Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mie Uzalendo nshamwachiaga nyerere na wenzake. Tupigwe tuuHauko peke yako, nimeumia sana!
Namlaumu kaka mzuri kunirudishia huu uzalendo, mi haya mambo nilishayaacha jamani 😭😭
Basi Matamanio yako yako juu sana. Morocco kwa viwango ipo juu sana kulinganisha na Tanzania. Tushukuru hawakutupiga tano!Ndugu iliwauma. Mimi sijaongelea uchambuzi miminimeumia matamanio. Why not a win.haswa kwa sisis wenye mapenzi. Sijaongelea historia hapa
Nakazia ni mgonjwa wa akili tu ndie angeweza kuamini taifa stars wangeshinda. Wale morocco hata wangekuwa 9 uwanjani bado tusingeweza kuwafunga.ni mgonjwa tu wa akili ( maniac ) pekee ndiyo alikuwa akidhani na akiwa na uhakika wa 100%. kuwa taifa stars ccm samia serikali fc leo ingeshinda na kuwafunga wenye akili, mipango, uwezo na malengo morocco
Hata Palestina tukicheza nao ktk serious game tz itafungwa hasa kipindi hichi cha vitakinacho nihuzunisha mimi ni kuwapa pesa nyingi makocha wa nje wa timu zetu wakati hawana maajabu.
matokeo ya makocha wa ndani na wa nje ni yaleyale.
Aah ndugu, Kuumia, kukasirika, kustuka nk ni zao la tukio usilotegemea au moyo wako haukujitayarisha kabisa kupokea hilo; sasa kipigo cha Stars kutoka kwa Morocco hukukitegemea? Hivi tuwe serious tujiulize kupitia mfano huu: Mbwa kumuuma binadamu na binadamu kumuuma mbwa, hapo habari itakayokimbiliwa na watu ni ipi? Sasa tuje ya kwetu: Stars kumfunga Morocco na Moroco kumfunga Stars ipi ingekuwa habari ya kustua? Ndugu, nakuhurumia, usije ukajisababishia BP, Stress, Depression na kukosa raha bila sababu yoyote ya msingi! Sisi tuendelee kukifunza kwa wenzetu ktk uwekezaji na kuacha siasa na upendeleo kwenye ligi zetu huku kwetu!Hamna mechi katika maisha yangu imeniuma kama hii Tanzania na Morocco.
Kweli Tanzania sisi wakupigwa goli Tatu. Kwamba sisi tuko level ya chini hivi. Sawa timu huwa zinafungwa. Kweli vijana wetu wameenda kutuwakilisha mechi ya kwanza wanapigwa tatu.
Mbona walituadaa mioyo yetu vizuri. Sisi kweli wakulalamika muda huu. Serious. Kauli za kocha ziliniumiza sana kabla ya mechi.
Je, kweli hiki ndicho tunapewa zawadi sisi au mimi mtanzania. Why?
Kweli tumepigwa hii mechi. Nimeumia sana. Hivi brazil ikienda kucheza huwa si inawaza nchini kwake wabrazil wenzao, au pale germany, au london uingereza si huwa wanajua wameenda wakilishwa. Serious Timu ya taifa ya kutuumiza kila siku😪😪😪😪.
I am very disappointed, sijui ni mm tu nimeumia hvi. Aaanh
Kuumia, kustuka, kukasirika
[emoji23][emoji23]Tumetaabikaa tumesulubikaaa jamani sisi tumepigikaaa aaa sisi tumepigikaaa
Tatu bila tatu bilaaa by j nature
Pole mkuu