza kuniambia, "unaona hiki chombo, nimesoma nacho, nimekileta mjini huku nikakipangia room na kukitafutia kazi. Nataka nioe hapa mambo yakitiki vzr kazini"

Aisee nilihisi ganzi mwilini niliposikia hivo. Nikikumbuka nilikua namwagia ndani, mtoto kachezea koni balaa usiku ule, na tuliendelea kukichapa hata baada ya ule usiku. Nikamuitikia tu jamaa yangu kwamba "Mtoto mzr huyo, chukua mapema"

Kilichonishangaza jioni yake nampigia simu dem na kumuuliza khs mahusiano yake na jamaa yangu, dem anajibu "Huyo ananisumbuaga sana ila mm hata simpendi, hapa kazini kwanza wameshamchoka anajipendekeza sana kwangu, kila siku anataka mm ndo nimuhudumie". Aisee nikazidi kuchoka, nikasema huyu dem yupo after money hata kwangu, sabab kama anasema hvo khs mtu alomtafutia kazi na kumleta mjini, isitoshe kumpangia chumba basi ni hatari sana.

Sasa kwenye yale mazungumzo si kakanipandisha genye, ikabidi kaje home tena tukakichapa. Ila baada ya hapo nafeel guilty saana, yaan zaidi ya sana. Hadi kuona naandika hapa roho inaniuma sana. Toka day one nmemuona huyu binti ni namwagia hela tu, na yeye anamsaliti jamaa yake akidhan mm sijui true story behind.

Roho inaniuma sana, hapa nimempiga block huyo dem ila kuna mda yale mamichezo yake yanarudi akilini nataman kumcheki tena. Shida tupu yaan, full dillemma
Ukweli ndo utakuweka huru
 
Kama ni Dar hii ni kawaida .mkeo,mchumba ,dem wako akija Dar bila hela au auna uhakika wa kumhudumia vizuri lazima aliwe
 
Maisha haya tabu tupu.

Kuna binti mmoja anafanya kazi hoteli fln hapo mlimani. Huyu nilimuona mara moja tu nikamtamani, baada ya kunihudumia nikamuachia tip nzuri tu na wala sikuchukua namba sababu ndo nnavyowatega warembo wa aina hio.

Sasa kumbe binti kanikariri, 1 week ikapita nikarudi tena pale akanipokea kwa bashasha sana na macho alivokua ananiangalia ukijumlisha uzuri wake aisee nilisisimka palepale. Ile nimekaa tu akaenda kutafuta kitaulo akaanza kufuta meza huku akiniuliza anihudumie nn. Nikamwambia chakula nnachotaka huku akili ikiwa pengine kabisa ikishangaa anavyomelemeta ile siku na lile tabasam lake.

Nilipomaliza kula nikamlipa na kumuachia tip kama kawaida ila nikamuachia pia business card yangu nikamwambia anitafute.

Ile naingia kwenye gari tu napata msg "Hellow, mhudumu wako hapa boss" nikareply "ok"

Mida ya saa moja jion nimechill kwangu mrembo akanipigia tukapiga story mbili tatu, nikamtania tu, nipo nimechill njoo tuongee face to face, bila hiyana akakubali.

Kachukua bolt mida ya saa mbili na nusu ameshafika, tukafanya yetu tena bila kinga, lkn tukapima baada ya bao 2 za mwanzo. Tukapiga cha tatu tukalala. Kesho yake akaniaga mapema akarudi kwake.

Sasa siku chache zilizopita nipo na rafiki yangu nnaefanya nae kazi ofisi moja pale pale hotelin tunapata msosi si akaja yule binti kutuhudumia.

Binti alivyomuona jamaa nikaona kabadilika akawa ananikwepa sana, na mm huwa hata kama nimelala na dem sioneshi nje. Alivyomaliza kutuhudumia, rafiki yangu akaongea nae kdg lkn kupitia hayo mazungumzo nikagundua wanafahamiana ila sikujua kama ni wachumba.

Sasa bwana wee, binti kaondoka si ndo mshikaji akaanza kuniambia, "unaona hiki chombo, nimesoma nacho, nimekileta mjini huku nikakipangia room na kukitafutia kazi. Nataka nioe hapa mambo yakitiki vzr kazini"

Aisee nilihisi ganzi mwilini niliposikia hivo. Nikikumbuka nilikua namwagia ndani, mtoto kachezea koni balaa usiku ule, na tuliendelea kukichapa hata baada ya ule usiku. Nikamuitikia tu jamaa yangu kwamba "Mtoto mzr huyo, chukua mapema"

Kilichonishangaza jioni yake nampigia simu dem na kumuuliza khs mahusiano yake na jamaa yangu, dem anajibu "Huyo ananisumbuaga sana ila mm hata simpendi, hapa kazini kwanza wameshamchoka anajipendekeza sana kwangu, kila siku anataka mm ndo nimuhudumie". Aisee nikazidi kuchoka, nikasema huyu dem yupo after money hata kwangu, sabab kama anasema hvo khs mtu alomtafutia kazi na kumleta mjini, isitoshe kumpangia chumba basi ni hatari sana.

Sasa kwenye yale mazungumzo si kakanipandisha genye, ikabidi kaje home tena tukakichapa. Ila baada ya hapo nafeel guilty saana, yaan zaidi ya sana. Hadi kuona naandika hapa roho inaniuma sana. Toka day one nmemuona huyu binti ni namwagia hela tu, na yeye anamsaliti jamaa yake akidhan mm sijui true story behind.

Roho inaniuma sana, hapa nimempiga block huyo dem ila kuna mda yale mamichezo yake yanarudi akilini nataman kumcheki tena. Shida tupu yaan, full dillemma
Mlishaambia 'msile nyama ya mtu, akianza hauachi!'
 
Back
Top Bottom