Nimeumia sana na ninaumia sana kwa anachokifanya Urusi dhidi ya Ukraine

Nimeumia sana na ninaumia sana kwa anachokifanya Urusi dhidi ya Ukraine

lee Vladimir cleef

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
9,571
Reaction score
35,475
Mimi kama mtanzania mdogo,mnyonge na masikini ukweli kutoka moyoni sifurahii kabisa vita hii ambayo inheweza kuepukika isipokua kutokana na kiburi Cha baadhi ya watu na hasa USA.

Kama sio USA kumtia kiburi Zelensky Leo hii kusinhekua na vita Ukraine.

Ukweli kabisa Sasa nhurumia kabisa Zelensky,nawahurumia wananchi wa Ukraine,nawahurumia wanawake,watoto,wazee na hata vijana wa Ukraine.

Vita sio nzuri hata kidogo,watu wanakufa,damu zinamwagika na wengine wanapata ulemavu.

Mali zinapotea,miundimbinu inaharibika,biashara hasara,wagonjwa nyumbani na mahospitalini wanataabika.inauma sana.

Zelensky anatia huruma sana masikini ,hawezi kubaki wala hawezi kutoka.kijana mdogo sana huyu,Hana hatia yoyote.

Usikute alikua analaghaiwa na wamarekani na pengine akitaka kuwakatalia huenda walikua wanamtisha.

Inawezekana alikua anatishwa na wamarekani na baadae akawa anatishwa na Warusi,hakua na uchaguzi.

Ukiangalia baada ya kuvunjika USSR Ukraine ilikuwepo na Urusi haikua na shida nayo.

Ukweli Hadi hapa Ukraine Haina kosa lolote kubwa la kufanya Urusi iipige namna hiyo.tatizo lililopo ni walaghai kutoka nje.

Hasira za Urusi ni kwa Nini Ukraine inataka kumletea Urusi Adui yake mpakani?

Ukiikaribisha NATO ,umeshamkaribisha USA.

Na USA na Urusi na maadui wakubwa.

Kwa kweli najaribu kuvaa moyo wa Zelensky naona hakuna mtu hapa duniani kwa Sasa anaepitia kipindi kigumu kama yeye.roho inaniuma sana.

Zelensky Yuko kwenye janga.amebaki na watu wake TU.

Ni kweli Urusi atawekewa vikwazo lakini haiwazuii Warusi kumuua Zelensky kama wakimtia mikononi.

Inatisha.

Naomba Mungu muumba wa Dunia na vitu vyote vinavyoonekana amuepushwe Raisi huyo kijana na kifo kwa Sasa pamoja na madhira mengine atakayopitia.poa namuonba Mungu Baba awanusuru wa ukraine bna maafa ama maangamizi yoyote.

Dunia hii haiko sawa kabisa.
 
Huyu jamaa ukifatlilia quote zake humu utagundua ni pro America mtupu.

Unaumia kwa kiteseka kwa kinamama, watoto, wazee, vilema huko kwenyeTaifa la mbali lakini hujawahi kupinga mauaji yanayoendelea hapo Somali, Ethiopian, Sudan, Tchad, Mali.

Sokomoko la njaa hapo Kenya, Somalia, Niger.

Utawala mbovu Eritrea, Djibout, afrika ya kati.

Wizi unaofanywa wa rasilimali hapo Kongo, Tanzania, Burkina Faso, Uganda, Nigeria, Ghana

Vita ya jihad hapo Msumbiji.

Kutengwa kwa Somaliland

Wizi na Ufisadi hapa Tanzania, Angola, Nigeria.

Sheria za ukandamizaji wa kikoloni kama matumizi ya maji ya mto Nile

Umasikini uliopitiliza miongoni mwa watu wetu.

Haya ndio mambo Muafrika anatakiwa hayawaze sio vita inayopigwana Ulaya kwa sababu zao za kipuuzi sisi Watanganyika tuumie roho
 
Endelea kulia maana hapo ni mwanzo tu.

Kuna ushenzi mwingi unaofanywa Afrika, huwa hamuuoni, lkn yakifanyika huko dunia ya kwanza kwa msaada ya pushed agendas through Western Media, mnajikuta watia huruma na utu.


Hayo ni mwanzo tu, tuendako hata wao watafanana na kongo kwa vurugu,
 
Watu wanafiki sana
Ndugu zangu watanzania kwanini muone unafiki kwa wananchi wengine kuwaonea huruma binadamu wengine wanaoteseka na vita hivi sasa huko Ukraine? Mnajuaje kwamba hakuumia hata vita katika nchi zingine vilivyopiganwa na mamia kwa maelfu ya watu kufa? Je kuna mtu hakuumia katika vita vilivyopiganwa nchi zingine za uarabuni, afrika na kwengineko? Je wayukraine hawapaswi kuonewa huruma kama binadamu wengine waliathirika na vita ? Fikiria baba yako kipenzi au mama yako kipenzi au kaka yako au dada yako au mkeo au mumeo, unavyompenda ndio yuko pale Ukraine sasa hivi kwenye jengo ambalo unaoneshwa kwenye TV kua limepigwa bomu limefumuliwa lote, je ungekua unaongea hivi ?! Au unaongea hivyo sababu hawako Ukraine na hio nchi haikuhusu na hata wanaokufa huko hawakuhusu
 
Sijajua kwann tuna tabia ya kuhalalisha sijui ni kufurahia jambo baya kwa kutumia jambo baya lililofanywa kipindi cha nyuma.

Mtu kafariki mwingine anakejeli, ukimuuliza kwann unakejeli jibu ni wakati fulani anafariki uliuliza waliokuwa wanakejeli? [emoji23][emoji23][emoji23].
Hatusapoti mauaji ya watu ila hili Jambo la Ukraine imeonesha unafiki wa watu Kwa sababu wasomali wengi walikufaa,walibya pia lakini dunia ilikaa kimya.lakini Sasa hivi Kwa Ukraine mambo yamekuwa tofauti.au hata Syria juzi Tu hapo dunia ilikuwa kimya.ndo nakuuliza au binadamu tupo grade tofauti.
 
Huyu jamaa ukifatlilia quote zake humu utagundua ni pro America mtupu.

Unaumia kwa kiteseka kwa kinamama, watoto, wazee, vilema huko kwenyeTaifa la mbali lakini hujawahi kupinga mauaji yanayoendelea hapo Somali, Ethiopian, Sudan, Tchad, Mali.

Sokomoko la njaa hapo Kenya, Somalia, Niger.

Utawala mbovu Eritrea, Djibout, afrika ya kati.

Wizi unaofanywa wa rasilimali hapo Kongo, Tanzania, Burkina Faso, Uganda, Nigeria, Ghana

Vita ya jihad hapo Msumbiji.

Kutengwa kwa Somaliland

Wizi na Ufisadi hapa Tanzania, Angola, Nigeria.

Sheria za ukandamizaji wa kikoloni kama matumizi ya maji ya mto Nile

Umasikini uliopitiliza miongoni mwa watu wetu.

Haya ndio mambo Muafrika anatakiwa hayawaze sio vita inayopigwana Ulaya kwa sababu zao za kipuuzi sisi Watanganyika tuumie roho
Huwezi mpangia mtu maisha ndugu, as we speak Kuna watu wanaomboleza wengine wako bar wanakunywa bia, wengine wako Wana nyanduans

Masuala ya kuwa pro america ni maisha yake ni choice yake, we anzisha Uzi ambao ni bure kabisa kuhsu somalia, Eritrea n.k
 
Sijajua kwann tuna tabia ya kuhalalisha sijui ni kufurahia jambo baya kwa kutumia jambo baya lililofanywa kipindi cha nyuma.

Mtu kafariki mwingine anakejeli, ukimuuliza kwann unakejeli jibu ni wakati fulani anafariki uliuliza waliokuwa wanakejeli? [emoji23][emoji23][emoji23].
Ni mambo ya ajabu sana mkuu.
 
Hatusapoti mauaji ya watu ila hili Jambo la Ukraine imeonesha unafiki wa watu Kwa sababu wasomali wengi walikufaa,walibya pia lakini dunia ilikaa kimya.lakini Sasa hivi Kwa Ukraine mambo yamekuwa tofauti.au hata Syria juzi Tu hapo dunia ilikuwa kimya.ndo nakuuliza au binadamu tupo grade tofauti.
Upo sawa. Sijabisha boss
 
Watu wanafiki sana
Sio unafki kila mtu ana choice yake Yuko huru ni wapi aumie au wapi afurahie, kuna watu wanafurahia Putin anavyoua watu huko Ukraine ni choice Yao wengine wamahuzunika ni choice Yao, usiite watu wanafki kwa sababu hawafanyi unachotaka wewe maisha hayako hivyo
 
Ndugu zangu watanzania kwanini muone unafiki kwa wananchi wengine kuwaonea huruma binadamu wengine wanaoteseka na vita hivi sasa huko Ukraine? Mnajuaje kwamba hakuumia hata vita katika nchi zingine vilivyopiganwa na mamia kwa maelfu ya watu kufa? Je kuna mtu hakuumia katika vita vilivyopiganwa nchi zingine za uarabuni, afrika na kwengineko? Je wayukraine hawapaswi kuonewa huruma kama binadamu wengine waliathirika na vita ? Fikiria baba yako kipenzi au mama yako kipenzi au kaka yako au dada yako au mkeo au mumeo, unavyompenda ndio yuko pale Ukraine sasa hivi kwenye jengo ambalo unaoneshwa kwenye TV kua limepigwa bomu limefumuliwa lote, je ungekua unaongea hivi ?! Au unaongea hivyo sababu hawako Ukraine na hio nchi haikuhusu na hata wanaokufa huko hawakuhusu
Mbona wasyria au wa Libya hawakuonewa huruma mpaka walikuwa wananyimwa malazi wakikimbia ulaya?waliitwa wakimbizi,waliambiwa hawana sifa ya kuwa kwenye nchi zao.
 
Watoto,kinamama waliumia huko Somalia,Libya hata Congo hata Liberia Kwa Sababu ya NATTO na wengine dunia ilikaa kimya au kuna wanadamu grade 1 na 2?

danganya makinda wenzio...
history io wazi chanzo cha vita ya nchi ulizk zilist hapa. Somalia chanzo ni Farah Aidid na kundi lake
Libya, chanzo ni mpumbavu mmoja hivi alizani Libya ni kama duka lake.
mnaandika koment na kutaja taja majina na ya nchi ili ku- justify uovu.
 
Back
Top Bottom