Pinda Nhenagula
Member
- Jan 26, 2019
- 87
- 113
daah ww acha tu labda ni kwel auUnaenda kupigwa
Eeh watu wanatumia akili kweli kupata pesa kwa kutapeli watu kuliko kutumia akili kujiongezea thamani..Habari za wakati huu wapendwa wana jukwaa naomba ufafanuzi jaman kuna mtu kanitumia bidhaa kama zawadi IPHONE,LAPTOP na pesa taslimu $1500.. naomba msaada kwa wale wazoefu maana mzigo umetumwa jana usiku umefika kenya at NAIROBI kenyata international airport ... NAOMBA MSAADA0KWALE WAZOEFU MNIAMBIE JE0HII NI KWEL AU UONGO SIJAJUA KAMA NI MATAPELI AU LA .mzigo umefika asubuhi leo na wamenitaarifu nimewaambia uletwe TABORA ameniambia kuna gharama kusafirisha ya 70000 tsh kuja TanzaniaView attachment 2934123View attachment 2934124
Wa Nairobi huambiwa imefikia Dar es salaam.Bro wangu alipigwa hivi hivi, na location huwa hawabadilishi hiyo hiyo Nairobi
Wafungue wagawe hizo dola wajilipe.Habari za wakati huu wapendwa wana jukwaa naomba ufafanuzi jaman kuna mtu kanitumia bidhaa kama zawadi IPHONE,LAPTOP na pesa taslimu $1500.. naomba msaada kwa wale wazoefu maana mzigo umetumwa jana usiku umefika kenya at NAIROBI kenyata international airport ... NAOMBA MSAADA0KWALE WAZOEFU MNIAMBIE JE0HII NI KWEL AU UONGO SIJAJUA KAMA NI MATAPELI AU LA .mzigo umefika asubuhi leo na wamenitaarifu nimewaambia uletwe TABORA ameniambia kuna gharama kusafirisha ya 70000 tsh kuja TanzaniaView attachment 2934123View attachment 2934124
Hii kitu ni kweli kabisa tuma pesa chap upate mzigo wako. Then ulete mrejeshoHabari za wakati huu wapendwa wana jukwaa naomba ufafanuzi jaman kuna mtu kanitumia bidhaa kama zawadi IPHONE,LAPTOP na pesa taslimu $1500.. naomba msaada kwa wale wazoefu maana mzigo umetumwa jana usiku umefika kenya at NAIROBI kenyata international airport ... NAOMBA MSAADA0KWALE WAZOEFU MNIAMBIE JE0HII NI KWEL AU UONGO SIJAJUA KAMA NI MATAPELI AU LA .mzigo umefika asubuhi leo na wamenitaarifu nimewaambia uletwe TABORA ameniambia kuna gharama kusafirisha ya 70000 tsh kuja TanzaniaView attachment 2934123View attachment 2934124