Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unavosema "kuna mtu kanitumia" nadhani ni vema kufafanua huyo mtu ni nani unamfahamu au imekuaje hadi mmetumuana mzigoHabari za wakati huu wapendwa wana jukwaa naomba ufafanuzi jaman kuna mtu kanitumia bidhaa kama zawadi IPHONE,LAPTOP na pesa taslimu $1500.. naomba msaada kwa wale wazoefu maana mzigo umetumwa jana usiku umefika kenya at NAIROBI kenyata international airport ... NAOMBA MSAADA0KWALE WAZOEFU MNIAMBIE JE0HII NI KWEL AU UONGO SIJAJUA KAMA NI MATAPELI AU LA .mzigo umefika asubuhi leo na wamenitaarifu nimewaambia uletwe TABORA ameniambia kuna gharama kusafirisha ya 70000 tsh kuja TanzaniaView attachment 2934123View attachment 2934124
Kwanini haujaja hapa hapa TZ wakati ndege zipo nyingi tu zinatua hapa.! Sema ni utapeli wa siku nyingiBro wangu alipigwa hivi hivi, na location huwa hawabadilishi hiyo hiyo Nairobi
Wacha ujinga, pesa huwa haitumwi kama parcel.Habari za wakati huu wapendwa wana jukwaa naomba ufafanuzi jaman kuna mtu kanitumia bidhaa kama zawadi IPHONE,LAPTOP na pesa taslimu $1500.. naomba msaada kwa wale wazoefu maana mzigo umetumwa jana usiku umefika kenya at NAIROBI kenyata international airport ... NAOMBA MSAADA0KWALE WAZOEFU MNIAMBIE JE0HII NI KWEL AU UONGO SIJAJUA KAMA NI MATAPELI AU LA .mzigo umefika asubuhi leo na wamenitaarifu nimewaambia uletwe TABORA ameniambia kuna gharama kusafirisha ya 70000 tsh kuja TanzaniaView attachment 2934123View attachment 2934124
😂😂😂😂😂😂 Nishaingizwa sana kwenye mitego kama hii lakin nikashindwa. Mkuu achana nao utapigwaHabari za wakati huu wapendwa wana jukwaa naomba ufafanuzi jaman kuna mtu kanitumia bidhaa kama zawadi IPHONE,LAPTOP na pesa taslimu $1500.. naomba msaada kwa wale wazoefu maana mzigo umetumwa jana usiku umefika kenya at NAIROBI kenyata international airport ... NAOMBA MSAADA0KWALE WAZOEFU MNIAMBIE JE0HII NI KWEL AU UONGO SIJAJUA KAMA NI MATAPELI AU LA .mzigo umefika asubuhi leo na wamenitaarifu nimewaambia uletwe TABORA ameniambia kuna gharama kusafirisha ya 70000 tsh kuja TanzaniaView attachment 2934123View attachment 2934124
Haya ni kweli, watumie hizo heladaah ww acha tu labda ni kwel au
Mtumaji ni nani yako? kama mmekutana mtandaoni, unapigwa na watoto wa Sinza pale!Habari za wakati huu wapendwa wana jukwaa naomba ufafanuzi jaman kuna mtu kanitumia bidhaa kama zawadi IPHONE,LAPTOP na pesa taslimu $1500.. naomba msaada kwa wale wazoefu maana mzigo umetumwa jana usiku umefika kenya at NAIROBI kenyata international airport ... NAOMBA MSAADA0KWALE WAZOEFU MNIAMBIE JE0HII NI KWEL AU UONGO SIJAJUA KAMA NI MATAPELI AU LA .mzigo umefika asubuhi leo na wamenitaarifu nimewaambia uletwe TABORA ameniambia kuna gharama kusafirisha ya 70000 tsh kuja TanzaniaView attachment 2934123View attachment 2934124
Je waliotuma una mahusiano gani nao?Habari za wakati huu wapendwa wana jukwaa naomba ufafanuzi jaman kuna mtu kanitumia bidhaa kama zawadi IPHONE,LAPTOP na pesa taslimu $1500.. naomba msaada kwa wale wazoefu maana mzigo umetumwa jana usiku umefika kenya at NAIROBI kenyata international airport ... NAOMBA MSAADA0KWALE WAZOEFU MNIAMBIE JE0HII NI KWEL AU UONGO SIJAJUA KAMA NI MATAPELI AU LA .mzigo umefika asubuhi leo na wamenitaarifu nimewaambia uletwe TABORA ameniambia kuna gharama kusafirisha ya 70000 tsh kuja TanzaniaView attachment 2934123View attachment 2934124
Full Senegar, Nigeria, ndo nchi zinazoongoza kwa utapeli hadi wanawake wanajitambulisha kama masista. Stuka: Pesa nayo wanaituma kama zawadi na kwanini wasilipie kwa pesa wanazozituma. Stuka.Habari za wakati huu wapendwa wana jukwaa naomba ufafanuzi jaman kuna mtu kanitumia bidhaa kama zawadi IPHONE,LAPTOP na pesa taslimu $1500.. naomba msaada kwa wale wazoefu maana mzigo umetumwa jana usiku umefika kenya at NAIROBI kenyata international airport ... NAOMBA MSAADA0KWALE WAZOEFU MNIAMBIE JE0HII NI KWEL AU UONGO SIJAJUA KAMA NI MATAPELI AU LA .mzigo umefika asubuhi leo na wamenitaarifu nimewaambia uletwe TABORA ameniambia kuna gharama kusafirisha ya 70000 tsh kuja TanzaniaView attachment 2934123View attachment 2934124
Tapeli huyo kimbiaHabari za wakati huu wapendwa wana jukwaa naomba ufafanuzi jaman kuna mtu kanitumia bidhaa kama zawadi IPHONE,LAPTOP na pesa taslimu $1500.. naomba msaada kwa wale wazoefu maana mzigo umetumwa jana usiku umefika kenya at NAIROBI kenyata international airport ... NAOMBA MSAADA0KWALE WAZOEFU MNIAMBIE JE0HII NI KWEL AU UONGO SIJAJUA KAMA NI MATAPELI AU LA .mzigo umefika asubuhi leo na wamenitaarifu nimewaambia uletwe TABORA ameniambia kuna gharama kusafirisha ya 70000 tsh kuja TanzaniaView attachment 2934123View attachment 2934124