Nimetumiwa mzigo kutoka Uingereza kuja Afrika Mashariki

Wewe ni msukuma,mshamba,mpumbavu na ni mzembe๐Ÿ˜†๐Ÿ˜„๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
 
Wewe ni msukuma,mshamba,mpumbavu na ni mzembe๐Ÿ˜†๐Ÿ˜„๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
Haikuwa na haja ya kumwita mpumbavu....ulipaswa tu uiahie kwenye ushamba kwani sio tusi
 
Haikuwa na haja ya kumwita mpumbavu....ulipaswa tu uiahie kwenye ushamba kwani sio tusi
Mpumbavu ni mtu ambaye,anajua jambo ni la kijinga hataki kunifunza..........mtu yeyote anayetumia smartphone na hajui kua huwezi tumiwa kitu/mali/pesa bila kuifanyia KAZI na mtu usiyemjua ni MPUMBAVU
 
Kama huna pa kuiweka hyo hela nipe ata mm nifanyie biashara ya karanga ntashukuru sana ndg yangu ๐Ÿ™
 
Matapeli hai, FEDHA Huwa haiwekwi kwenye box!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ