Nimeumia sana hii mechi yetu na Morocco, nimeumia sana na timu yetu ya taifa

Nimeumia sana hii mechi yetu na Morocco, nimeumia sana na timu yetu ya taifa

kinacho nihuzunisha mimi ni kuwapa pesa nyingi makocha wa nje wa timu zetu wakati hawana maajabu.
matokeo ya makocha wa ndani na wa nje ni yaleyale.
 
Mlishauliwa mwaondowe wachezaji wa Mwajuma SC (Fimba) mkakataa. Ona sasa. Mi simo
 
Muwe mnawaheshimu Waarabu. Wako level ingine. Bado miongo kadhaa kuwafikia ikiwa watasimama walipo.
Pole Taifa stars [emoji93]. Asie kubali kushindwa si mshindani.
 
ni mgonjwa tu wa akili ( maniac ) pekee ndiyo alikuwa akidhani na akiwa na uhakika wa 100%. kuwa taifa stars ccm samia serikali fc leo ingeshinda na kuwafunga wenye akili, mipango, uwezo na malengo morocco
wajuaji,wasio Na Imani,moral,wajinga Kama Wewe Ndo Wanafikir Kuwa Stars Hawawezi Shinda Mbele Ya Morocco,mpira Ni Mbinu Hauna Mwenyewe Hatukuwa Tunadhani Kama Saudi Arabia Angeweza Mfunga Argentina Na Messi Wao Lakini Walifungwa.Usilete Uchama Kwenye Suala La Kitaifa.Naomba Mkuu Wa Mkoa Aongeze Idadi Ya Wanajeshi Tarehe 24 Kwenye Zoezi La Usafi Ili Tupunguze Uchafu Wa Namna Hii
 
Hamna mechi katika maisha yangu imeniuma kama hii Tanzania na Morocco.

Kweli Tanzania sisi wakupigwa goli Tatu. Kwamba sisi tuko level ya chini hivi. Sawa timu huwa zinafungwa. Kweli vijana wetu wameenda kutuwakilisha mechi ya kwanza wanapigwa tatu.

Mbona walituadaa mioyo yetu vizuri. Sisi kweli wakulalamika muda huu. Serious. Kauli za kocha ziliniumiza sana kabla ya mechi.

Je, kweli hiki ndicho tunapewa zawadi sisi au mimi mtanzania. Why?

Kweli tumepigwa hii mechi. Nimeumia sana. Hivi brazil ikienda kucheza huwa si inawaza nchini kwake wabrazil wenzao, au pale germany, au london uingereza si huwa wanajua wameenda wakilishwa. Serious Timu ya taifa ya kutuumiza kila siku[emoji25][emoji25][emoji25][emoji25].

I am very disappointed, sijui ni mm tu nimeumia hvi. Aaanh
Unaumia kwa lipi wewe , tangu lini wabongo mkajua kucheza soccer ninyi , ninyi ni wacheza singeli tu
So chill
 
Sports are largely performative.

Poor nations cannot afford to engage in performative competitions.

Tengeneza uchumi kwanza, hayo mengine yote yatakaa sawa.

Hakuna timu inayoshinda kwa kucheza na njaa.
 
Usiumie sana,hata kushiriki tu kwa Tanzania katika finali hizi ni ushindi tosha ,
 
Usiumie sana,hata kushiriki tu kwa Tanzania katika finali hizi ni ushindi tosha ,
kauli hii ya kinafiki na ya kujifariji ulikuwa nayo kabla taifa stars hajacheza na morocco leo na kuzikoga hizo goli 3 takatifu?
 
Hauko peke yako, nimeumia sana!
Namlaumu kaka mzuri kunirudishia huu uzalendo, mi haya mambo nilishayaacha jamani 😭😭
Mechi za makundi zikiisha, kuna watu watabaki na hyper tension
 
Hamna mechi katika maisha yangu imeniuma kama hii Tanzania na Morocco.

Kweli Tanzania sisi wakupigwa goli Tatu. Kwamba sisi tuko level ya chini hivi. Sawa timu huwa zinafungwa. Kweli vijana wetu wameenda kutuwakilisha mechi ya kwanza wanapigwa tatu.

Mbona walituadaa mioyo yetu vizuri. Sisi kweli wakulalamika muda huu. Serious. Kauli za kocha ziliniumiza sana kabla ya mechi.

Je, kweli hiki ndicho tunapewa zawadi sisi au mimi mtanzania. Why?

Kweli tumepigwa hii mechi. Nimeumia sana. Hivi brazil ikienda kucheza huwa si inawaza nchini kwake wabrazil wenzao, au pale germany, au london uingereza si huwa wanajua wameenda wakilishwa. Serious Timu ya taifa ya kutuumiza kila siku😪😪😪😪.

I am very disappointed, sijui ni mm tu nimeumia hvi. Aaanh
Screenshot_20240117-234603.png

Wewe unalalamika, je hawa wenzio wafanyaje!!??
Chuma 10 halafu ongeza na 4.
 
Watanzania wengi wanachoweza ni singeli na vigodoro vya miso misondo.

Mpira sifuri, maendeleo sifuri, miundombinu ya kuunga unga, siasa Uchwara.

Kila kitu cha Tanzania ni hovyo hovyo tu.
 
binafsi nilishajiandaa kiakili kabla ya hii mechi ya leo.

haikuhitaji mnajimu kubashiri kwamba tungefungwa.

tena hizo goli tatu naona chache. ilitakiwa "tubanduliwe" goli tano au sita.
 
Jifunze kuchambua mechi, katika kandanda chochote kinawezekana. Brazil imewahi kufungwa mabao saba na Ujerumani katika kombe la dunia lililochezwa nchini Brazil. Timu ikiwa na mchezaji pungufu ni vigumu sana kushinda timu iliyokamilika na ambayo wachezaji wake wana mori wa kushinda. Wachezaji wa Tanzania walikufa moyo baada ya mchezaji mmoja kutolewa huku wakiamini kwamba ameonewa. Kwanini kocha wa Tz hakumtoa nje ya uwanja mchezaji ambaye alikuwa na kadi ya njano huku mchezajj huyo akiendelea kucheza kwa munkali bila kuwafahamu wachezaji wa kiarabu wanavyotafuta mbinu chafu za kuwahadaa waamuzi. Kocha alikuwa hafuatili mechi?
Ndugu iliwauma. Mimi sijaongelea uchambuzi miminimeumia matamanio. Why not a win.haswa kwa sisis wenye mapenzi. Sijaongelea historia hapa
 
View attachment 2874942
Wewe unalalamika, je hawa wenzio wafanyaje!!??
Chuma 10 halafu ongeza na 4.
Kuna mtu alipigwa kofi na maama yake akalia akatulia, kuna mtu alipigwa kofi na mama yake akalia sana mpaka mama yake alimuonea huruma , alikosa raha week nzima. Same action different people.though jua hao waliumia sana. Mimi nimeumia nimetamani tushinde game ilipokua inaendelea.
 
Back
Top Bottom