SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 3,109
- 6,323
Sana hata mimi niliambiwa hivyoo walitaka laki 5 nikaupokee mzigo eti wawatoto yatima nilihangaika hadi nikajua ni matapeliUtapeli wa kizamani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sana hata mimi niliambiwa hivyoo walitaka laki 5 nikaupokee mzigo eti wawatoto yatima nilihangaika hadi nikajua ni matapeliUtapeli wa kizamani
Labdawewehahahaa
Najaua unaelewa hakupokea😅Mkuu ulipokea huo mzigo wako?
Wewe ni msukuma,mshamba,mpumbavu na ni mzembe😆😄😅😅Habari za wakati huu wapendwa,
Wana Jukwaa, naomba ufafanuzi. Kuna mtu amekutumia zawadi ya iPhone, laptop, na pesa taslimu $1500. Naomba msaada kwa wale wazoefu, maana mzigo ulitumwa jana usiku na umefika Kenya katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta, Nairobi.
Naomba msaada kutoka kwa wale wenye uzoefu, ni kweli au ni uwongo? Sijui kama ni matapeli au la. Mzigo umewasili asubuhi ya leo na wameniambia niulete Tabora, lakini wameniambia kuna gharama ya kusafirisha ya Tsh 70,000 kuja Tanzania.
View attachment 2934123View attachment 2934124View attachment 2934125View attachment 2934126
Haikuwa na haja ya kumwita mpumbavu....ulipaswa tu uiahie kwenye ushamba kwani sio tusiWewe ni msukuma,mshamba,mpumbavu na ni mzembe😆😄😅😅
Mpumbavu ni mtu ambaye,anajua jambo ni la kijinga hataki kunifunza..........mtu yeyote anayetumia smartphone na hajui kua huwezi tumiwa kitu/mali/pesa bila kuifanyia KAZI na mtu usiyemjua ni MPUMBAVUHaikuwa na haja ya kumwita mpumbavu....ulipaswa tu uiahie kwenye ushamba kwani sio tusi
Hapana sijui mkuu😀😀 atupe mrejesho mwenyewe😀Najaua unaelewa hakupokea😅
Matapeli hai, FEDHA Huwa haiwekwi kwenye box!!!Habari za wakati huu wapendwa,
Wana Jukwaa, naomba ufafanuzi. Kuna mtu amekutumia zawadi ya iPhone, laptop, na pesa taslimu $1500. Naomba msaada kwa wale wazoefu, maana mzigo ulitumwa jana usiku na umefika Kenya katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta, Nairobi.
Naomba msaada kutoka kwa wale wenye uzoefu, ni kweli au ni uwongo? Sijui kama ni matapeli au la. Mzigo umewasili asubuhi ya leo na wameniambia niulete Tabora, lakini wameniambia kuna gharama ya kusafirisha ya Tsh 70,000 kuja Tanzania.
View attachment 2934123View attachment 2934124View attachment 2934125View attachment 2934126
Aaah jmnHapana sijui mkuu😀😀 atupe mrejesho mwenyewe😀
Mwehu wewe!Nimechat na mtoa mada, kumbe mzigo wake aliupata bhana kama ulivyo laptonga, iphonge na midolare buku jero yake baada ya kutuma hiyo 70k.
Inasikitisha sana mkuuMwehu wewe!